Wataalamu hii CV ina makosa gani?

Wakati anaiandika upya kwa kufuata maelekezo ya wadau hapa, napendekeza asichanganye tena herufi kubwa na ndogo ktk uandishi kama hapo kwenye jedwali, wataona graduate wa Bachelor hajui kuandika(achague format moja mfano:Aa AA. kwenye Ms word zipo). Halafu neno Dar es salaam haliandikwi Daresalaam hvo alivoliandika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…