Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Mlango wa nyuma ni nini ?
 
Tatizo la hospitali za siku hizi pesa mbele unaweza ukaenda huku ukaambiwa hivi ukaenda kule ukaambiwa vile yaani vurugu ili mradi pesa iingie tu.

Kwa mlolongo wa hizo dawa ulizotumia nilitegemea kipimo Cha C & S kiwe kimeshafanyika.
Hakuna na Agakhan nimekuta na specialist WA urology Dr zehr Kwa ambao wanampata.. labda kama Kiswahili kinampa shida
 
Sayansi haisemi watu waingilie kila field. Mimi nime-specialize kwenye area nyingine. Hii nimetoa experience yangu tu. Sina background ya medical...
 
Unatumia jina la mtu mwenye uelewa wa Udaktari lakini una uelewa sawa na Manyaunyau
Hii ndiyo shida ya wasomi uchwala wa kiafrika, ugunduzi wa dawa tutausikia kwa wenzetu wa Ulaya, Amerika na Asia tu.
Umewahi kujiuliza babu wa mababu wa babu wa baba zetu walitumia dawa gani walipo pata maambukizi ya magonjwa ya zinaa?
 
Ndo Huwa nasema,mmoja akitulia mwingine majanga!
 
Tukiwaambia muache hii tabia huwa hamuelewi, kufirana ni uchafu, huko kuna mabakteria mengi ila naona kizazi cha sasa kipo bize ni mwendo wa kufirana tu.
ID yake mkuu inamponza hujui maana dopamine yaani kemikali inayotokewa na ubongo kwa ajili kukupa raha inakuambia ongeza bidii kny ujinga mf. kufukua Mlango wa nyuma kila saa hiyo homoni inakuambia kula mxigo
 
Huyo anapima mara kwa mara HIV sababu anauza mechi sana.Ana wanaume wengi na hawezi kupona coz hata akinywa dawa anaenda kukutana nao tena.Piga chini huyo demu. Sababu hata ukimaliza dozi,ukitembea nae tena atakuambukiza.
Sawasawa
Sijui kwann mtoa mada hajaona hili
 
Mkuu huyo Dem wako ni Bar maid wa wapi?.... lisije jambo likanikuta na Mimi, Bar maid akiwa pisi kuliko mama yoyoo huwa sikiulizi mara mbili.
 
Wape kalio hilo wakupige Panadul inj akili ikukae sawa kamanda

Polee sana
 

Tumia mkojo wa punda dume uliochanganywa na maji ya malimao kikombe cha chai kimoja kila siku kwa wiki tatu mfululizo utakuwa umekomesha gono lote!
 

Wewe nani alikuambia ule mavi ( kupitia mlango wa nyuma)?
 
Huyo anapima mara kwa mara HIV sababu anauza mechi sana.Ana wanaume wengi na hawezi kupona coz hata akinywa dawa anaenda kukutana nao tena.Piga chini huyo demu. Sababu hata ukimaliza dozi,ukitembea nae tena atakuambukiza.
Mleta mada Zingatia hii ni muhimu sana,na ndo ukweli wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…