Wataalamu mlobobea na dawa za binadamu nisaidieni kuelewa hii relaxation effect iliopo kwenye dawa za 'Action'

Wataalamu mlobobea na dawa za binadamu nisaidieni kuelewa hii relaxation effect iliopo kwenye dawa za 'Action'

kali linux

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2017
Posts
2,192
Reaction score
5,685
Hello bosses and roses.....

Kuna muda nilikua napata sana maumivu ya kichwa ila hospitali hawakunipa majibu yoyote ya kunisaidia. Hii ikafanya nitafute dawa tu ambayo itakua inanituliza maumivu ya kichwa yakianza. Nilijaribu panadol ikafeli, dawa tatu ikafeli. Nikaja kujaribu hizi 'Action' aiseee hii ilikubali na haichukui muda sana kukutibu.

Hivyo nikawa natumia action kwa muda mrefu sababu kila mara kichwa kikiuma tu nakunywa action zangu. Na huwa nakua nazo mfukoni mara nyingi sana.

Sasa kilichonifanya kuandika huu uzi ni hii issue nlogundua kama mwaka mmoja hivi umepita. Unajua action ukimeza huwa inakata usingizi, sasa siku moja nlikua nahitaji kukesha lakini nipo sehemu ambayo siwezi pata coffee na usingizi kama vile ulikua unanizidia, nikaamua kubugia action zangu 2 chap. Ndani ya nusu saa nikawa mpya kabisa, full focused, usingizi wote ukaisha. Kuanzia hapo nikawa nikikosa coffee basi natumia action.

Baadae nikaja kugundua, dakika kadhaa baada ya 'Action' kunikatia usingizi inanipa pia relaxation ya ajabu kinoma. Hii relaxation sijawahi kuipata hata kwenye pombe yoyote nlowahi kunywa. Hii relaxation haina ulevi lakini inakuchangamsha balaa na unakua na amani kwenye ubongo (sio amani moyoni, amani kwenye ubongo) yaan unahisi ubongo ndo mpya, kama vile umefanyiwa servicing fln hivi. Hii relaxation inakaa kati ya nusu saa hadi saa moja kisha inapotea.

Nimefanya udadisi sana hadi kutafuta uhusiano wa kiformula kati ya hii Dawa ya 'Action' na mavitu kama Ecstasy na stimulants nyinginezo lakini kwa upeo wangu sikuona uhusiano wowote kiformula labda kwa sababu nilikimbia Organic/Inorganic chemistry kule Mzumbe boys. Nilichokiona ni kwamba Dawa ya Action ina caffeine, ambayo pia hukutwa kwenye kahawa (coffee) na hapa nilipata jibu la kwa nini Action inaweza kukata usingizi kama ilivyo coffee, ila jibu la hio relaxation bado sijapata sababu huwezi sema relaxation hio inaletwa na caffeine kwana hata kahawa (coffee) ina hio caffeine ila hainiletei aina hio ya relaxation.

NOTE: Nimeleta hapa ili wataalam watoe muongozo lakini tafadhali msijaribu ku-abuse hizi dawa sababu huwa inabadili mapigo ya moyo, unakua ghafla mapigo yanapaa tu bila sababu yoyote.
 
acha Mala Moja huo mchezo utakuja kujutia hapa iyo dopamine inakugeuka muda sio mrefu
 
acha Mala Moja huo mchezo utakuja kujutia hapa iyo dopamine inakugeuka muda sio mrefu
Tatizo hamjibu swali. Hayo yote yanafahamika vzr tu.

Nataka kufahamu hio effect inatokana na component gani iliopo kwenye hio dawa, mambo ya dopamine hayo ya mbeleni sana, swali ni nini kilichomo kwenye hio dawa kinacho-trigger hio release ya dopamine?
 
Hello bosses and roses.....

Kuna muda nilikua napata sana maumivu ya kichwa ila hospitali hawakunipa majibu yoyote ya kunisaidia. Hii ikafanya nitafute dawa tu ambayo itakua inanituliza maumivu ya kichwa yakianza. Nilijaribu panadol ikafeli, dawa tatu ikafeli. Nikaja kujaribu hizi 'Action' aiseee hii ilikubali na haichukui muda sana kukutibu.

Hivyo nikawa natumia action kwa muda mrefu sababu kila mara kichwa kikiuma tu nakunywa action zangu. Na huwa nakua nazo mfukoni mara nyingi sana.

Sasa kilichonifanya kuandika huu uzi ni hii issue nlogundua kama mwaka mmoja hivi umepita. Unajua action ukimeza huwa inakata usingizi, sasa siku moja nlikua nahitaji kukesha lakini nipo sehemu ambayo siwezi pata coffee na usingizi kama vile ulikua unanizidia, nikaamua kubugia action zangu 2 chap. Ndani ya nusu saa nikawa mpya kabisa, full focused, usingizi wote ukaisha. Kuanzia hapo nikawa nikikosa coffee basi natumia action.

Baadae nikaja kugundua, dakika kadhaa baada ya 'Action' kunikatia usingizi inanipa pia relaxation ya ajabu kinoma. Hii relaxation sijawahi kuipata hata kwenye pombe yoyote nlowahi kunywa. Hii relaxation haina ulevi lakini inakuchangamsha balaa na unakua na amani kwenye ubongo (sio amani moyoni, amani kwenye ubongo) yaan unahisi ubongo ndo mpya, kama vile umefanyiwa servicing fln hivi. Hii relaxation inakaa kati ya nusu saa hadi saa moja kisha inapotea.

Nimefanya udadisi sana hadi kutafuta uhusiano wa kiformula kati ya hii Dawa ya 'Action' na mavitu kama Ecstasy na stimulants nyinginezo lakini kwa upeo wangu sikuona uhusiano wowote kiformula labda kwa sababu nilikimbia Organic/Inorganic chemistry kule Mzumbe boys. Nilichokiona ni kwamba Dawa ya Action ina caffeine, ambayo pia hukutwa kwenye kahawa (coffee) na hapa nilipata jibu la kwa nini Action inaweza kukata usingizi kama ilivyo coffee, ila jibu la hio relaxation bado sijapata sababu huwezi sema relaxation hio inaletwa na caffeine kwana hata kahawa (coffee) ina hio caffeine ila hainiletei aina hio ya relaxation.

NOTE: Nimeleta hapa ili wataalam watoe muongozo lakini tafadhali msijaribu ku-abuse hizi dawa sababu huwa inabadili mapigo ya moyo, unakua ghafla mapigo yanapaa tu bila sababu yoyote.
Kuna kiwango kidogo cha relaxant kwenye hiyo dawa. Ukitumia nyingi utaona itakupeleka kwenye anga za juu.
 
Pole kwa kuumwa na kichwa.

Turudi kwenye swali sasa. Action ina muunganiko wa dawa tatu. Asprin, Paracetamol na Caffeine.

Wakati Panadol, sehemu kubwa ya dawa imebebwa na Paracetamol pekee.

Dawa tatu yenyewe huundwa kwa Paracetamol, Caffeine na Acetylsalicylic Acid.

Ndiyo maana Action inakuletea unafuu wa haraka kuliko Panadol na the so called Dawa tatu kwa sababu asprin iliyomo inaenda kuzuia enzymes zinazozalisha prostaglandins.

Je, ni kwa nini unapata relaxation baada ya kutumia Action? Kwanza tukubaliane kuwa kahawa huwa unaitumia wakati kichwa hakikuumi. Unakunywa kwa starehe ukiwa mzima wa afya. Vivyo hivyo kwa pombe.

Lakini Action unaitumia pale kichwa kinapokuwa kinawaka moto, kinagonga mno. Baada ya kuitumia na kupata unafuu ndiyo tafsiri yake unayoisemea kama relaxation.

Maumivu kupotea ndiyo unaitafsiri kama utulivu wa ubongo.

NB: Nakusihi usizoee sana kuitumia. Unaharibu mno ini lako endapo ukiitumia kila leo.

Nakutakia uponyaji mwema.
 
Pole kwa kuumwa na kichwa.

Turudi kwenye swali sasa. Action ina muunganiko wa dawa tatu. Asprin, Paracetamol na Caffeine.

Wakati Panadol, sehemu kubwa ya dawa imebebwa na Paracetamol pekee.

Dawa tatu yenyewe huundwa kwa Paracetamol, Caffeine na Acetylsalicylic Acid.

Ndiyo maana Action inakuletea unafuu wa haraka kuliko Panadol na the so called Dawa tatu kwa sababu asprin iliyomo inaenda kuzuia enzymes zinazozalisha prostaglandins.

Je, ni kwa nini unapata relaxation baada ya kutumia Action? Kwanza tukubaliane kuwa kahawa huwa unaitumia wakati kichwa hakikuumi. Unakunywa kwa starehe ukiwa mzima wa afya. Vivyo hivyo kwa pombe.

Lakini Action unaitumia pale kichwa kinapokuwa kinawaka moto, kinagonga mno. Baada ya kuitumia na kupata unafuu ndiyo tafsiri yake unayoisemea kama relaxation.

Maumivu kupotea ndiyo unaitafsiri kama utulivu wa ubongo.

NB: Nakusihi usizoee sana kuitumia. Unaharibu mno ini lako endapo ukiitumia kila leo.

Nakutakia uponyaji mwema.
Asante sana mkuu.

Nimependa majibu yako ila naomba nikueleweshe kwamba nimesema relaxation nilianza kui-note baada ya kuwa natumia Action kama mbadala wa kahawa nikiwa sipo karibu na kahawa (kwa ajili ya kunikeep active na kuondoa usingizi). Hii feeling unayoisemea ni relief tu nikiwa naumwa kichwa lkn hata kama siumwi nikatumia napata hio relaxation fln hivi kama nilipooelezea hapo juu.

Ofcoz najua madhara yake kwenye ini ila lengo langu ni kutafiti kama kunaweza kufanywa marekebisho kwenye formula ikatengenezwa legal stimulant
 
Back
Top Bottom