Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Alikuambia hana rashes mkuu au umefanya conclusion mwenyewe? Kwamba hana rashes bila kumuuliza..

Umemuuliza?

Mkuu as my Knowledge of Reading and see ulisema kuwa hakuna syndromic approach yoyote inayotibu bila kupima..


All in all mkuu uko sawa ila tatizo ni mifumo yetu ndo inaingiza siasa kwenye matibabu....

Na unachosema Ni medically correct ila huku makazini hakifmayiki
Hakuna siasa inayosema tutumie Penadur kwenye syndromic approach treatment of STIs. After all saivi vipimo vingi vipo readily available tofauti na zamani Culture and sensitivity mpaka Dar es salaam tena watume Nairobi!

Mfano RPR ni rapid test ya bei rahisi, ipo almost kila mahali na inachukua less than 20 minutes kupata majibu. Kwanini umuumize mwenzio na maumivu ya Penadur ya wiki nzima badala ya kufanya kipimo ili umpe tiba sahihi?
 
Hakuna siasa inayosema tutumie Penadur kwenye syndromic approach treatment of STIs. After all saivi vipimo vingi vipo readily available tofauti na zamani Culture and sensitivity mpaka Dar es salaam tena watume Nairobi!

Mfano RPR ni rapid test ya bei rahisi, ipo almost kila mahali na inachukua less than 20 minutes kupata majibu. Kwanini umuumize mwenzio na maumivu ya Penadur ya wiki nzima badala ya kufanya kipimo ili umpe tiba sahihi?
Mkuu unajua hata unaposema STI unamaanisha nini?
Unamaanisha Syndromic Approach ya Treatment ya UDS/GUD (Ulcers Disease Syndrome/Genital ulcers) sio STIs..?

Unayosema yote nayajua! Nimeanza kufanya kazi Tangu tunadunga sindano (Kuchoma sindano zilizochemshwa kwanza kabla ya kuchoma mwingine)

Mpaka sasa mnachoma sindano..

Unajua Hata kwanini Kuna syndromic Approach (Ukishapima ugonjwa huwezi tena kuuita STIs wala Syndrome)

Utauita kwa jina lake mfano kama ulivyosema Syphilis na matibabu ya syphilis hayawezi kuwa syndromic ...yanafahamika kwa Dx yake..

Nafunga mjadala Huu sidhani kama nitajb

proffesionalism na ethically kama una matibabu mazuri unaweza ukashare na sisi bila kuweka mabishano yoyote kila siku kunafanyika research nyingi sana za magonjwa so Mabishano haya kwangu hayana Afya kwa Matibabu ya Mgonjwa...

Ciao
 
Mkuu unajua hata unaposema STI unamaanisha nini?
Unamaanisha Syndromic Approach ya Treatment ya UDS/GUD (Ulcers Disease Syndrome/Genital ulcers) sio STIs..?

Unayosema yote nayajua! Nimeanza kufanya kazi Tangu tunadunga sindano (Kuchoma sindano zilizochemshwa kwanza kabla ya kuchoma mwingine)

Mpaka sasa mnachoma sindano..

Unajua Hata kwanini Kuna syndromic Approach (Ukishapima ugonjwa huwezi tena kuuita STIs wala Syndrome)

Utauita kwa jina lake mfano kama ulivyosema Syphilis na matibabu ya syphilis hayawezi kuwa syndromic ...yanafahamika kwa Dx yake..

Nafunga mjadala Huu sidhani kama nitajb

proffesionalism na ethically kama una matibabu mazuri unaweza ukashare na sisi bila kuweka mabishano yoyote kila siku kunafanyika research nyingi sana za magonjwa so Mabishano haya kwangu hayana Afya kwa Matibabu ya Mgonjwa...

Ciao
Hata mimi nilishaufunga. It was an honour to engage in discussion with u. Uzidi kusaidia watu huko ulipo
 
Nilishajibu kuwa afanye culture and sensitivity ambapo mdudu ( bakteria) anayemsumbua atatambulika kwa jina na dawa zinazomuua.

Mathalani anaweza kuwa ana mdudu mfano ni Escherichia coli mwenye gamba gumu ( ESBL positive) ambaye anauawa na dawa km vile Carbapenems, Amikacin, Fosfomycin., Nitrofurantoin n.k. Hivyo basi akitumia hizi dawa zilizozoeleka huenda asipate nafuu abadan

Ili kuepusha kupiga ramli na kubahatisha ndio maana nikamshauri afanye culture and sensitivity kwenye maabara reputable km Lancet, Metropolis n.k( Note : Reputable Laboratories na sio uambiwe maabara nyingi zinafanya coz wore tunajua wataalam wetu baadhi ni tia maji km Carlos The Jackal )
Thank you very much, appreciated! Naufanyia kazi Ushauri na nitarejesha majibu
 
Sijakuelewa bro?!
Una gono baridi. Ni tricky kweli kweli kutibu. Ukiminya uume mara nyingine unatoa tone la maji meupe? Yaani hayatoki muda wote ila mara chache? Unatakiwa ufanye kipimo cha culture and sensitivity. Yaani wanachukuwa hayo matone kwenye kijiti chenye pamba, wanaotesha wale wadudu na kuwawekea dawa tofauti ili waone ni dawa gani inaua wale wadudu.
 
Hata mimi nilishaufunga. It was an honour to engage in discussion with u. Uzidi kusaidia watu huko ulipo
SAfi and this is how medical works! Shukrani sana..
yeah wanasaidika sana mkuu..

ukipata Muda wa kusoma Specialise kwenye internal medicine inakufaa zaidi kuwa Physician mkuu!
Karibu tuhudumie watoto (Paediatrician)
 
Habari za Harakat za Maisha Wana forum.

Mimi ni kijana Nina miaka 32.
Nimeugua UTI mara moja last year mwezi nov, baada ya kutumia mlango wa nyuma....
Nikaenda hospital nikapewa flucamox na metronidazole siku tano nikapona.

3 months ago nimekutana tena na demu yuleyule, nikapiga kawaida Tu bila mpira..... Nikaikasirisha mizimu....

Nikajua ni Ile UTI tena imerudi, nimekunya flucamox mara 2, bila nafuu....
Nikaenda zahanati nimepewa Augmentin cluvamate nikapata nafuu kidogo tatizo bado linarud....

Nikaenda hospital agakhan kigamboni, wakanambia kwenywe vipimo mkojo uko Sawa Ila Kwa maumivu ya pumbu na uume pia kutoa semen yenye maji mepesi ya maziwa ni STD ambayo ni gono...

Nikapewa Ceftriaxone injection 1g
Doxycycline 2/siku 10
Metronidazole 400mg/siku 10
Nikapata nafuu kipindi natumia dawa siku ya kumi Tu maumivi makali Sana kwenywe uume na chini ya kitovu, mkojo hauumi nikikojoa.... Usaha mara moja sana Hadi mwishon mkojo nikojoa ndio naweza uona. Nikipekenywe urethra naona kama vidonda ivi au ulcers....
Napata maumivu makali Sana nikaa au nikilala...

Nimetumia antibiotics for 3 consecutive months Hadi mdomoni nimepata candida..
Nikajua hapa basi nishaukwaa...

Nimeenda kupima hiv imetoka -ve, Dr kanambia kama nilimnyonya mate na yeye alinyonya uume basi ndio nimepata fangus mdomoni... Sometimes nameza Kwa shida Sana....

Nikachoma pesa kwenda Agakhan Ocean road, nimefanaya vipimo vya uroflowmetry, urinalysis, na ultrasound... Mtaalamu WA urology akasema Nina prostatitis..

Nimepewa Lomefloxacin 400mg siku 14, Alfuzosin siku 14 na aceclofenac...
Problem ni Kua hizi dawa zinanizingua Sana.

Nikaenda hospital tena Jana kisiwani kufanya kipimo cha HIV na damu, HIV sina ni negtv, Ila kwenywe damu Dr kasema bado kuna STD... Pia fungus mdomoni...
Kaniandikia
Cefixime 400mg PO 1*1/5
Ceftriaxone 2g injection
Azitromycin 1g PO stat
Fluconazole 150mg/10 days Kwa ajili ya fungus

Leo nipo siku ya pili naendelea na dozi, (dawa za prostatitis nimeziacha Kwanza nimalize gono)

Swali
1. je nikawaida Kwa gono kutoka usaha WA maziwa mepesi mara moja moja na pia kwenywe semen Kua na kama maji maji ya maziwa.

2. Ni kawaida kuwa na maumivu makali ukikaa au kulala ukiwa na gono,
nilikua na mechi ngoja nirudi home nikachek cartoon tu aise hii story yako imenitisha

pole mkuu utapona as long as grid inasoma -ve hamna mbaya
 
Una gono baridi. Ni tricky kweli kweli kutibu. Ukiminya uume mara nyingine unatoa tone la maji meupe? Yaani hayatoki muda wote ila mara chache? Unatakiwa ufanye kipimo cha culture and sensitivity. Yaani wanachukuwa hayo matone kwenye kijiti chenye pamba, wanaotesha wale wadudu na kuwawekea dawa tofauti ili waone ni dawa gani inaua wale wadudu.
Swadacta wew kama umeniona ...
Kabisaaa mim usaha siuoni Ila unatoka mkojo kawaida, na matone ya mkojo ya mwisho meupe Ila ukikaa mwishon mara moja moja utaona maziwa meupe mepesi na kwenywe semen pia yapo maziwa meupe na semen zenywe Tu na hata kwenywe urinalysis wanasema iko poa, Ila damu haijakaa sawa Dr kasema mwili unapambna.
Maumivu ni makali Sana kwenywe base ya uume, na kwenywe urethra.. pia nikipeknya kwenywe urethra naona ulcers au vijidnda Ila usaha siuoni...
 
Habari za Harakat za Maisha Wana forum.

Mimi ni kijana Nina miaka 32.
Nimeugua UTI mara moja last year mwezi nov, baada ya kutumia mlango wa nyuma....
Nikaenda hospital nikapewa flucamox na metronidazole siku tano nikapona.

3 months ago nimekutana tena na demu yuleyule, nikapiga kawaida Tu bila mpira..... Nikaikasirisha mizimu....

Nikajua ni Ile UTI tena imerudi, nimekunya flucamox mara 2, bila nafuu....
Nikaenda zahanati nimepewa Augmentin cluvamate nikapata nafuu kidogo tatizo bado linarud....

Nikaenda hospital agakhan kigamboni, wakanambia kwenywe vipimo mkojo uko Sawa Ila Kwa maumivu ya pumbu na uume pia kutoa semen yenye maji mepesi ya maziwa ni STD ambayo ni gono...

Nikapewa Ceftriaxone injection 1g
Doxycycline 2/siku 10
Metronidazole 400mg/siku 10
Nikapata nafuu kipindi natumia dawa siku ya kumi Tu maumivi makali Sana kwenywe uume na chini ya kitovu, mkojo hauumi nikikojoa.... Usaha mara moja sana Hadi mwishon mkojo nikojoa ndio naweza uona. Nikipekenywe urethra naona kama vidonda ivi au ulcers....
Napata maumivu makali Sana nikaa au nikilala...

Nimetumia antibiotics for 3 consecutive months Hadi mdomoni nimepata candida..
Nikajua hapa basi nishaukwaa...

Nimeenda kupima hiv imetoka -ve, Dr kanambia kama nilimnyonya mate na yeye alinyonya uume basi ndio nimepata fangus mdomoni... Sometimes nameza Kwa shida Sana....

Nikachoma pesa kwenda Agakhan Ocean road, nimefanaya vipimo vya uroflowmetry, urinalysis, na ultrasound... Mtaalamu WA urology akasema Nina prostatitis..

Nimepewa Lomefloxacin 400mg siku 14, Alfuzosin siku 14 na aceclofenac...
Problem ni Kua hizi dawa zinanizingua Sana.

Nikaenda hospital tena Jana kisiwani kufanya kipimo cha HIV na damu, HIV sina ni negtv, Ila kwenywe damu Dr kasema bado kuna STD... Pia fungus mdomoni...
Kaniandikia
Cefixime 400mg PO 1*1/5
Ceftriaxone 2g injection
Azitromycin 1g PO stat
Fluconazole 150mg/10 days Kwa ajili ya fungus

Leo nipo siku ya pili naendelea na dozi, (dawa za prostatitis nimeziacha Kwanza nimalize gono)

Swali
1. je nikawaida Kwa gono kutoka usaha WA maziwa mepesi mara moja moja na pia kwenywe semen Kua na kama maji maji ya maziwa.

2. Ni kawaida kuwa na maumivu makali ukikaa au kulala ukiwa na gono,
Daaah katika harakati za mizagumuano watu wanakutana na mengi 😂😂


Basi ukipona utauza mechi tena kama ambavyo hukuonyeka mwanzo
 
Mkuu Kuna wakati as a Medical Personel Hutakiwi kuwa mbishi..

Kabla sijaendelea nilikuulza mwanzoni unajua maana ya Treatment as Per syndromic Approach..
Hakuna Treatment ya mwanzoni ya Syndromic approach inayofanywa kwa kufanyika vipimo..

Vipimo Huja baada ya 2n line Treatment kufail..

Na for the Info niko aware na Current Guildline ila ulichouliza hakikuhusisha current guildline..

Hii hapa hiyo syndromi. Approach japo nilikuambia page namba 129 na chart nilikupaa..

View attachment 2843440

Kuna sehemu umeona VDRL/RPR
Tusiwe wabishi bila sababu;
1: Kwa nini ung'ang'anie guidline iliyopitwa muda wakati mpya ipo? Na iko online?

2: Kwa nini uunganishe GUDs syndromic approach kwenye UDS syndromic approach?

3: Kwa nini ung'ang'anie syndromic treatment kwa kitu ambacho Rapid test(RPR) inaweza kukuondolea utata husika?

Cheap vs Rapid vs less negative effects.

Mtu unatetea kumchoma mwenzio antibiotics na arudie kwa siku kadhaa? Wakati njia mwafaka ipo?

Tujiulize kwa nini kwa mazingira kadhaa syndromic inaruhusiwa na wapi hairuhusiwi. Tusifanye kwa mwenendo binafsi usio na tija.

Tunatakiwa sisi tuwe wa kuwasaidia wenzetu kufuata taratibu husika.

1: Atibiwe kwa utaratibu mwafaka. Na kuhakiki baada ya tiba.

2: Atibiwe mwenza

3: Apewe elimu ya kujikinga na maambukizi yeye na mwenza kwa kuacha utaratibu wa sasa na kufanya ngono salama.

4: Pia risk factors zinazomfanya aingie huko kama pombe nk. Aweze kukabliana nazo.

NB: Public na private health sector wote tuna nia njema kwa wateja wetu. Mambo mengine ya referrals kutokufanyika kwa wakati ni weakness za mtu mmoja mmoja si mfumo. Yanatokea pote kwa sababu mbalimbali. Tuungane kupambana tushauriane vyema ili tuendelee mbele dhidi ya adui wa afya zetu wenzetu.
 
Pole kwa unayoyapitia
Lakini nakushaur acha uchafu,acha ngono kinyume na maumbile
Mavi yamebeba wadudu wengi ambao wakihamishwa madhara ndiyo hayo

Rudi hospitali elezea scenario yako na ikibidi ufanye culture and sensitivity ili kubaini dawa itakayofaa kwasababu hapo inaonesha umeshatumia dawa za hilo tatizo karibu asilimia 90
Pole
 
Back
Top Bottom