The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Hapana umejumlisha (2+1) jibu ni (3) mabano yanafunguliwa na kilichopo njeUkishajumlisha 1 na 2 kwenye mabano tayari ushamalizana nayo hayo mabano na inakuwa 6÷2×3 ambayo ni 9.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana umejumlisha (2+1) jibu ni (3) mabano yanafunguliwa na kilichopo njeUkishajumlisha 1 na 2 kwenye mabano tayari ushamalizana nayo hayo mabano na inakuwa 6÷2×3 ambayo ni 9.
Ndugu, nimesoma Advanced M. Lakini hapa its irrelevant ulichosoma kama hutumiii logic kwenye hiyo BODMAS. Ni kwamba huruhusiwi kufanya operation yeyote ile hadi uhakikishe hakuna kabisa Brackets zimebaki, uuwe kabisa Mabano ndio uguse operation nyingine. Na mabano yanauwawa na operation ya nje, ambayo ni multiplication. Japo kwenye BODMAS inataka gawanya ianze kabla ya multiplication, lakini logic katika BODMAS inadictate Mabano yafe kwanza! Ukiuwa Mabano, unabaki na 6/6, sasa malizia mwenyewe.nahisi wewe haujasoma pure mathematics ya A level
kwa mtu aliesoma Pure mathematics lazima ajue kanuni ya order of operations kwenye PEMDAS
According to the order of operations, division and multiplication have the same precedence, so kwa swali kama hilo the correct order is to evaluate from left to right.
yaani swali linafanywa hivi
6÷2(1+2)=
6÷2(3) =
6÷2×3 ( kwa sababu division and multiplication have the same precedence so we evaluate from left to right)
3×3 =
jibu = 9
Simu ya mchina kushoto haijui hesabu
Exactly, kanuni inataka kila kitu kiondoke kwenye mabano, yaani mabano yafe kabisa ndio ufanye operation zingine!Hapa tuambie 3 imechomokaje kwenye mabano bila kutomban na 2 😅😅😅
Kuna wazungu vilaza ujue 😂Mathematics inapingwa kwa ushahidi wa kihisabati, huwezi kuamka tu ukasema hiyo ni outdated, onyesha ni outdated kivipi, siwezi amka leo nikasema ln e ni 0 sio 1 tena bila kuthibitisha kwa vitendo.😂😂😂😂mabingwa wa hesabu wanasema jibu la 1 ni njia iliyopitwa na wakati
View attachment 2936587
Sio kila mzungu ni ana akili timamu, wapo vilaza 😂Huyo mzungu naye anaongea kama aliyeishia la 6A, eti kuna tofauti ya alama / na ÷ kwenye hesabu 😂😂, hapo ukifata BODMAS jibu ni 1 tu.
Job true true!
Sasa huo ndo utamu wa hesabu, ukiji changa ya kidogo tu umeenda mzima. Lakini kwenye HKL sentence za mwanzo unaweza kuwa umekosea lakini mwishoni mwa paragraph yako ukawa umeandika bonge la points. Na ikawa imepindua makosa yako ya mwanzo. Hesabu ni mchezo wa namba usio yumba wala kupepesa macho.Sasa mumesoma hesabu hadi A-Level halafu hiyo hesabu kila mmoja anakuja na majibu yake, Si bora mnesoma HKL tu.
Wewe Ndio hauko sahihi jibu ni Moja.Hilo swali sio jepesi kama.linavyoonekana.
Casio yupo sahihi. Hapo casio katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol ÷ yaani swali kaliweka hivi 6÷2(1+2) ndio kalisolve.
Tecno na yeye yupo sahihi. Katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol / yaani tecno swali kaliweka hivi kwanza 6/2(1+2) ndio akalisolve.
Jibu la hilo swali limetesa dunia nzima. Ma proffessor wa mathematics havard huko na oxford wanabishana jibu la hilo swali.
Kila jibu lipo sahihi kwa zama zake
calculator ya search engine ya google yenyewe inasema jibu la hilo swali ni 9
View attachment 2937016
Anza na namba zilizopo ndani ya mabano.
6÷2(1+2)
(1+2)=(3)
Kisha fungua mabano
= 3(3)
3*3=9
View: https://youtu.be/URcUvFIUIhQ?si=U_jnyOsSKlbTAsPy
Na hiki ndicho ninachowaambia, unatakiwa uhakikishe mabano yameondoka kabisa ndio uendelee na operation zingine.Wewe Ndio hauko sahihi jibu ni Moja.
6÷2(3)=6÷6=1
au
6÷(4+2)=6÷6=1
Unatakiwa uhakikishe hakuna mabano Hadi mwisho
Casio is right ✅