Chawa wa chuma
Member
- Jan 24, 2023
- 56
- 37
- Thread starter
- #21
sawa mtaalamMmh... Embu Rudi kama haujafika mbali... Bado tatizo linaeza jitokeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa mtaalamMmh... Embu Rudi kama haujafika mbali... Bado tatizo linaeza jitokeza
Sent using Jamii Forums mobile app
.Naona wamemchoma corticosteroid (hydrocortisone) lakini wakairudisha CTX kazini ambayo ina suphur pia...
Kabla hujatoka hapo muulize mtoa huduma je, hivyo vidonge alivyopatiwa havina sulphur?
Kila tunapopatiwa huduma tuwe tuna tabia ya kuhoji hasa baada ya matibabu....
Sent using Jamii Forums mobile app
Umerudi Hospital?nimeweka picha ya vyeti vya daktari hapo
Nakushauri umrejeshe mtoto hospitalini kwa uangalizi
nathamini juhudi zao ila baadhi yao dharau ni khulka yao ila nashkuru kuna dk mmoja alinipokea vizuri wakati napambana na hili tatizo tulikuwa tunawasiliana kwa sim akitoa muongozo nini kifanyikeInshu ya mwanao ni inshu ndogo ila Hatari kama akikoswa huduma.
Nchi yetu Bado haijafika hatua kama za huko Ulaya .
Wizara ya Afya inajitahidi sana kuhakikisha hata Ngazi ya Zahanati kunakuwepo na wahudumu, jambo la Msingi kuendelea kutoa Mafunzo Kwa wahudumu Hawa, na pia kuhakikisha Kwa level zao bado tunazalisha watu Makini zaidi ili wawe na Weledi mkubwa zaidi...na hapa Wizara ya Afya na Wizara ya Elimu vinawajibika .
Hawa wahudumu wanafanya kazi kubwa sana hasa maeneo ya vijijin huko Ndani ndani.
Hivo ni kosa kubwa kuwadharau au kuwabeza!!.
asante Ndugu kwa ushauri.IYO inaitwa ADVERSE DRUG REACTION mtoto wako yupo allergic na izo dawa pole Sana aisee
tayari nimerudiUmerudi Hospital?
Mungu atampa nafuu.🤲🏼tayari nimerudi
alhamdulillahi mtoto anaendelea vizuriPole sana.. Kwaio mtoto anaendeleaje? kipara mpenda chai