Man Jau
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 507
- 779
Jinsia labda (huenda na sina hakika) kama zipo ni kwenye nafsi, lakini sio miili.Jinsia ilianza kwao ndipo ikaja kwetu hakuna jambo tunalofanya sisi ambalo wao hawakulifanya, wapo wanaume na wanawake kama sisi
Malaika hawana miili, so hawana uke wala uume.
Kwenye nafsi huenda wakapata ile masculinity na feminine kama hali au nguvu ya utendaji kazi...ila malaika hawana jinsia.
That's a lie broo
Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app