Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Hahahahaaa 🤣🤣🤣🤣

Nakuona BABA DOXYCYCLINE umefura baada ya kichaka chako cha MAKEMIKALI kufyekwa.

Mgonjwa haponi kwa sababu ya ushamba wenu wa MAKEMIKALI, mko bize mnachanganya MADONGE YA HOVYO, mwisho wake mgonjwa anaharibika FIGO.

Amphetamine haiwezi kumuokoa mgonjwa 😂😂😂 unatakiwa utumie akili uache kuwa DOKTA UCHWARA unayeabudu MAKEMIKALI.

Embrace Nature. 😉
Mbona ushoga ni against nature and yet u are embracing it? Are u mentally ill au una flight of ideas na kuchanganya madesa?
 
Then alivyokuambia hivyo ulichukulia Poa!
Wanaume tuache kuishi kwa mazoea..
Nahisi watu wanahitaji sana Elimu ya Uzazi na magonjwa ya zinaa, Zaidi mno kuliko elimu ya uchumi na ujasiriamli vinginevyo tutapoteza wengi
Naunga mkono hoja...
 
Kwenye syndromic approach umewahi kuona wapi kuna Penadur? Point ya kufanya syndromic approach ni kwa sababu ya kukosa culture and sensitivity. Km unaweza kufanya culture and sensitivity hakuna haja ya syndromic approach. Back to your point niletee guideline yoyote inayotaja Penadur kwenye syndromic approach kuanzia first line mpaka third line.

Km unahisi kuna Syphilis unaweza kufanya VDRL/ RPR ku rule out na sio kumuumiza mtu na Penadur km Daktari wa ng'ombe ilhali haimsaidii
Umesema hivyo umenikumbusha kuna Jamaa yangu mmoja anafanya kazi kwenye Hospitali ya wilaya alikuwa Oncall siku moja wagonjwa unajua ukiwa oncall mara nyingi wanakuja sana kuanzia Saa 4 mpaka saa nane usiku sasa muda wa tisa akasema alale Ile ameenda kulala..

Akaja mgonjwa anaumwa japo alikuwa mzima tu yaani anasema anakojoa mkojo wa njano..
Jamaa na wenge la usingiz na hasira Akamuuliza ndo uje usiku huu..

Jamaa akamuandikia Penadur Tangu siku hiyo jamaa ananiambia hajawahi kukanyaga usiku tena 🤣🤣

MKuu uko sawa Hivyo ndivyo inavyotakiwa kufanywa lakini Kwa hapa Tanzania Sijawahi kuona ikifanyika hivyo Nina miaka takribani Ishirini na kitu nikitibu na kufanya supervision sehemu mbalimbali..

Umesema kwenye syndromic Approach yoyote hakuna Penadur seriously

Kasome flow Chart 12. 8: ukurasa wa 129 wa STANDARD TREATMENT guildline toleo la mwaka 2017..

Na kingine huyu jamaa anaSyndromic approach inayosuggest Multi infection na kulingana na STG lazma kwanza umalize Treatment ndo uende kwenye culture and sensitivity..

Lakini kwa kuwa Ametumia sana dawa nakubalina na wewe Wayforwad ilikuwa ni moja Tu culture and Sensitivity vinginevyo atakuwa anameza Dawa kama Karanga tu
 
Hivi vipimo vilikuwa na umuhimu gani ilhali culture and sensitivity ingemaliza kazi, na kuleta majibu ya dawa gani sahihi ya kuua hao bakteria uliopata kwa njia ya kujamiiana ( STI)?
Ujue hospital nimefika nikaeleza Kua natoka agakhan kigambon nimetibiwa lakini sijapata nafuu, wao wakanambia nionane na Dr mtaalamu WA urology, yeye ndio aliendika nifanye ivyo vipimo na baadae Akasema ni prostatitis akan prescrib izo Lomefloxacin
 
Antibiotics zipo kwa ajili ya kutibu na sio kupooza.
Antibiotic zingekuwa zinaponya basi huyu mgonjwa wenu angeshapona MAGONOREA YAKE.

Lakini kwa sababu yako wewe DOKTA UCHWARA na jopo lako la WAABUDU MADONGE mmesababisha mgonjwa anazurura kila hospitali bila kupona analia lia tu.

Ati ooohh AMPHETAMINE, Thubutuuuuuu!!!!!!!!!! 😂😂

Gono limenasa haswa, hata wewe dokta uchwara hujui la kufanya.

MAKEMIKALI YAKO uliyoyakoroga yamedunda, you know why? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Antibiotic zingekuwa zinaponya basi huyu mgonjwa wenu angeshapona MAGONOREA YAKE.

Lakini kwa sababu yako wewe DOKTA UCHWARA na jopo lako la WAABUDU MADONGE mmesababisha mgonjwa anazurura kila hospitali bila kupona analia lia tu.

Ati ooohh AMPHETAMINE, Thubutuuuuuu!!!!!!!!!! 😂😂

Gono limenasa haswa, hata wewe dokta uchwara hujui la kufanya.

MAKEMIKALI YAKO uliyoyakoroga yamedunda, you know why? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kuzurura kwake kumetokana na kukosa kipimo sahihi na Daktari sahihi wa kumpa dawa na vipimo sahihi. Hakuna antibiotic inayoua wadudu wote. Hi you mitishamba ingekuwa inatibu kwa kiwango hicho jamii za porini au jamii za sentinels wangekuwa na maisha marefu
 
Back
Top Bottom