Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 5,067
- 4,434
Tatizo la confort hotel ilikuwa ni kuuza vyakula visivyo na ubora,bei juu, na vilivyolala, unauziwa chips zilizolala,halafu hazipashwi, unauziwa chips za viazi vibovu( vimefikia stage ya kuwa mbegu,vinakuwa na ukijani flan hivi halafu haviivi) vyenye uchungu. Nyama ya kuku iliyovunda. Na uchafu wa mazingira. Hata al jazeera ni kwa sababu tu hajapata mpizani,ila akipatikana wa kuweka hotel ya ukweli kama njia ya kaskazin pale anafunga. Liverpool alifunga hivyo hivyo sababu ya huduma mbovu akakosa wateja,sasa hivi alivyoikarabati na kuboresha huduma wateja wamerudi