Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,374
- 2,280
Hello jf,
Najua huku kuna wataalamu na maHR wenye uzoefu na hizi mambo.
Kuna mdogo wangu hapa anatafuta kazi haitwi hata interview,sisi wengine hatuelewi haya mambo tuliishia la7 B tukaingia kwenye biashara.
Hii Cv yake ina mapungufu gani?
Najua huku kuna wataalamu na maHR wenye uzoefu na hizi mambo.
Kuna mdogo wangu hapa anatafuta kazi haitwi hata interview,sisi wengine hatuelewi haya mambo tuliishia la7 B tukaingia kwenye biashara.
Hii Cv yake ina mapungufu gani?