Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaji ukimwambia mtu palikuwa na Hotel inajaza nyomi wateja hawezi aminiNa pamekua ghetto la ngedere pale kweli
Wataalamu wa Biashara nauliza Comfort Hotel, kitonga Iringa ilikufaje wakati ilikuwa na wateja abiria wa mabasi?
Kila jambo na zama zake. Kwani Blackberry ilikufaje?
Hizi ndio biashara za kibongo..Na pamekua ghetto la ngedere pale kweli
Wataalamu wa Biashara nauliza Comfort Hotel, kitonga Iringa ilikufaje wakati ilikuwa na wateja abiria wa mabasi?
Nasikia mmiliki wa hiyo hoteli alitangulia mbele za haki na waliobaki hawakujua mbinu alizotumia mmiliki mwenyeweWataalamu wa Biashara nauliza Comfort Hotel, kitonga Iringa ilikufaje wakati ilikuwa na wateja abiria wa mabasi?
Ebu ulikua unataka kusemaje kwamfano..😝Nasikia mmiliki wa hiyo hoteli alitangulia mbele za haki na waliobaki hawakujua mbinu alizotumia mmiliki mwenyewe
At 30 namiliki smartphone na tablet 🤣🤣🤣Hapoa BONGO ukiiga biashara unaweza firisika
Mfano kma unaona SHABIBY ana mabus kibao
Il ukiambiwa Utajiri wake upo sehemu nyingine utakataa
Iga wewe sasa uanzishe bussines kama hiyo utakufa kifo cha mende kma SUMMY za mbeya
hawa wanakuwa na biashara nyingine za magendo hutumia vitega uchumi kama hvyo kutakatisha fedha sasa zile deal zikifika inakuwa ngumu kuendesha BIASHARA isiyo na faida
Nb-: hiyo SHABIBY nimetoa mfano tu ili nieleweke haisuiani msije mkampopoa mzee wa watu yeye anasema wakt yupo na miaka 20 tayari anamuliki mabus je wewe kijana una miaka 30 unamiliki nini smartphone au
Mmiliki alipata hela kwa kutoka na biashara chafu (cocaine). Alipokufa familia ilishindwa kuingia kwenye biashara chafu kwa vile ilikuwa ni siri yake.Wataalamu wa Biashara nauliza Comfort Hotel, kitonga Iringa ilikufaje wakati ilikuwa na wateja abiria wa mabasi?
Doh, mtihani sana huuMmiliki alipata hela kwa kutoka na biashara chafu (cocaine). Alipokufa familia ilishindwa kuingia kwenye biashara chafu kwa vile ilikuwa ni siri yake.
Mmiliki hakuwa na kisomo, wala hakuwasomesha wana familia na kuwaandaa namna ya ku take over (succession plan and on going concern concept)
Alikuwa anakaa willolesiMmiliki alifariki.
Familia ikashindwa kupaendeleza
Kitambo alifariki sijui elfu 2 na ngapiNasikia mmiliki wa hiyo hoteli alitangulia mbele za haki na waliobaki hawakujua mbinu alizotumia mmiliki mwenyewe
Wee na yale mabus alikuwa anatakatisha tu si alikuwa anaishi willolesiMmiliki alipata hela kwa kutoka na biashara chafu (cocaine). Alipokufa familia ilishindwa kuingia kwenye biashara chafu kwa vile ilikuwa ni siri yake.
Mmiliki hakuwa na kisomo, wala hakuwasomesha wana familia na kuwaandaa namna ya ku take over (succession plan and on going concern concept)