Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Utapona tu,ila ukome kufanya ngono kipumbavu.Pia mpigie simu huyo mwanamke na yeye akajitibu na yeye awapigie wote aliotembea nao na wao wawapigie waliotembea nao.Mweh ni vicious cycle. Get well soon. Hivi inatokeaje mtu unafanya ngono zembe ?Kwangu mimi utajiri number moja ni afya njema.Kamwe siwezi kufanya ngono hovyo hovyo na watu wa hovyo.

Ukiwa under influence of alcohol lolote linawezekana.
Pole Inasikitisha
 
Majibu aliyouliza yote!
majibu yake ni Ndiyo..

Tena imemsitiri sana maana Gono wameilea Tangu mwaka Jana November (Kwa maelezo yake) Amekuwa akiipoza tu na Dawa.

Sihukumu ila natoa ushauri!
kama yule msichana Anapenda kufanya naye mapenzi kinyume na maumbile au kwa njia ya kawaida ningependa zaidi kama Angefanya ngono iliyo salama..

Kingine yule msichana na yeye atibiwe kutibu upande mmoja ni kazi bure Wote mtibiwe ili kuzuia maambukizi mapya..

Dawa aliyopewa kisiwani (Hapo mwishoni) Zinaweza kuwa dawa sahihi kwake Yeye na kwa mpenzi wake!

Japo kwa Case yako Lazma ningeongeza na Benzathine Peniciline (Penadur) kwa sababu hiyo kitu imekomaa sana kwahyo ungechoma benzathine kwa wiki 3- 5 angalau..

NB: Kingine kwa Madaktari wote Augumentin (Amoxicilin Plus Potasium Clavulanic "Amoxiclav)
Mara nyingi sio Dawa Sahihi sana kwa Magonjwa ya zinaa..(Japo ni dawa nzuri kwa magonjwa ya mfumo wa hewa)

Kutokana na Amoxiciline kuwa Na nguvu kubwa kwenye Gram Positive bacteria Na kuwa na nguvu ndogo kwenye Gram negative bacteria...
Wakati huo Neisseria Gono....ni gram neg.ssp


Kwahyo tunaweza kusababisha usugu wa Dawa kwa wagonjwa na Kusababisha kutengeneza untreated Traits..
Tuzingatie miongozo...na Researches....

CC: dopamine-B
 
Unajua unaezakutana na mwanamke ukaona anamaisha magum kidgo, nikasema Acha niwe nae, chochote nachotaka ananipa, simu moja yupo napotaka awepo nikamwamini... Na yeye kasema alishawahi tibiwa Ila hakunambia,, kanambia uken ulitoka uchafu WA njano na damu....
Nimekaa nae 2 years, picha picha imeanza 2 months ago na sina demu mwngine nnae enda kavu
Then alivyokuambia hivyo ulichukulia Poa!
Wanaume tuache kuishi kwa mazoea..
Nahisi watu wanahitaji sana Elimu ya Uzazi na magonjwa ya zinaa, Zaidi mno kuliko elimu ya uchumi na ujasiriamli vinginevyo tutapoteza wengi
 
Majibu aliyouliza yote!
majibu yake ni Ndiyo..

Tena imemsitiri sana maana Gono wameilea Tangu mwaka Jana November (Kwa maelezo yake) Amekuwa akiipoza tu na Dawa.

Sihukumu ila natoa ushauri!
kama yule msichana Anapenda kufanya naye mapenzi kinyume na maumbile au kwa njia ya kawaida ningependa zaidi kama Angefanya ngono iliyo salama..

Kingine yule msichana na yeye atibiwe kutibu upande mmoja ni kazi bure Wote mtibiwe ili kuzuia maambukizi mapya..

Dawa aliyopewa kisiwani (Hapo mwishoni) Zinaweza kuwa dawa sahihi kwake Yeye na kwa mpenzi wake!

Japo kwa Case yako Lazma ningeongeza na Benzathine Peniciline (Penadur) kwa sababu hiyo kitu imekomaa sana kwahyo ungechoma benzathine kwa wiki 3- 5 angalau..

NB: Kingine kwa Madaktari wote Augumentin (Amoxicilin Plus Potasium Clavulanic "Amoxiclav)
Mara nyingi sio Dawa Sahihi sana kwa Magonjwa ya zinaa..(Japo ni dawa nzuri kwa magonjwa ya mfumo wa hewa)

Kutokana na Amoxiciline kuwa Na nguvu kubwa kwenye Gram Positive bacteria Na kuwa na nguvu ndogo kwenye Gram negative bacteria...
Wakati huo Neisseria Gono....ni gram neg.ssp


Kwahyo tunaweza kusababisha usugu wa Dawa kwa wagonjwa na Kusababisha kutengeneza untreated Traits..
Tuzingatie miongozo...na Researches....

CC: dopamine-B
Achome Penadur ya kazi gani ndg? Umeongea mengi mazuri ila ukachanganya madesa hapo kwenye Penadur. Unless kama unahisi ana Kaswende( Syphilis) ambayo haiwezi kuwa covered na hizo antibiotics alizopewa.


Pia kusema ugonjwa wa bacteria umekomaa ni makosa unatakiwa utumie neno usugu ( resistance) ambapo suluhisho rahisi ilikuwa kwa mgonjwa kufanya culture and sensitivity na asingehangaika huko kote alipokwenda

Mwisho kabisa nimeona STI nyingi ambazo haziponi kwa dawa za kawaida mpaka kutumia Carbapenems kwahiyo ni vzr mleta mada asipopona akaotesha huo mkojo wake na kupata suluhisho sahihi la dawa zitakazomponesha
 
Nikachoma pesa kwenda Agakhan Ocean road, nimefanaya vipimo vya uroflowmetry, urinalysis, na ultrasound... Mtaalamu WA urology akasema Nina prostatitis..
Hivi vipimo vilikuwa na umuhimu gani ilhali culture and sensitivity ingemaliza kazi, na kuleta majibu ya dawa gani sahihi ya kuua hao bakteria uliopata kwa njia ya kujamiiana ( STI)?
 
Unajua unaezakutana na mwanamke ukaona anamaisha magum kidgo, nikasema Acha niwe nae, chochote nachotaka ananipa, simu moja yupo napotaka awepo nikamwamini... Na yeye kasema alishawahi tibiwa Ila hakunambia,, kanambia uken ulitoka uchafu WA njano na damu....
Nimekaa nae 2 years, picha picha imeanza 2 months ago na sina demu mwngine nnae enda kavu
Huyo demu utakuwa unakula na masela
 
Unajua unaezakutana na mwanamke ukaona anamaisha magum kidgo, nikasema Acha niwe nae, chochote nachotaka ananipa, simu moja yupo napotaka awepo nikamwamini... Na yeye kasema alishawahi tibiwa Ila hakunambia,, kanambia uken ulitoka uchafu WA njano na damu....
Nimekaa nae 2 years, picha picha imeanza 2 months ago na sina demu mwngine nnae enda kavu
Kamfanyie na yeye culture and sensitivity ya mkojo pamoja na High Vaginal Swab( HVS)
 
Habari za Harakat za Maisha Wana forum.

Mimi ni kijana Nina miaka 32.
Nimeugua UTI mara moja last year mwezi nov, baada ya kutumia mlango wa nyuma....
Nikaenda hospital nikapewa flucamox na metronidazole siku tano nikapona.

3 months ago nimekutana tena na demu yuleyule, nikapiga kawaida Tu bila mpira..... Nikaikasirisha mizimu....

Nikajua ni Ile UTI tena imerudi, nimekunya flucamox mara 2, bila nafuu....
Nikaenda zahanati nimepewa Augmentin cluvamate nikapata nafuu kidogo tatizo bado linarud....

Nikaenda hospital agakhan kigamboni, wakanambia kwenywe vipimo mkojo uko Sawa Ila Kwa maumivu ya pumbu na uume pia kutoa semen yenye maji mepesi ya maziwa ni STD ambayo ni gono...

Nikapewa Ceftriaxone injection 1g
Doxycycline 2/siku 10
Metronidazole 400mg/siku 10
Nikapata nafuu kipindi natumia dawa siku ya kumi Tu maumivi makali Sana kwenywe uume na chini ya kitovu, mkojo hauumi nikikojoa.... Usaha mara moja sana Hadi mwishon mkojo nikojoa ndio naweza uona. Nikipekenywe urethra naona kama vidonda ivi au ulcers....
Napata maumivu makali Sana nikaa au nikilala...

Nimetumia antibiotics for 3 consecutive months Hadi mdomoni nimepata candida..
Nikajua hapa basi nishaukwaa...

Nimeenda kupima hiv imetoka -ve, Dr kanambia kama nilimnyonya mate na yeye alinyonya uume basi ndio nimepata fangus mdomoni... Sometimes nameza Kwa shida Sana....

Nikachoma pesa kwenda Agakhan Ocean road, nimefanaya vipimo vya uroflowmetry, urinalysis, na ultrasound... Mtaalamu WA urology akasema Nina prostatitis..

Nimepewa Lomefloxacin 400mg siku 14, Alfuzosin siku 14 na aceclofenac...
Problem ni Kua hizi dawa zinanizingua Sana.

Nikaenda hospital tena Jana kisiwani kufanya kipimo cha HIV na damu, HIV sina ni negtv, Ila kwenywe damu Dr kasema bado kuna STD... Pia fungus mdomoni...
Kaniandikia
Cefixime 400mg PO 1*1/5
Ceftriaxone 2g injection
Azitromycin 1g PO stat
Fluconazole 150mg/10 days Kwa ajili ya fungus

Leo nipo siku ya pili naendelea na dozi, (dawa za prostatitis nimeziacha Kwanza nimalize gono)

Swali
1. je nikawaida Kwa gono kutoka usaha WA maziwa mepesi mara moja moja na pia kwenywe semen Kua na kama maji maji ya maziwa.

2. Ni kawaida kuwa na maumivu makali ukikaa au kulala ukiwa na gono,
@dronedrake njoo wanakuita baba nyeto mshauri mkuu watu wajatae ndoa hawakusikia...
 
Hivi vipimo vilikuwa na umuhimu gani ilhali culture and sensitivity ingemaliza kazi na kuleta majibu ya dawa gani sahihi ya kuua Hao bakteria uliopata kwa njia ya kujamiiana ( STI)?
Nafikiri kutokana na matibabu mengi aliyofanya Kufikiria Kipimo cha Uroflowmetry ilikuwa sahihi sana na hata USS..

Kwanini!
Ilikuweza ku rule out (R/o) magonjwa yote ya Prostate maana Inaweza pia kusababisha usaha na hata shahawa kuwa Laini yaani maji maji na ni kitu ambacho yeye mtoa mada amesema alikuwa nacho..

Na kumbuka prostate gland ndo inayohusika kwenye utengenezaji wa enzymes zinazohusika kwenye utengenezwaji wa semen ..

na kuhusu USS..

Siku hizi kuna wimbi la vijana na watu wazima wa makamo kupata magonjwa ya Hydronephrosis na kidney stone ambaye yana dalili tofauti tofauti...
wengi wanakuja kama maumivu ya tumbo Chini ya kitovu au upande wa kulia na kushoto..
 
Back
Top Bottom