Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Nashukuru mkuu!
Ila kwa maelezo yake japo mengi anaficha kuna uwezekano..
Akawa na Co-Infection na hizi case zipo nyingi sana...

Na huenda ikawa multiInfection pia kwa sababu Gonorrhea kwa mwaka mmoja ni jambo la kufikiri Sana Lazima ingeshaanza kumletea complication nyingi...

...kinachoweza kuhimili mwaka mmoja mara nyingi ni syphilis..

Na uko sawa kabisa kinachoweza kuamua Vizuri ni Culture amd sensitivity
Shukran Sana Dr Kwa your time, nothing to reward...
Mwanamke nilkua nae since last year Nov, na miezi hiyo nilpata UTI nikapewa flucamox nikapona kabisa.

September mwaka huu ndio nikapata Tena hii UTI mwanamke huyuhuyu Ila ndio haiponi.
Awali nimetumia dawa za UTI bila kupata nafuu, inapoa Tu ukimaliza dozi ikarudi, ndio nikabadil hospital wakanambia Kwa dawa nilizotumia kama ni UTI ingekua imeisha nilichonacho ni STD nikapewa dawa lakini ndio siponi..
 
Huyo BICHWA KOMWE - ni shoga uchwara wa nitumie nauli so uelewa wake ni mdogo sana. Ni wa kumpuuzia
Hahahahahaa 🤣🙈🙈

Tulia we DOKTA UCHWARA nikumenye umenyeke.

Leo nakumenya ganda lako lote feki la ujuzi bandia pamoja na majigambo yako.

Nataka nikumenye kweli kweli, ili kwamba kila ukitaka ku comment uharo wako wa kidaktari unajishikilia wowowo kwanza.
 
Ndiyo kwaheri hiyo, kwanza uzazi sahau.

Mkiambiwa zinaa na uasherati ni uchafu msiukaribie mnajifanya hamuelewi, mnaongeza na kufirana juu yake.

Shenzi taipu.
Hawa bi Faiza ni Mashoga wamejipanga kuhakikisha mada na habari zao zinakuwa hewani kila wakati kwenye platform mbali mbali za Social media.

Hivyo wanakuja na vistori vya kutunga vyenye maudhui ya Ushoga
 
Habari za Harakat za Maisha Wana forum.

Mimi ni kijana Nina miaka 32.
Nimeugua UTI mara moja last year mwezi nov, baada ya kutumia mlango wa nyuma....
Nikaenda hospital nikapewa flucamox na metronidazole siku tano nikapona.

3 months ago nimekutana tena na demu yuleyule, nikapiga kawaida Tu bila mpira..... Nikaikasirisha mizimu....

Nikajua ni Ile UTI tena imerudi, nimekunya flucamox mara 2, bila nafuu....
Nikaenda zahanati nimepewa Augmentin cluvamate nikapata nafuu kidogo tatizo bado linarud....

Nikaenda hospital agakhan kigamboni, wakanambia kwenywe vipimo mkojo uko Sawa Ila Kwa maumivu ya pumbu na uume pia kutoa semen yenye maji mepesi ya maziwa ni STD ambayo ni gono...

Nikapewa Ceftriaxone injection 1g
Doxycycline 2/siku 10
Metronidazole 400mg/siku 10
Nikapata nafuu kipindi natumia dawa siku ya kumi Tu maumivi makali Sana kwenywe uume na chini ya kitovu, mkojo hauumi nikikojoa.... Usaha mara moja sana Hadi mwishon mkojo nikojoa ndio naweza uona. Nikipekenywe urethra naona kama vidonda ivi au ulcers....
Napata maumivu makali Sana nikaa au nikilala...

Nimetumia antibiotics for 3 consecutive months Hadi mdomoni nimepata candida..
Nikajua hapa basi nishaukwaa...

Nimeenda kupima hiv imetoka -ve, Dr kanambia kama nilimnyonya mate na yeye alinyonya uume basi ndio nimepata fangus mdomoni... Sometimes nameza Kwa shida Sana....

Nikachoma pesa kwenda Agakhan Ocean road, nimefanaya vipimo vya uroflowmetry, urinalysis, na ultrasound... Mtaalamu WA urology akasema Nina prostatitis..

Nimepewa Lomefloxacin 400mg siku 14, Alfuzosin siku 14 na aceclofenac...
Problem ni Kua hizi dawa zinanizingua Sana.

Nikaenda hospital tena Jana kisiwani kufanya kipimo cha HIV na damu, HIV sina ni negtv, Ila kwenywe damu Dr kasema bado kuna STD... Pia fungus mdomoni...
Kaniandikia
Cefixime 400mg PO 1*1/5
Ceftriaxone 2g injection
Azitromycin 1g PO stat
Fluconazole 150mg/10 days Kwa ajili ya fungus

Leo nipo siku ya pili naendelea na dozi, (dawa za prostatitis nimeziacha Kwanza nimalize gono)

Swali
1. je nikawaida Kwa gono kutoka usaha WA maziwa mepesi mara moja moja na pia kwenywe semen Kua na kama maji maji ya maziwa.

2. Ni kawaida kuwa na maumivu makali ukikaa au kulala ukiwa na gono,

Jitahidi unavo omba msaada usiwambie makosa yako lasivyo watu wataona hamna haja ya kukusaidia ! binadamu ni judgemental
 
Alishawahi tibiwa
alishawahi tibiwa kivipi?

tunaongelea hili ambukizo la mara ya pili, umesema ni yeye ulilala nae akakuambukiza.... ina maana alikuwa amebewa ugonjwa safari hii mara ya pili wakati anakuambukiza

swali ni je, na yeye ametibiwa baada ya kukupa ugonjwa mara ya pili?
aliandikiwa dawa tofauti na wewe akapona ?
au yeye haumwi?
kama haumwi na hajatibiwa baada ya ambukizo lako la pili umejuaje yeye ndio kakuambukiza ?
 
Huyo unayemuamini ndio anakupa gono sugu, hiv na mengineyo. Yaani tunaambukizwa na watu tunaowaamini. Waliopo risk free ni wanaotumia kinga kwa kila tendo.
Bora kuacha kufanya. Au kuwa na mpenzi mmoja ambaye na yeye ana mpenzi mmoja ambaye ni wewe.
 
alishawahi tibiwa kivipi?

tunaongelea hili ambukizo la mara ya pili, umesema ni yeye ulilala nae akakuambukiza.... ina maana alikuwa amebewa ugonjwa safari hii mara ya pili wakati anakuambukiza

swali ni je, na yeye ametibiwa baada ya kukupa ugonjwa mara ya pili?
aliandikiwa dawa tofauti na wewe akapona ?
au yeye haumwi?
kama haumwi na hajatibiwa baada ya ambukizo lako la pili umejuaje yeye ndio kakuambukiza ?
Baada ya Mimi kuugua nilimjulisha akawa anawasiwasi, pia anakijitabu cha magonjwa ya STD nikajua Tu kapewa zahanati, pia Yuko very supportive kunambia Kua nitapona pia yeye anasema anadr wake anamjua tukishindwa uku nimwambie... Nikajua tayari pia ashawahi kunambia Anatoka Usaha na damu kabla sijaugua mim
 
Back
Top Bottom