Ukishajumlisha 1 na 2 kwenye mabano tayari ushamalizana nayo hayo mabano na inakuwa 6Γ·2Γ3 ambayo ni 9.Huyu ni ngonjwa kama wagonjwa wengine.
Kanuni ya BODMAS inaanza na KUFUNGUA MABANO.
Ila yeye kajumlisha tu 2 na 1, mabano hajafungua, anakimbilia kudai eti kugawanya na kuzidisha zina vipaumbele sawa.
Unasemaje zina vipaumbele sawa wakati bado mabano yanakutazama? Pathetic!
Tatizo ni BODMASπ€ΈββοΈπββ‘οΈπββ‘οΈ(bracket open,divide,multiply,add,substractπ
Casio ndo yupo sahihi kisheria zahesabu lkn kwa jibu sahihi tecno ndo sahihi
Kwani si kuna njia standard..!? Hujiamulii tu kipi kianzale..!! Ni MAGAZIJUTO TU..Hilo swali sio jepesi kama.linavyoonekana.
Casio yupo sahihi. Hapo casio katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol Γ· yaani swali kaliweka hivi 6Γ·2(1+2) ndio kalisolve.
Tecno na yeye yupo sahihi. Katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol / yaani tecno swali kaliweka hivi kwanza 6/2(1+2) ndio akalisolve.
Jibu la hilo swali limetesa dunia nzima. Ma proffessor wa mathematics havard huko na oxford wanabishana jibu la hilo swali.
Kila jibu lipo sahihi kwa zama zake
calculator ya search engine ya google yenyewe inasema jibu la hilo swali ni 9
View attachment 2937016
Hakun cha ajabu kwenye hili swali na halina utata. Kanuni ni moja tu, BODMAS na jibu ni moja tu, 1.
Kwani si kuna njia standard..!? Hujiamulii tu kipi kianzale..!! Ni MAGAZIJUTO TU..
Sasa hiyo hesabu kwako wewe ni advanced.!?magazijuto ama BODMAS ni kwa hesabu za msingi yaani elementary mathematics. kwenye Advanced mathematics BODMAS inahama na kupewa jina jipya PEMDAS sababu kuna madude ya kuelewa yanaongezeka.
kwa mtu aliesoma Pure mathematics lazima ajue kanuni ya order of operations kwenye PEMDAS
According to the order of operations, division and multiplication have the same precedence, so kwa swali kama hilo the correct order is to evaluate from left to right.
yaani swali linafanywa hivi
6Γ·2(1+2)=
6Γ·2(3) =
6Γ·2Γ3 ( kwa sababu division and multiplication have the same precedence so we evaluate from left to right)
3Γ3 =
jibu = 9
Cheza na "bodmas"ila uwe makiniCasio fala sana. Kaanza na mabano 2+1 kapata 3. Kisha kaja iyo 3 kaizidisha na 2 kapata 6 kisha kagawanya 6 kwa 6.
Uyo Tecno yupo sahihi. MAGAZIJUTO
/ Na Γ· hazina utofauti wowote..Rudi shule
Hesabu ni ileile Haina new wala old era
Sasa hiyo hesabu kwako wewe ni advanced.!?
Ukila matunda kila siku na maji lita tano, hii hesabu ni nyepesi
Hili ndio jibuJamani mdau kauliza shida ni nini..
Huhitaji maelezo mengi
SHIDA NI TECNO πππ
Kwamba google ndio anatunga kanuni za hesabu leo? BODMAS ipo kabla ya google, na kanuni hii inataka uuwe kabisa Mabano kabla hujafanya operation nyingine yeyote ile, na ukiuwa mabano unabaki na 6/6, na jibu la hii ni 1 tu.
Kwahiyo unaanza kugawanya kabla Mabano hayajaondoka? Kanuni inataka umalizane kabisa na mabano hadi yaondoke ndio ufanye operation nyingineSwali: 6Γ·2(2+1)
Njia
6Γ·2(3)
3(3)
9
Kwa hiyo jawabu ni 9.β β β
Jibu ni moja 1 mkuu hata mimi nilijichanganya casio yupo sawaKwahiyo unaanza kugawanya kabla Mabano hayajaondoka? Kanuni inataka umalizane kabisa na mabano hadi yaondoke ndio ufanye operation nyingine
Hapa tuambie 3 imechomokaje kwenye mabano bila kutomban na 2 π π πmagazijuto ama BODMAS ni kwa hesabu za msingi yaani elementary mathematics. kwenye Advanced mathematics BODMAS inahama na kupewa jina jipya PEMDAS sababu kuna madude ya kuelewa yanaongezeka.
kwa mtu aliesoma Pure mathematics lazima ajue kanuni ya order of operations kwenye PEMDAS
According to the order of operations, division and multiplication have the same precedence, so kwa swali kama hilo the correct order is to evaluate from left to right.
yaani swali linafanywa hivi
6Γ·2(1+2)=
6Γ·2(3) =
6Γ·2Γ3 ( kwa sababu division and multiplication have the same precedence so we evaluate from left to right)
3Γ3 =
jibu = 9
Hapo ni mwendo wa