Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Mkuu pole kwa maradhi yako ya gono sugu nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia kwa dawa zangu upate kupona maradhi yako uguwa pole.
 
Watu wasio wa hovyo ndio wataokupa STD,s.....trust me sisi watu wazima tumeyaona
Sometimes hoe,s and player,s are better option to ride with!!
 
Mkuu, me nadhani haujamuelewa mwenzako. Hapa habishani, bali ni professionalism discussion. Hata wewe pia unajifunza, na wala haupotezi muda.

Wengi tunafaidika sana na discussion hizi za nyie wataalam wetu, hata kama hatuna professions hizo zenu. Jukwaa la jf ni ufunguo wa maarifa, wekeni mambo bayana, hata wale wa chini yenu (medical assistants) huenda wakaambulia kitu!

Umekomalia ethics; hizo ndio siasa zenyewe! Hivi kweli watu wasidiscuss mambo yanayohusu afya au taaluma fulani eti kwa ajili ya kukumbatia ethics ambapo matokeo yake watu waendelee kuwa wajinga? Nadhani ethics considerations ziwe na limit, sio watu waache kudiscuss mambo ya maana kwa kuogopa kwenda against ethics!

Tuleteeni mautalamu yenu hayo ili na sisi wengine angalau hata tunusenuse tu harufu ya huko kwenu; maana hatuwezi kufika huko! Namshukuru pia mleta mada (ngonjwa) kwani ninyi wataalamu mngeendelea kubaki tu na haya manondo mnayotushushia hapa. Tupeni utamu, elimu yenu iwe msaada kwa jamii, na jamii yenyewe ndio wana jf!
 
Mkuu nashukuru Na nimependa Sana wallah ..
😀😀
Ila hapo kwenye Ethics nimecheka huwezi amin8 nimefurah mno..

Lakini Ethics ndo zinamfanya daktari aaminiwe hata na watu immagine umpate daktar li unamwambia siri zako afu kesho unakuta kayamwaga mtaani yote 😄😄

Watu wanajua mpaka doa lililopo sirini liko wapi..

Yeah Discusion ni nzuri sana niliipenda kwakweli na tulipokuwa tunafnya discussion nikagundia pia kuna Matatizo mengine hata mgonjwa kayaficha pia ....

Shukrani sana mkuu
 
Rudi tena mkuu hospitalini upate suluhisho la kudumu la hiyo UTI sugu.

Kunywa maji mengi inasaidia sana kiasi fulani ?

DR Mambo Jambo marisi schwein
ajaribu kutumia systemic Alkaliser Solution kunywa kwanza..
KAMA Disodium Hydrogen citrate Liquid (Cital) angalau Mils 20 Mara moja kwa siku kwa siku 7 (Japo inatakiwa ichanganywe na maji angalau 200 mills of water)

Cc: Wagumu Tunadumu
 
Mtibu na huyo demu ugonjwa usiendelee kusambaa.
 
Huyo anapima mara kwa mara HIV sababu anauza mechi sana.Ana wanaume wengi na hawezi kupona coz hata akinywa dawa anaenda kukutana nao tena.Piga chini huyo demu. Sababu hata ukimaliza dozi,ukitembea nae tena atakuambukiza.
Demu yeye hawezi kupona? Mbona hafi ?

yani yeye anadunda tu kabeba mi bacteria na mi virus ya STD bila madhara ?

Victoire acha kumnyanyapaa huyo demu based on story ya huyu jamaa... Hatujui hali ya mwanamke na hatujui ugonjwa umetoka kwa nani kati yao...

Cefixime Kuywa 1x2...!! Ila ungechoma Spectinomycin upige na hizo Cefixime 400gm weka na tinidazole 1x2 pia.
achanganye
ACEFIXIME
SPECTINOMYCIN INJECTION
TINIDAZOLE

Mnaenda kumtoboa figo. Kubalini mnabahatisha.

Why not culture sensitivity tests ?????????????
 
Naisubiri iyo nimeambiwa after 5 days kutoka leo
 
Hivi vipimo vilikuwa na umuhimu gani ilhali culture and sensitivity ingemaliza kazi, na kuleta majibu ya dawa gani sahihi ya kuua hao bakteria uliopata kwa njia ya kujamiiana ( STI)?
Kwann inakuwa ngumu sana kwa mahospitali kufanya kipimo hiki cha culture??
Tatzo ni nini??
Je wanaona kuchelewa au nini hasa?
Maana unaweza kuwa na dalili zote za kaswende lkn ukipima unaambiwa huna hiyo homa,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sipo kuelezea matatizo yote hapa...

Huyu mwanamke yeye alishatibiwa.... Ila nilipo mwambia naumwa naona kama anaufahamu huu ugonjwa mim ndio mgen nao.

Mwanamke aliyekuambukiza keshatibiwa, katibiwa na dawa gani ????

Ulipomwambia unaumwa akaonyesha anaujua huu ugonjwa ila wewe ndio mgeni, anaujua unaitwaje ?????

Haupo hapa kueleza matatizo yote, daktari nae ulimwambia hujaenda kumueleza matatizo yote ???????

Demu anaekuachia umsokomeze ukatili kinyume na maumbile kavu kavu na usaha juu anawezaje kukunyima taarifa za matibabu aliotumia akapona, au umekuwa uki repu mtoto wa watu kinyume na maumbile na ni wewe ndio unaambukiza ambukiza hilo li kaswende sugu lako na kesi iko pending...? ndo maana hutaki kugusia chochote cha hali ya demu ??

Next time ukienda hospitali inabidi uonyeshe kwanza Police Form 3 ya ulikopatia hayo majeraha...
 

mkuu hii dawa ina msaada wowote kwenye suala la nguvu za kiume?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…