Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Shukran Sana Dr Kwa your time, nothing to reward...
Mwanamke nilkua nae since last year Nov, na miezi hiyo nilpata UTI nikapewa flucamox nikapona kabisa.

September mwaka huu ndio nikapata Tena hii UTI mwanamke huyuhuyu Ila ndio haiponi.
Awali nimetumia dawa za UTI bila kupata nafuu, inapoa Tu ukimaliza dozi ikarudi, ndio nikabadil hospital wakanambia Kwa dawa nilizotumia kama ni UTI ingekua imeisha nilichonacho ni STD nikapewa dawa lakini ndio siponi..
Unakuwa na mwanamke anakupa fungus halafu bado unaendelea nae.You must be..... aisee.Unasema UTI ikute ilikuwa ugonjwa wa zinaa hata hayo maambukizi ya kwanza.
 
Umesema hivyo umenikumbusha kuna Jamaa yangu mmoja anafanya kazi kwenye Hospitali ya wilaya alikuwa Oncall siku moja wagonjwa unajua ukiwa oncall mara nyingi wanakuja sana kuanzia Saa 4 mpaka saa nane usiku sasa muda wa tisa akasema alale Ile ameenda kulala..

Akaja mgonjwa anaumwa japo alikuwa mzima tu yaani anasema anakojoa mkojo wa njano..
Jamaa na wenge la usingiz na hasira Akamuuliza ndo uje usiku huu..

Jamaa akamuandikia Penadur Tangu siku hiyo jamaa ananiambia hajawahi kukanyaga usiku tena 🤣🤣

MKuu uko sawa Hivyo ndivyo inavyotakiwa kufanywa lakini Kwa hapa Tanzania Sijawahi kuona ikifanyika hivyo Nina miaka takribani Ishirini na kitu nikitibu na kufanya supervision sehemu mbalimbali..

Umesema kwenye syndromic Approach yoyote hakuna Penadur seriously

Kasome flow Chart 12. 8: ukurasa wa 129 wa STANDARD TREATMENT guildline toleo la mwaka 2017..

Na kingine huyu jamaa anaSyndromic approach inayosuggest Multi infection na kulingana na STG lazma kwanza umalize Treatment ndo uende kwenye culture and sensitivity..

Lakini kwa kuwa Ametumia sana dawa nakubalina na wewe Wayforwad ilikuwa ni moja Tu culture and Sensitivity vinginevyo atakuwa anameza Dawa kama Karanga tu
Nisaidie kuleta hiyo guideline inayosema tutumie Penadur bila VDRL/ RPR kuwa positive. Napenda pia nikukumbushe the current guideline ni ya mwaka 2021/2022 hiyo ya 2017 Isha kuwa phased out though Nina uhakika kuna kitu umeoverlook kwenye VDRL/ RPR
 
Baada ya Mimi kuugua nilimjulisha akawa anawasiwasi, pia anakijitabu cha magonjwa ya STD nikajua Tu kapewa zahanati, pia Yuko very supportive kunambia Kua nitapona pia yeye anasema anadr wake anamjua tukishindwa uku nimwambie... Nikajua tayari pia ashawahi kunambia Anatoka Usaha na damu kabla sijaugua mim
Liongo hilo ni ligonjwa halafu ni li malaya.Yaaani mimi ningempiga block moja matata,na ningehakikisha ninajitibu na kutulia kabisa.Huyo ni munipulator mkubwa.Anajua anaumwa na hawezi kupona cozi still analala na hao wengine aliowaambukiza au waliomuambukiza.
 
Kuzurura kwake kumetokana na kukosa kipimo sahihi na Daktari sahihi wa kumpa dawa na vipimo sahihi. Hakuna antibiotic inayoua wadudu wote. Hi you mitishamba ingekuwa inatibu kwa kiwango hicho jamii za porini au jamii za sentinels wangekuwa na maisha marefu
Kabisa asee, shukran Sana
 
Syphilis ya mwaka mmoja haiwezi kuonesha dalili maana ipo kwenye latent phase. Na toka lini syphilis ikasababisha urethral discharge au maumivu ya tumbo la chini (LAP)? Pia amesema mara ya kwanza alipona so kilichotokea ni recurrence sio chronicity
Mkuu natambuaje kama nimepatwa na syphilis...!?
 
Hum sikufahamu wala sikujui, nipo naendelea na matibabu ya ugonjwa nikupoteze muda na mb zako Kwa porojo ili nilipwe nin... Nipo hapa kupata Ushauri WA Wataalam niju nifanywe vip ili kupata dawa sahihi ya kupona... Anyway thanks you very much Kwa maoni yako mazuri
Liongo hilo ni ligonjwa halafu ni li malaya.Yaaani mimi ningempiga block moja matata,na ningehakikisha ninajitibu na kutulia kabisa.Huyo ni munipulator mkubwa.Anajua anaumwa na hawezi kupona cozi still analala na hao wengine aliowaambukiza au waliomuambukiza.
 
Umesema hivyo umenikumbusha kuna Jamaa yangu mmoja anafanya kazi kwenye Hospitali ya wilaya alikuwa Oncall siku moja wagonjwa unajua ukiwa oncall mara nyingi wanakuja sana kuanzia Saa 4 mpaka saa nane usiku sasa muda wa tisa akasema alale Ile ameenda kulala..

Akaja mgonjwa anaumwa japo alikuwa mzima tu yaani anasema anakojoa mkojo wa njano..
Jamaa na wenge la usingiz na hasira Akamuuliza ndo uje usiku huu..

Jamaa akamuandikia Penadur Tangu siku hiyo jamaa ananiambia hajawahi kukanyaga usiku tena 🤣🤣

MKuu uko sawa Hivyo ndivyo inavyotakiwa kufanywa lakini Kwa hapa Tanzania Sijawahi kuona ikifanyika hivyo Nina miaka takribani Ishirini na kitu nikitibu na kufanya supervision sehemu mbalimbali..

Umesema kwenye syndromic Approach yoyote hakuna Penadur seriously

Kasome flow Chart 12. 8: ukurasa wa 129 wa STANDARD TREATMENT guildline toleo la mwaka 2017..

Na kingine huyu jamaa anaSyndromic approach inayosuggest Multi infection na kulingana na STG lazma kwanza umalize Treatment ndo uende kwenye culture and sensitivity..

Lakini kwa kuwa Ametumia sana dawa nakubalina na wewe Wayforwad ilikuwa ni moja Tu culture and Sensitivity vinginevyo atakuwa anameza Dawa kama Karanga tu
Screenshot_20231215-174021.png
 
Mkuu natambuaje kama nimepatwa na syphilis...!?
Dalili ya mwanzo inaweza kukuletea kidonda sehemu za siri kisicho na maumivu baadae kinatoweka. Mara nyingi Syphilis inakaa mwilini muda mrefu ( miaka kadhaa) bila kuonesha dalili yoyote tunaita latent phase. Kwa hiyo njia sahihi zaidi ni kufanya kipimo na uzuri kwa Tz kila mama mjamzito hupima Syphilis pindi anapohudhuria kliniki
 
Nisaidie kuleta hiyo guideline inayosema tutumie Penadur bila VDRL/ RPR kuwa positive. Napenda pia nikukumbushe the current guideline ni ya mwaka 2021/2022 hiyo ya 2017 Isha kuwa phased out though Nina uhakika kuna kitu umeoverlook kwenye VDRL/ RPR
Mkuu Kuna wakati as a Medical Personel Hutakiwi kuwa mbishi..

Kabla sijaendelea nilikuulza mwanzoni unajua maana ya Treatment as Per syndromic Approach..
Hakuna Treatment ya mwanzoni ya Syndromic approach inayofanywa kwa kufanyika vipimo..

Vipimo Huja baada ya 2n line Treatment kufail..

Na for the Info niko aware na Current Guildline ila ulichouliza hakikuhusisha current guildline..

Hii hapa hiyo syndromi. Approach japo nilikuambia page namba 129 na chart nilikupaa..

Screenshot_20231215_180127_Adobe Acrobat.jpg


Kuna sehemu umeona VDRL/RPR
 
Back
Top Bottom