Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Nafikiri kutokana na matibabu mengi aliyofanya Kufikiria Kipimo cha Uroflowmetry ilikuwa sahihi sana na hata USS..

Kwanini!
Ilikuweza ku rule out (R/o) magonjwa yote ya Prostate maana Inaweza pia kusababisha usaha na hata shahawa kuwa Laini yaani maji maji na ni kitu ambacho yeye mtoa mada amesema alikuwa nacho..

Na kumbuka prostate gland ndo inayohusika kwenye utengenezaji wa enzymes zinazohusika kwenye utengenezwaji wa semen ..

na kuhusu USS..

Siku hizi kuna wimbi la vijana na watu wazima wa makamo kupata magonjwa ya Hydronephrosis na kidney stone ambaye yana dalili tofauti tofauti...
wengi wanakuja kama maumivu ya tumbo Chini ya kitovu au upande wa kulia na kushoto..
Yote hayo kabla ya culture and sensitivity kwa mtu ambaye ana strong history ya STI?
 
Achome Penadur ya kazi gani ndg? Umeongea mengi mazuri ila ukachanganya madesa hapo kwenye Penadur. Unless kama unahisi ana Kaswende( Syphilis) ambayo haiwezi kuwa covered na hizo antibiotics alizopewa.


Pia kusema ugonjwa wa bacteria umekomaa ni makosa unatakiwa utumie neno usugu ( resistance) ambapo suluhisho rahisi ilikuwa kwa mgonjwa kufanya culture and sensitivity na asingehangaika huko kote alipokwenda

Mwisho kabisa nimeona STI nyingi ambazo haziponi kwa dawa za kawaida mpaka kutumia Carbapenems kwahiyo ni vzr mleta mada asipopona akaotesha huo mkojo wake na kupata suluhisho sahihi la dawa zitakazomponesha
Nashukuru mkuu!
Ila kwa maelezo yake japo mengi anaficha kuna uwezekano..
Akawa na Co-Infection na hizi case zipo nyingi sana...

Na huenda ikawa multiInfection pia kwa sababu Gonorrhea kwa mwaka mmoja ni jambo la kufikiri Sana Lazima ingeshaanza kumletea complication nyingi...

...kinachoweza kuhimili mwaka mmoja mara nyingi ni syphilis..

Na uko sawa kabisa kinachoweza kuamua Vizuri ni Culture amd sensitivity
 
Unatumia jina la mtu mwenye uelewa wa Udaktari lakini una uelewa sawa na Manyaunyau
Nakuona DOKTA UCHWARA unaabudu madonge yenye KEMIKALI kuliko MIMEA iliyoumbwa na Mwenyezi Mungu.

Unajisikia fahari mwenyewe kutaja majina ya KIGIRIKI, mara zijui AMPHETAMINE, sijui DOXYCYCLINE 😂😂😂🙌🙌

Mwenzako huyo hapo kagonga mzizi mmoja tu wa mpapai GONO KWISHAA!

Wewe uko bize na MAKEMIKALI , AMPHETAMINE 😂😂😂🙌🙈🙈 Ndo maana mgonjwa haponi HAMJIELEWI 😂
 
Nashukuru mkuu!
Ila kwa maelezo yake japo mengi anaficha kuna uwezekano..
Akawa na Co-Infection na hizi case zipo nyingi sana...

Na huenda ikawa multiInfection pia kwa sababu Gonorrhea kwa mwaka mmoja ni jambo la kufikiri Sana Lazima ingeshaanza kumletea complication nyingi...

...kinachoweza kuhimili mwaka mmoja mara nyingi ni syphilis..

Na uko sawa kabisa kinachoweza kuamua Vizuri ni Culture amd sensitivity
Syphilis ya mwaka mmoja haiwezi kuonesha dalili maana ipo kwenye latent phase. Na toka lini syphilis ikasababisha urethral discharge au maumivu ya tumbo la chini (LAP)? Pia amesema mara ya kwanza alipona so kilichotokea ni recurrence sio chronicity
 
Nakuona DOKTA UCHWARA unaabudu madonge yenye KEMIKALI kuliko MIMEA iliyoumbwa na Mwenyezi Mungu.

Unajisikia fahari mwenyewe kutaja majina ya KIGIRIKI, mara zijui AMPHETAMINE, sijui DOXYCYCLINE 😂😂😂🙌🙌

Mwenzako huyo hapo kagonga mzizi mmoja tu wa mpapai GONO KWISHAA!

Wewe uko bize na MAKEMIKALI , AMPHETAMINE 😂😂😂🙌🙈🙈 Ndo maana mgonjwa haponi HAMJIELEWI 😂
Bichwa kome 🤣🤣
MKuu we hujawahi kuwa serious kabisa sijWahi kukuona ukiwa serious 🤣🤣🤣
 
Sio sehemu zote wana Access na ruhusa ya kufanya safe Culture and sensitivity mkuu...
DOKTA samaleko 🙈🙈🙈

Naona mgonjwa haponi licha ya kutumia RUNDO LA MAKEMIKALI 😂😂 AMPHETAMINE and DOXYCYCLINE 🙈🙈🙈🙈😂😂😂

Haya, mkiambiwa ukweli mnafura, mwenzako pale juu KANYWA MIZIZI YA MLONGE ndani ya siku saba tu GONO KWISHA.

Lakini huyu BABA DOXYCYCLINE anazurura tu mahospitali anadungwa MAJUISI yenye KEMIKALI yanadunda.

Mara oooh, bakteria suguu 😂😂😂 MBONA ukitandika MLONGE bakteria hawaleti kisirani wanafyekwa instantly 😂😂
 
Nakuona DOKTA UCHWARA unaabudu madonge yenye KEMIKALI kuliko MIMEA iliyoumbwa na Mwenyezi Mungu.

Unajisikia fahari mwenyewe kutaja majina ya KIGIRIKI, mara zijui AMPHETAMINE, sijui DOXYCYCLINE 😂😂😂🙌🙌

Mwenzako huyo hapo kagonga mzizi mmoja tu wa mpapai GONO KWISHAA!

Wewe uko bize na MAKEMIKALI , AMPHETAMINE 😂😂😂🙌🙈🙈 Ndo maana mgonjwa haponi HAMJIELEWI 😂
Hao Madaktari unaowaita uchwara ndio watakaokutibu wewe na bwanako mnayefanya ushoga huku ukilalamika kufanyiwa domestic violence na mama mkwe. Unapinga dawa za Wagiriki huku unaendekeza tabia za Wagiriki ambao ndio waanzilishi wa ushoga na ufilanaji
 
Syphilis ya mwaka mmoja haiwezi kuonesha dalili maana ipo kwenye latent phase. Na toka lini syphilis ikasababisha urethral discharge au maumivu ya tumbo la chini (LAP)? Pia amesema mara ya kwanza alipona so kilichotokea ni recurrence sio chronicity
Uko sawa Mkuu haiwezi kuonyesha Symptoms na ndo maana you need to treat as Co-Infection..

Umewahi Kujiuliza Why we Treat STI as syndromic Approach and Not single Dx
 
Habari za Harakat za Maisha Wana forum.

Mimi ni kijana Nina miaka 32.
Nimeugua UTI mara moja last year mwezi nov, baada ya kutumia mlango wa nyuma....
Nikaenda hospital nikapewa flucamox na metronidazole siku tano nikapona.

3 months ago nimekutana tena na demu yuleyule, nikapiga kawaida Tu bila mpira..... Nikaikasirisha mizimu....

Nikajua ni Ile UTI tena imerudi, nimekunya flucamox mara 2, bila nafuu....
Nikaenda zahanati nimepewa Augmentin cluvamate nikapata nafuu kidogo tatizo bado linarud....

Nikaenda hospital agakhan kigamboni, wakanambia kwenywe vipimo mkojo uko Sawa Ila Kwa maumivu ya pumbu na uume pia kutoa semen yenye maji mepesi ya maziwa ni STD ambayo ni gono...

Nikapewa Ceftriaxone injection 1g
Doxycycline 2/siku 10
Metronidazole 400mg/siku 10
Nikapata nafuu kipindi natumia dawa siku ya kumi Tu maumivi makali Sana kwenywe uume na chini ya kitovu, mkojo hauumi nikikojoa.... Usaha mara moja sana Hadi mwishon mkojo nikojoa ndio naweza uona. Nikipekenywe urethra naona kama vidonda ivi au ulcers....
Napata maumivu makali Sana nikaa au nikilala...

Nimetumia antibiotics for 3 consecutive months Hadi mdomoni nimepata candida..
Nikajua hapa basi nishaukwaa...

Nimeenda kupima hiv imetoka -ve, Dr kanambia kama nilimnyonya mate na yeye alinyonya uume basi ndio nimepata fangus mdomoni... Sometimes nameza Kwa shida Sana....

Nikachoma pesa kwenda Agakhan Ocean road, nimefanaya vipimo vya uroflowmetry, urinalysis, na ultrasound... Mtaalamu WA urology akasema Nina prostatitis..

Nimepewa Lomefloxacin 400mg siku 14, Alfuzosin siku 14 na aceclofenac...
Problem ni Kua hizi dawa zinanizingua Sana.

Nikaenda hospital tena Jana kisiwani kufanya kipimo cha HIV na damu, HIV sina ni negtv, Ila kwenywe damu Dr kasema bado kuna STD... Pia fungus mdomoni...
Kaniandikia
Cefixime 400mg PO 1*1/5
Ceftriaxone 2g injection
Azitromycin 1g PO stat
Fluconazole 150mg/10 days Kwa ajili ya fungus

Leo nipo siku ya pili naendelea na dozi, (dawa za prostatitis nimeziacha Kwanza nimalize gono)

Swali
1. je nikawaida Kwa gono kutoka usaha WA maziwa mepesi mara moja moja na pia kwenywe semen Kua na kama maji maji ya maziwa.

2. Ni kawaida kuwa na maumivu makali ukikaa au kulala ukiwa na gono,
. Pole sana mkuu , ungekua muuguzi/Sekta ya afya kuna dawa fulani hivi ningekuelekeza...
. Inatibu gonorrhea ndani ya Masaa matatu tu..
 
DOKTA samaleko 🙈🙈🙈

Naona mgonjwa haponi licha ya kutumia RUNDO LA MAKEMIKALI 😂😂 AMPHETAMINE and DOXYCYCLINE 🙈🙈🙈🙈😂😂😂

Haya, mkiambiwa ukweli mnafura, mwenzako pale juu KANYWA MIZIZI YA MLONGE ndani ya siku saba tu GONO KWISHA.

Lakini huyu BABA DOXYCYCLINE anazurura tu mahospitali anadungwa MAJUISI yenye KEMIKALI yanadunda.

Mara oooh, bakteria suguu 😂😂😂 MBONA ukitandika MLONGE bakteria hawaleti kisirani wanafyekwa instantly 😂😂
Matumizi ya miti shamba ni salama BICHWA KOMWE - Japo Inatakiwa kunywa Mitishamba iliyoThibitishwa na TMDA na Kupewa kibali kwenye Baraza la Tiba asili na tiba mbadala
 
Sio sehemu zote wana Access na ruhusa ya kufanya safe Culture and sensitivity mkuu...
Yaani hospital iweze kufanya uroflometry ila wasiweze kufanya culture and sensitivity? Na what's the point ya kuwa na referral au private labs km Metropolis au Lancet km kila kitu lazima ufanyie hapo hospitalini kwako? Acha kutetea makosa kwa kufanya makosa zaidi
 
Bichwa kome 🤣🤣
MKuu we hujawahi kuwa serious kabisa sijWahi kukuona ukiwa serious 🤣🤣🤣
Mi nazungumza kitu true DOKTA 😂😂

Natamani hii elimu yenu nzuri mngeihamishia kwenye DAWA ZA KWELI, na sio MADAWA YA KIBIASHARA yenye KEMIKALI LUKUKI.

Think about it, najua unaona ni maskhara, unalinda udokta wako, lakini haya. YANGU MACHO.

Namuhurumia BABA DOXYCYCLINE anabugia MADONGE kila uchwao lakini haponi anatajirisha FAMASI tu.
 
Back
Top Bottom