Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Ukipona ndo uwe makini sasa, na umuambie huyo mwanamke aende huko Ocean road akapate matibabu.
 

Nilikuambia humu kuwa gono sugu dawa yake ni mkojo wa punda dume tena unakinga akiwa anakojoa na dude lote limedinda ili uwe na ute ute wa shahawa, kisha tafuta mailimao au ndimu na ukamue maji yake ya kutosha. Baada ya hapo changanya mkojo wa punda dume na maji ya malimao na unywe kwa ujazo wa kikombe cha chsi kwa siku mara moja kwa jumls ya siku 21. Baada ya hapo utakuja hapa kunishukuru! Punda wengi wanapatiksna Dodoma, Singida na Sumbawanga!
 
Hata kama sijasoma udakitari hapa ume andika pumba
 
Bora kufa tu
 
Njoo inbox tusaidiane kuna dawa ya mitishamba itakusaidia pia ukiwa unaendelea na dozi zengine.
 
Pole jamaaaa hilo gonoo la kwenye tigooo mbona balaa unalooo...!! Zingatia dawa maliza dozi kingine Ukipona usisahau mateso uliyopitiaaa.
 
There are always certain types of people on internet, filled with lots of HATE, ENVY and GRUDGE. Moreover these PEOPLE will JUDGE and give verdict to people they even don't know.... had unajiuliza na kujua kwamba hili nalo ni tatizo katika jamii.....

Thanks Wataalam na watu wengine ambao wamepita na kutoa yakwao..

Nipo naendelea na matibabu na SASA napata nafuu, kila siku.

God ndio anaejua umauti unanifika muda gani, wew binadamu WA udongo kama Mimi nakuombea pia uishi Maisha marefu.
 
Pole jamaaaa hilo gonoo la kwenye tigooo mbona balaa unalooo...!! Zingatia dawa maliza dozi kingine Ukipona usisahau mateso uliyopitiaaa.
Thanks Sana, wataalamu WA urology WA pale agakhan ocean road... Dr Mawalla, na Dr Zahr wako vizur Sana... Kesi yangu wameniambia ishakwisha Nile Sana, maji mengi nimalize na Dozi afu niludi tena hospital
 
Thanks Dr Kwa Ushauri wako, nahisi pale agakhan walisema ni prostatitis kutokana kwamba antibiotics nilizopewa zilkua sahihi kabisa Kwa gono, na ilitakiwa niwe nimepona, Ila kutokana na kwamba wadudu wengine waliingia kwenywe prostate dawa nilizopewa hazipenyi kirahis na hivyo ndio ikawa nikiacha dozi Tu Hali inakua mbaya Sana,

Naendelea na dozi ya prostatitis maendeleo ni mazuri..
nafkiri nikienda tena Dr ataextend dozi alisema ni inacgukua muda kidgo kuclear infection kwenywe prostate..
... nawashukuru wote Kwa muda wenu..
 
5th week on antibiotics treatment naona kuna improvement kubwa japo kuna siku unaweza kuwa vibaya...

Dawa sahihi zipo Kwa kila ugonjwa shida MTU unaumwa unapewa dawa ambazo sizo zinapelekea bacteria kuwa sugu, janga nalo hili.

Ushauri; Kwa mwanaume kama utaona unakunywa antibiotics za kila Aina na hupati matokeo... Tafadhali nenda haraka kamwone dactari specialist WA urology akufanyie checkup then upate matibabu...
 
Hilo ni kaswende we nenda gonga sindano tano za mshipa shughuli inaisha.
 
Prolonged use of antibiotics inaweza kukupelekea ukawa prune to fungal attacks
 
Prolonged use of antibiotics inaweza kukupelekea ukawa prune to fungal attacks
Ni kweli, Ila treatment nilifanya makosa mwanzo Kwa kuto kuwaona urology specialist mapema, so awa ma GP wao Wana treat clinical picture. Ndio maana unaona dawa kila Aina apo.
But for Chronic Bacterial Prostatitis ambayo ndio currently diagnosed kwangu ni very tricky treatment zake. Dawa ni;
Quinolones pamoja na macrolides dosage yake inategemea response na relapses, lakin ni from 4 to 12 weeks na ikishindikana bado unatakiwa kufanya suppressive low dosage of antibiotics.
 
Na ukiendelea itabidi upewe na dozi za
Cumiflopaixon
Zabtroxinosozisis
Matroluvtrozenovin
Nixopaqruvunin
Mpakatrocuminmisis
Ukometrobululelencence
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…