dopamine-B
Member
- Sep 1, 2012
- 93
- 278
- Thread starter
-
- #21
Thanks for your time, Kwa kweli limekua ni Jambo kubwa Ila Kwa msaada kama wenu nimepima Mpaka HIV Mpaka SASA najua nipambnae Tu nipone tuendelee na harakat za Maisha,.... Na hata kama nakufa basi Uzi huu uje uwe fundisho Kwa kwetu sote, sababu mim sio Malaya na demu alienipa ndio nilimwamini mnokula dawa, alafu jipe muda ni mambo ya kawaida hayo
Mkuu alikupa nini ? ilikuwaje mna mahusiano ya muda gani ?Thanks for your time, Kwa kweli limekua ni Jambo kubwa Ila Kwa msaada kama wenu nimepima Mpaka HIV Mpaka SASA najua nipambnae Tu nipone tuendelee na harakat za Maisha,.... Na hata kama nakufa basi Uzi huu uje uwe fundisho Kwa kwetu sote, sababu mim sio Malaya na demu alienipa ndio nilimwamini mno
Umejuaje amekupa, na yeye anaumwa ?sababu mim sio Malaya na demu alienipa ndio nilimwamini mno
Kuna pis ukiiona utadhani malaika nenda sasa!!!ndio utaona Rangi!Mkuu alikupa nini ? ilikuwaje mna mahusiano ya muda gani ?
Habari za Harakat za Maisha Wana forum.
Mimi ni kijana Nina miaka 32.
Nimeugua UTI mara moja last year mwezi nov, baada ya kutumia mlango wa nyuma....
Nikaenda hospital nikapewa flucamox na metronidazole siku tano nikapona.
3 months ago nimekutana tena na demu yuleyule, nikapiga kawaida Tu bila mpira..... Nikaikasirisha mizimu....
Nikajua ni Ile UTI tena imerudi, nimekunya flucamox mara 2, bila nafuu....
Nikaenda zahanati nimepewa Augmentin cluvamate nikapata nafuu kidogo tatizo bado linarud....
Nikaenda hospital agakhan kigamboni, wakanambia kwenywe vipimo mkojo uko Sawa Ila Kwa maumivu ya pumbu na uume pia kutoa semen yenye maji mepesi ya maziwa ni STD ambayo ni gono...
Nikapewa Ceftriaxone injection 1g
Doxycycline 2/siku 10
Metronidazole 400mg/siku 10
Nikapata nafuu kipindi natumia dawa siku ya kumi Tu maumivi makali Sana kwenywe uume na chini ya kitovu, mkojo hauumi nikikojoa.... Usaha mara moja sana Hadi mwishon mkojo nikojoa ndio naweza uona. Nikipekenywe urethra naona kama vidonda ivi au ulcers....
Napata maumivu makali Sana nikaa au nikilala...
Nimetumia antibiotics for 3 consecutive months Hadi mdomoni nimepata candida..
Nikajua hapa basi nishaukwaa...
Nimeenda kupima hiv imetoka -ve, Dr kanambia kama nilimnyonya mate na yeye alinyonya uume basi ndio nimepata fangus mdomoni... Sometimes nameza Kwa shida Sana....
Nikachoma pesa kwenda Agakhan Ocean road, nimefanaya vipimo vya uroflowmetry, urinalysis, na ultrasound... Mtaalamu WA urology akasema Nina prostatitis..
Nimepewa Lomefloxacin 400mg siku 14, Alfuzosin siku 14 na aceclofenac...
Problem ni Kua hizi dawa zinanizingua Sana.
Nikaenda hospital tena Jana kisiwani kufanya kipimo cha HIV na damu, HIV sina ni negtv, Ila kwenywe damu Dr kasema bado kuna STD... Pia fungus mdomoni...
Kaniandikia
Cefixime 400mg PO 1*1/5
Ceftriaxone 2g injection
Azitromycin 1g PO stat
Fluconazole 150mg/10 days Kwa ajili ya fungus
Leo nipo siku ya pili naendelea na dozi, (dawa za prostatitis nimeziacha Kwanza nimalize gono)
Swali
1. je nikawaida Kwa gono kutoka usaha WA maziwa mepesi mara moja moja na pia kwenywe semen Kua na kama maji maji ya maziwa.
2. Ni kawaida kuwa na maumivu makali ukikaa au kulala ukiwa na gono,
Unajua unaezakutana na mwanamke ukaona anamaisha magum kidgo, nikasema Acha niwe nae, chochote nachotaka ananipa, simu moja yupo napotaka awepo nikamwamini... Na yeye kasema alishawahi tibiwa Ila hakunambia,, kanambia uken ulitoka uchafu WA njano na damu....Mkuu alikupa nini ? ilikuwaje mna mahusiano ya muda gani ?
DR Mambo Jambo Lovie Lady pitieni hapa...Habari za Harakat za Maisha Wana forum.
Mimi ni kijana Nina miaka 32.
Nimeugua UTI mara moja last year mwezi nov, baada ya kutumia mlango wa nyuma....
Nikaenda hospital nikapewa flucamox na metronidazole siku tano nikapona.
3 months ago nimekutana tena na demu yuleyule, nikapiga kawaida Tu bila mpira..... Nikaikasirisha mizimu....
Nikajua ni Ile UTI tena imerudi, nimekunya flucamox mara 2, bila nafuu....
Nikaenda zahanati nimepewa Augmentin cluvamate nikapata nafuu kidogo tatizo bado linarud....
Nikaenda hospital agakhan kigamboni, wakanambia kwenywe vipimo mkojo uko Sawa Ila Kwa maumivu ya pumbu na uume pia kutoa semen yenye maji mepesi ya maziwa ni STD ambayo ni gono...
Nikapewa Ceftriaxone injection 1g
Doxycycline 2/siku 10
Metronidazole 400mg/siku 10
Nikapata nafuu kipindi natumia dawa siku ya kumi Tu maumivi makali Sana kwenywe uume na chini ya kitovu, mkojo hauumi nikikojoa.... Usaha mara moja sana Hadi mwishon mkojo nikojoa ndio naweza uona. Nikipekenywe urethra naona kama vidonda ivi au ulcers....
Napata maumivu makali Sana nikaa au nikilala...
Nimetumia antibiotics for 3 consecutive months Hadi mdomoni nimepata candida..
Nikajua hapa basi nishaukwaa...
Nimeenda kupima hiv imetoka -ve, Dr kanambia kama nilimnyonya mate na yeye alinyonya uume basi ndio nimepata fangus mdomoni... Sometimes nameza Kwa shida Sana....
Nikachoma pesa kwenda Agakhan Ocean road, nimefanaya vipimo vya uroflowmetry, urinalysis, na ultrasound... Mtaalamu WA urology akasema Nina prostatitis..
Nimepewa Lomefloxacin 400mg siku 14, Alfuzosin siku 14 na aceclofenac...
Problem ni Kua hizi dawa zinanizingua Sana.
Nikaenda hospital tena Jana kisiwani kufanya kipimo cha HIV na damu, HIV sina ni negtv, Ila kwenywe damu Dr kasema bado kuna STD... Pia fungus mdomoni...
Kaniandikia
Cefixime 400mg PO 1*1/5
Ceftriaxone 2g injection
Azitromycin 1g PO stat
Fluconazole 150mg/10 days Kwa ajili ya fungus
Leo nipo siku ya pili naendelea na dozi, (dawa za prostatitis nimeziacha Kwanza nimalize gono)
Swali
1. je nikawaida Kwa gono kutoka usaha WA maziwa mepesi mara moja moja na pia kwenywe semen Kua na kama maji maji ya maziwa.
2. Ni kawaida kuwa na maumivu makali ukikaa au kulala ukiwa na gono,
Yeye alishawahi tibiwa nikambana Akasema, pia yupo nami bega bega kuhakikisha napona, HIV nilkua staki kupima, akanambia sina, sababu yeye anapima mara Kwa mara. Ndio nikapata nguvu ya kupima HIV ikaonena negativ... In short yaana huwez Amin aseee naona kama pichaUmejuaje amekupa, na yeye anaumwa ?
Alishawahi tibiwaUmejuaje amekupa, na yeye anaumwa ?
Nimepiga izo bado naendelea na doziPole sana mkuu
Jaribu na Azuma
Pole sana mkuu, wakati mwingine uwe makini, huwezi kupima afya ya mtu kwa macho/ muonekano wa nje tu.Yeye alishawahi tibiwa nikambana Akasema, pia yupo nami bega bega kuhakikisha napona, HIV nilkua staki kupima, akanambia sina, sababu yeye anapima mara Kwa mara. Ndio nikapata nguvu ya kupima HIV ikaonena negativ... In short yaana huwez Amin aseee naona kama picha
Utapona epuka kuchanganya sana zina madhara piaNimepiga izo bado naendelea na dozi
Habari za Harakat za Maisha Wana forum.
Mimi ni kijana Nina miaka 32.
Nimeugua UTI mara moja last year mwezi nov, baada ya kutumia mlango wa nyuma....
Nikaenda hospital nikapewa flucamox na metronidazole siku tano nikapona.
3 months ago nimekutana tena na demu yuleyule, nikapiga kawaida Tu bila mpira..... Nikaikasirisha mizimu....
Nikajua ni Ile UTI tena imerudi, nimekunya flucamox mara 2, bila nafuu....
Nikaenda zahanati nimepewa Augmentin cluvamate nikapata nafuu kidogo tatizo bado linarud....
Nikaenda hospital agakhan kigamboni, wakanambia kwenywe vipimo mkojo uko Sawa Ila Kwa maumivu ya pumbu na uume pia kutoa semen yenye maji mepesi ya maziwa ni STD ambayo ni gono...
Nikapewa Ceftriaxone injection 1g
Doxycycline 2/siku 10
Metronidazole 400mg/siku 10
Nikapata nafuu kipindi natumia dawa siku ya kumi Tu maumivi makali Sana kwenywe uume na chini ya kitovu, mkojo hauumi nikikojoa.... Usaha mara moja sana Hadi mwishon mkojo nikojoa ndio naweza uona. Nikipekenywe urethra naona kama vidonda ivi au ulcers....
Napata maumivu makali Sana nikaa au nikilala...
Nimetumia antibiotics for 3 consecutive months Hadi mdomoni nimepata candida..
Nikajua hapa basi nishaukwaa...
Nimeenda kupima hiv imetoka -ve, Dr kanambia kama nilimnyonya mate na yeye alinyonya uume basi ndio nimepata fangus mdomoni... Sometimes nameza Kwa shida Sana....
Nikachoma pesa kwenda Agakhan Ocean road, nimefanaya vipimo vya uroflowmetry, urinalysis, na ultrasound... Mtaalamu WA urology akasema Nina prostatitis..
Nimepewa Lomefloxacin 400mg siku 14, Alfuzosin siku 14 na aceclofenac...
Problem ni Kua hizi dawa zinanizingua Sana.
Nikaenda hospital tena Jana kisiwani kufanya kipimo cha HIV na damu, HIV sina ni negtv, Ila kwenywe damu Dr kasema bado kuna STD... Pia fungus mdomoni...
Kaniandikia
Cefixime 400mg PO 1*1/5
Ceftriaxone 2g injection
Azitromycin 1g PO stat
Fluconazole 150mg/10 days Kwa ajili ya fungus
Leo nipo siku ya pili naendelea na dozi, (dawa za prostatitis nimeziacha Kwanza nimalize gono)
Swali
1. je nikawaida Kwa gono kutoka usaha WA maziwa mepesi mara moja moja na pia kwenywe semen Kua na kama maji maji ya maziwa.
2. Ni kawaida kuwa na maumivu makali ukikaa au kulala ukiwa na gono,
Thanks, nimejifunzaPole sana mkuu, wakati mwingine uwe makini, huwezi kupima afya ya mtu kwa macho/ muonekano wa nje tu.
Huyo anapima mara kwa mara HIV sababu anauza mechi sana.Ana wanaume wengi na hawezi kupona coz hata akinywa dawa anaenda kukutana nao tena.Piga chini huyo demu. Sababu hata ukimaliza dozi,ukitembea nae tena atakuambukiza.Yeye alishawahi tibiwa nikambana Akasema, pia yupo nami bega bega kuhakikisha napona, HIV nilkua staki kupima, akanambia sina, sababu yeye anapima mara Kwa mara. Ndio nikapata nguvu ya kupima HIV ikaonena negativ... In short yaana huwez Amin aseee naona kama picha