Wataalamu wa Biashara nauliza Comfort Iringa ilikufaje wakati ilikuwa na wateja abiria wa mabasi?

Wataalamu wa Biashara nauliza Comfort Iringa ilikufaje wakati ilikuwa na wateja abiria wa mabasi?

Na alikuwa ana maono na kule ndani kulikuwa na vyumba vya kulala vizuri alafu ule mto umekatiza jirani na vyumba unafanya mazingira kuwa fresh

Ila imeanguka kitambo tangu 2006 huko ilikuwa hoi though kuna kipindi inaamka kiana japo kwa abiria wa mabus

Palivyo porini lakini usiku palikuwa balaa hasa likipugwa disco vumbi unajiuliza Hawa wadada wametoka wapi
I see kumbe palikuwa na disco kabisa
 
Comfort kitonga ...like any other husslers ...alikuwa na backup ya business zake ambayo ilikuwa mishe za hatar......jamaaa anguko lake alivamiwa na majambazi ambao walikuwa n masela wake alio wa snitch au kuwazulum.....hvooo alilazimishwa kusaini paper za kubadili ownership...yaa assets zake ikiwepo hotel yake ....baada yaa hapo jamaaa ali freeze forever...na mwshon mtakumbuka hotel ilibadilika jna ...kabla hajaja mpizan AL JAZEERA.... hii ili kuwa ndo .THE LAST NAIL IN COMFORT COFFIN...
 
Mmiliki alipata hela kwa kutoka na biashara chafu (cocaine). Alipokufa familia ilishindwa kuingia kwenye biashara chafu kwa vile ilikuwa ni siri yake.

Mmiliki hakuwa na kisomo, wala hakuwasomesha wana familia na kuwaandaa namna ya ku take over (succession plan and on going concern concept)
Labda useme hakuwa na succession plan lakini ana watoto wamepiga shule fresh na Kuna mmoja ameshikilia kitengo kwenye SHIRIKA la umma kwa position nzuri tu kibongo bongo
 
I see kumbe palikuwa na disco kabisa
Alikuwa anachukua interns wengi waliosoma hotel management ukichanganya na wale wa ile hotel ya Ruaha Mbuyuni, inapotokea disco limekuja kupigwa unakutana na Jamii ya watu wa mjini wanaoishi wazawa (yaani kama vile mtu yupo bush ila boarding school / hostel chuo unashangaa vinaibuka vitu vya hatari)
 
Comfort kitonga ...like any other husslers ...alikuwa na backup ya business zake ambayo ilikuwa mishe za hatar......jamaaa anguko lake alivamiwa na majambazi ambao walikuwa n masela wake alio wa snitch au kuwazulum.....hvooo alilazimishwa kusaini paper za kubadili ownership...yaa assets zake ikiwepo hotel yake ....baada yaa hapo jamaaa ali freeze forever...na mwshon mtakumbuka hotel ilibadilika jna ...kabla hajaja mpizan AL JAZEERA.... hii ili kuwa ndo .THE LAST NAIL IN COMFORT COFFIN...
Sio kweli
 
Weka ukwel ww...
Mmiliki alikuwa akiitwa Anderson Nyato, Iringa tukimwita Mwanyato, alikuwa mfanyabiashara wa usafiri wa mabasi yakiitwa Comfort, alisaidiwa kuendesha biashara na mdogo wake Joshua (aliyekuwa mume wa Mkuu wa mkoa wa sasa wa Dodoma) wote ni marehemu kwa sasa, baada ya biashara ya mabasi kuchanganya, kumbuka yalikua ya mikopo, akapata wazo la kukopa milioni 700 kwa ajili ya kufungua Kitonga Comfort Hotel, hiyo ulikua mwaka 1993, na ilifunguliwa na mkuu wa mkoa Iringa wakati huo Marehemu Major General Herman Lupogo, nilihudhuria ufunguzi tukiwa vijana na weekend tujivinjari pale. Mkasa wa kwanza ilikuwa kusombwa swimming pool na mvua za Elinino 1993. Tatizo kubwa ilikua management na kujaza ndugu, hotel ikaanza kuyumba, niliwahi kumshauri laiti angejenga ndani ya Mikumi national Park asingekosa wateja mpaka wanyama waishe mbugani, was too late, benki wakaipiga mnada kupitia rafiki yake Seth Motto (Majembe Auction Mart), mabasi na nyumba yake binafsi pale Field Force ikakumbwa pia
 
Mmiliki alikuwa akiitwa Anderson Nyato, Iringa tukimwita Mwanyato, alikuwa mfanyabiashara wa usafiri wa mabasi yakiitwa Comfort, alisaidiwa kuendesha biashara na mdogo wake Joshua (aliyekuwa mume wa Mkuu wa mkoa wa sasa wa Dodoma) wote ni marehemu kwa sasa, baada ya biashara ya mabasi kuchanganya, kumbuka yalikua ya mikopo, akapata wazo la kukopa milioni 700 kwa ajili ya kufungua Kitonga Comfort Hotel, hiyo ulikua mwaka 1993, na ilifunguliwa na mkuu wa mkoa Iringa wakati huo Marehemu Major General Herman Lupogo, nilihudhuria ufunguzi tukiwa vijana na weekend tujivinjari pale. Mkasa wa kwanza ilikuwa kusombwa swimming pool na mvua za Elinino 1993. Tatizo kubwa ilikua management na kujaza ndugu, hotel ikaanza kuyumba, niliwahi kumshauri laiti angejenga ndani ya Mikumi national Park asingekosa wateja mpaka wanyama waishe mbugani, was too late, benki wakaipiga mnada kupitia rafiki yake Seth Motto (Majembe Auction Mart), mabasi na nyumba yake binafsi pale Field Force ikakumbwa pia
Sawaa mkuu kwann kabla ya mnada huoo wa kina mwamoto hotel ilibadil jina na EL NINO haikuwa 1993... weka desa zako vzr alafu rudi tena ..... ujue DOWNFALL ya comfort iliambatana na mambo mengi ikiwepo kuuza nyama za nyani etc...japo inaweza kuwa ilikuwaa propaganda....lkn naomba nkwambie nmetoka karibu na maeneo yale ilkuwa hotel ya comfort kuna mambo mengi but ..the REST IS HISTORY
 
Sawaa mkuu kwann kabla ya mnada huoo wa kina mwamoto hotel ilibadil jina na EL NINO haikuwa 1993... weka desa zako vzr alafu rudi tena ..... ujue DOWNFALL ya comfort iliambatana na mambo mengi ikiwepo kuuza nyama za nyani etc...japo inaweza kuwa ilikuwaa propaganda....lkn naomba nkwambie nmetoka karibu na maeneo yale ilkuwa hotel ya comfort kuna mambo mengi but ..the REST IS HISTORY
Jina lilibadilishwa baada ya mnunuzi mpya, labda kifupi nilikua nao karibu, kuna mambo sio ya kuweka mtandaoni, Elinino hiyo ya 1993 Mwinyi alikuwa bado Rais na ilikua mwezi March alikagua mafuriko yale Dar es Salaam kwa Helkopta na RC alikuwa Kanali Anatory, Tarimo, kule Mtwara kulisombwa daraja kubwa la Chipite linalounganisha mnazi mmoja na Masasi, nahisi ulikua bado kiumri
 
Jina lilibadilishwa baada ya mnunuzi mpya, labda kifupi nilikua nao karibu, kuna mambo sio ya kuweka mtandaoni, Elinino hiyo ya 1993 Mwinyi alikuwa bado Rais na ilikua mwezi March alikagua mafuriko yale Dar es Salaam kwa Helkopta na RC alikuwa Kanali Anatory, Tarimo, kule Mtwara kulisombwa daraja kubwa la Chipite linalounganisha mnazi mmoja na Masasi, nahisi ulikua bado kiumri
N kwel mwaka 1993 nlikuwa stl very little junior... but documentation sjawahi skia el nino ya 1993...all in all comfort ali fall down kwa many factors...the rest is history.....MSALIMIE MAKOSA...
 
Jina lilibadilishwa baada ya mnunuzi mpya, labda kifupi nilikua nao karibu, kuna mambo sio ya kuweka mtandaoni, Elinino hiyo ya 1993 Mwinyi alikuwa bado Rais na ilikua mwezi March alikagua mafuriko yale Dar es Salaam kwa Helkopta na RC alikuwa Kanali Anatory, Tarimo, kule Mtwara kulisombwa daraja kubwa la Chipite linalounganisha mnazi mmoja na Masasi, nahisi ulikua bado kiumri

Elnino ilikuwa mwaka 1998 labda hiyo 1993 ilikuwa mafuriko mengine.

2005 nilipita na BUS la KILIMANJARO hapo comfort na kula , nilikuwa naelekea Mbeya.
 
Sawaa mkuu kwann kabla ya mnada huoo wa kina mwamoto hotel ilibadil jina na EL NINO haikuwa 1993... weka desa zako vzr alafu rudi tena ..... ujue DOWNFALL ya comfort iliambatana na mambo mengi ikiwepo kuuza nyama za nyani etc...japo inaweza kuwa ilikuwaa propaganda....lkn naomba nkwambie nmetoka karibu na maeneo yale ilkuwa hotel ya comfort kuna mambo mengi but ..the REST IS HISTORY
Wewe una ukweli kuliko kakolaki
 
Back
Top Bottom