Wataalamu naomba ufafanuzi kwenye hili tukio

nathamini juhudi zao ila baadhi yao dharau ni khulka yao ila nashkuru kuna dk mmoja alinipokea vizuri wakati napambana na hili tatizo tulikuwa tunawasiliana kwa sim akitoa muongozo nini kifanyike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…