Wataalamu wa Hesabu hapa shida ni nini?

Wataalamu wa Hesabu hapa shida ni nini?

nahisi wewe haujasoma pure mathematics ya A level

kwa mtu aliesoma Pure mathematics lazima ajue kanuni ya order of operations kwenye PEMDAS

According to the order of operations, division and multiplication have the same precedence, so kwa swali kama hilo the correct order is to evaluate from left to right.

yaani swali linafanywa hivi

6÷2(1+2)=
6÷2(3) =
6÷2×3 ( kwa sababu division and multiplication have the same precedence so we evaluate from left to right)
3×3 =
jibu = 9
Ndugu, nimesoma Advanced M. Lakini hapa its irrelevant ulichosoma kama hutumiii logic kwenye hiyo BODMAS. Ni kwamba huruhusiwi kufanya operation yeyote ile hadi uhakikishe hakuna kabisa Brackets zimebaki, uuwe kabisa Mabano ndio uguse operation nyingine. Na mabano yanauwawa na operation ya nje, ambayo ni multiplication. Japo kwenye BODMAS inataka gawanya ianze kabla ya multiplication, lakini logic katika BODMAS inadictate Mabano yafe kwanza! Ukiuwa Mabano, unabaki na 6/6, sasa malizia mwenyewe.
 
Hili ni swali Jepesi sana. Na Casio yupo sahihi
Lazima uanze na mabano kwanza kisha hiyo mbili iliyopo nje ya mabano uizidishe na majibu ya mabano ili upate namba nzima inayofaa kugawanywa na 6. Ambapo jibu sahihi ni 1
 
Sasa mumesoma hesabu hadi A-Level halafu hiyo hesabu kila mmoja anakuja na majibu yake, Si bora mnesoma HKL tu.
Sasa huo ndo utamu wa hesabu, ukiji changa ya kidogo tu umeenda mzima. Lakini kwenye HKL sentence za mwanzo unaweza kuwa umekosea lakini mwishoni mwa paragraph yako ukawa umeandika bonge la points. Na ikawa imepindua makosa yako ya mwanzo. Hesabu ni mchezo wa namba usio yumba wala kupepesa macho.
 
Hilo swali sio jepesi kama.linavyoonekana.


Casio yupo sahihi. Hapo casio katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol ÷ yaani swali kaliweka hivi 6÷2(1+2) ndio kalisolve.

Tecno na yeye yupo sahihi. Katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol / yaani tecno swali kaliweka hivi kwanza 6/2(1+2) ndio akalisolve.

Jibu la hilo swali limetesa dunia nzima. Ma proffessor wa mathematics havard huko na oxford wanabishana jibu la hilo swali.

Kila jibu lipo sahihi kwa zama zake

calculator ya search engine ya google yenyewe inasema jibu la hilo swali ni 9

View attachment 2937016
Wewe Ndio hauko sahihi jibu ni Moja.


6÷2(3)=6÷6=1
au
6÷(4+2)=6÷6=1

Unatakiwa uhakikishe hakuna mabano Hadi mwisho
 
Samsung kasema hivyo, nimewaachia hesabu yao 😥😥😥😥
Screenshot_20240317-215744.png
 
Back
Top Bottom