Wataalamu wa irrigation na wadau wengine Naomba maoni yenu hapa.

Wataalamu wa irrigation na wadau wengine Naomba maoni yenu hapa.

Zacht

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2020
Posts
1,026
Reaction score
2,266
Habari za asubuh .

Kuelekea msimu wa kiangazi ni msimu ambao sisi wakulima tunauita msimu wa kukosa kutokana uhaba wa maji ,

Ila mm Kuna kitu namefikiria kukifanya kwenye sector ya umwagiaji katika kupungaza kutegemea maji ya mvua(kilimo Cha mvua) , nataka nichimbe bwawa kwa ajili ya kuvunia maji ya mvua , lakini sitaki kutegemea maji ya mvua peke yake, pia nataka niweke pemben yake bomba la kisima kwaajili ya kujaza bwawa hilo .
z2537909065712_7408135fbeb107addf91f763ec5985cf-1415_20210607_619-154740.jpeg

farm_pond_ninad1.jpg

Mfano wa mabwawa yenyewe

Changamoto yangu ipo kwenye hicho kisima Bado Sijafahamu ni kisima Cha namna gani kinatakiwa kuekwa hapo je Cha solar au Cha vipi ,pia gharama .

Mwenye ABC juu ya hili namkaribisha kwa maoni
 
Wataalamu wetu wapo busy na jukwaa la MMU na nyuzi za kula tunda kimasikhara
 
Mimi sio mtaalam wa kilimo but i might have my 2 cent on this.
Instead ya kuchimba bwawa lote hilo,
Kwanin usichimbe visima hata 2 kuzunguka hlo shamba lako kama n kubwa sana?
Ukishachimba, funga matenki makubwa yaliyopanda juu.
Then unakua na pump zinapandisha maji kwenye hayo matenk(kuhus pump either umeme au solar sina uelewa mkubwa hapo).
After that, funga sprinkler kwa ajili ya kumwagilia. Sprinkler hizo zitazungushwa na water pressure because maji yatakua yanatoka juu kushuka chini kwa pressure kubwa.
FAida nnazoziona
1. Kwanza utaminimize space kwakua hlo bwawa lingechukua nafad kubwa
2. Gharama ya kuchimba bwawa itakua imeondoka.
3. Utakua na uhakika wa maji all year round coz unavuna kutoka chini.
4. Utakua umepunguza gharama za pump na mafuta za kumwagilia hayo mazao.
5. Unaeza kua unauza hayo maji kwa wananchi ili kurecover some operational costs.
6. Ukiamua kuhamisha mradi tayar utakua na baadhi ya vifaa kama matenki na pumps n.k.

As i said, mimi sio mtaalam, tungoje muongozo kwa wataalam zaidi
 
Lipieni TANGAZO. Maana naona mtoa mada na mchangia mada Bangida wote lenu moja nalo ni kutangaza biashara ya mabwawa
 
Lipieni TANGAZO. Maana naona mtoa mada na mchangia mada Bangida wote lenu moja nalo ni kutangaza biashara ya mabwawa
My nigga unagongwa huogi!
Mi sijui hata bwawa linachimbwa vipi. Thats why hata sijareccomend.
Sometimes kama unajijua uko stupid stupid, u best shove your suggestion up yo ass.
And if we r being specific
Screenshot_20220723-072750_Quora.jpg

Go fork yoself while you at it Kida Mbee
 
Mimi sio mtaalam wa kilimo but i might have my 2 cent on this.
Instead ya kuchimba bwawa lote hilo,
Kwanin usichimbe visima hata 2 kuzunguka hlo shamba lako kama n kubwa sana?
Ukishachimba, funga matenki makubwa yaliyopanda juu.
Then unakua na pump zinapandisha maji kwenye hayo matenk(kuhus pump either umeme au solar sina uelewa mkubwa hapo).
After that, funga sprinkler kwa ajili ya kumwagilia. Sprinkler hizo zitazungushwa na water pressure because maji yatakua yanatoka juu kushuka chini kwa pressure kubwa.
FAida nnazoziona
1. Kwanza utaminimize space kwakua hlo bwawa lingechukua nafad kubwa
2. Gharama ya kuchimba bwawa itakua imeondoka.
3. Utakua na uhakika wa maji all year round coz unavuna kutoka chini.
4. Utakua umepunguza gharama za pump na mafuta za kumwagilia hayo mazao.
5. Unaeza kua unauza hayo maji kwa wananchi ili kurecover some operational costs.
6. Ukiamua kuhamisha mradi tayar utakua na baadhi ya vifaa kama matenki na pumps n.k.

As i said, mimi sio mtaalam, tungoje muongozo kwa wataalam zaidi
Shukran sana mkuu
 
Habari za asubuh .

Kuelekea msimu wa kiangazi ni msimu ambao sisi wakulima tunauita msimu wa kukosa kutokana uhaba wa maji ,

Ila mm Kuna kitu namefikiria kukifanya kwenye sector ya umwagiaji katika kupungaza kutegemea maji ya mvua(kilimo Cha mvua) , nataka nichimbe bwawa kwa ajili ya kuvunia maji ya mvua , lakini sitaki kutegemea maji ya mvua peke yake, pia nataka niweke pemben yake bomba la kisima kwaajili ya kujaza bwawa hilo .
View attachment 2714275
View attachment 2714276
Mfano wa mabwawa yenyewe

Changamoto yangu ipo kwenye hicho kisima Bado Sijafahamu ni kisima Cha namna gani kinatakiwa kuekwa hapo je Cha solar au Cha vipi ,pia gharama .

Mwenye ABC juu ya hili namkaribisha kwa maoni
Picha hazifunguki, nitarudi badae.
 
My nigga unagongwa huogi!
Mi sijui hata bwawa linachimbwa vipi. Thats why hata sijareccomend.
Sometimes kama unajijua uko stupid stupid, u best shove your suggestion up yo ass.
And if we r being specific
View attachment 2715383
Go fork yoself while you at it Kida Mbee
Safi Sana brother. Msenge Amekujibu wewe ila Nimekwazika mimi. Kuna watu kazi yao ni kukosoa tu na kujibu negative 24/7
 
Chimba dip well halafu hilo bwawa weka shade net ya 75% kupunguza rate ya evaporation, pia tumia drip irrigation na jitahidi kufanya malching

Nikutakie kila la heri
 
Hakuna Tembo huko unakolima, maana wakati wa kiangazi wayafata maji hata kama wapo 50 KMs.

Weka kisima hata kwaa pumu ya kutumia solar, hakuna tatizo.

Weka samaki hapo maji na majani yanayo "oxygenate" maji yasipotee sana.
 
Hizi ndio harakati sasa
Ila sijui kama Hao wataalam watakuja kukupa muongozo
 
Hakuna Tembo huko unakolima, maana wakati wa kiangazi wayafata maji hata kama wapo 50 KMs.

Weka kisima hata kwaa pumu ya kutumia solar, hakuna tatizo.

Weka samaki hapo maji na majani yanayo "oxygenate" maji yasipotee sana.
Kwetu Tembo wapo wengi ni changamoto kubwa sana ukitoa uhaba wa mvua hasa msimu huu wa kiangazi ,ubaya wake tumezungukwa na hifadhi mbili serui na udzungwa.

Nadhani kuweka kisima inaweza kuwa nafuu zaidi
 
Kwa mabadiliko ya hali ya hewa, kilimo chenye tija ni kile cha umwagiliaji mana kinakuwezesha kulima kibiashara.
1. Kuhusu Chanzo cha maji
Hapo vipo vingi ila kwa kukushauri anza na kisima kinaweza kupunguza gharama japo vilevile huenda kikawa na gharama kubwa kulingana urefu wa kisima au eneo husika.
Hapa ili kupata maji ya uhakika kwenye eneo lako au eneo karibu na eneo lako, itakubidi ufanye utafiti kutumia watafiti walio karibu nawe ili kuweza kujua mkondo wa maji uliopo na kiasi cha maji kitakacho patikana.
Hii itasaidia sana shughuli ya uchimbaji kuwa rahisi.
2. Kuhusu pump ya kutumia
Uchaguzi wa pump inategemea na chanzo cha nishati ambacho n rahisi kupatikana kwako kwa gharama nafuu.
Inaweza kuwa Umeme, Mafuta au Jua.
Aina ya pump kwa visima ni moja, ya kuzamisha ila zinatofautia ukubwa kwa kiwanga cha maji kilichopo, ukichimba kitaalamu watakushauri ununue ipi.
Kwa chanzo cha nishati kama hakuna umeme chukua za solar ambazo zipo nyingi tu kwa sasa.
3. Mfumo wa umwagiliaji shambani
Mifumo inayotumika sehemu nyingi ni:
Mfumo wa matone(drip irrigation)
Mfumo wa mvua (sprinkler irrigation).
Uchaguzi wa mfumo kwa kiasi kikubwa unategemea sana aina ya zao unalolima, kiasi cha maji, na pressure ya maji, gharama ya mfumo. Kwa taarifa hizo unaweza chagua mfumo wa kuweka.
Ushauri: kama n zao fupi weka mfumo wa matone na kama ni refu tumia mfumo wa mvua, japo vice versa huwa n kweli.
 
Mimi sio mtaalam wa kilimo but i might have my 2 cent on this.
Instead ya kuchimba bwawa lote hilo,
Kwanin usichimbe visima hata 2 kuzunguka hlo shamba lako kama n kubwa sana?
Ukishachimba, funga matenki makubwa yaliyopanda juu.
Then unakua na pump zinapandisha maji kwenye hayo matenk(kuhus pump either umeme au solar sina uelewa mkubwa hapo).
After that, funga sprinkler kwa ajili ya kumwagilia. Sprinkler hizo zitazungushwa na water pressure because maji yatakua yanatoka juu kushuka chini kwa pressure kubwa.
FAida nnazoziona
1. Kwanza utaminimize space kwakua hlo bwawa lingechukua nafad kubwa
2. Gharama ya kuchimba bwawa itakua imeondoka.
3. Utakua na uhakika wa maji all year round coz unavuna kutoka chini.
4. Utakua umepunguza gharama za pump na mafuta za kumwagilia hayo mazao.
5. Unaeza kua unauza hayo maji kwa wananchi ili kurecover some operational costs.
6. Ukiamua kuhamisha mradi tayar utakua na baadhi ya vifaa kama matenki na pumps n.k.

As i said, mimi sio mtaalam, tungoje muongozo kwa wataalam zaidi
Kwa mabadiliko ya hali ya hewa, kilimo chenye tija ni kile cha umwagiliaji mana kinakuwezesha kulima kibiashara.
1. Kuhusu Chanzo cha maji
Hapo vipo vingi ila kwa kukushauri anza na kisima kinaweza kupunguza gharama japo vilevile huenda kikawa na gharama kubwa kulingana urefu wa kisima au eneo husika.
Hapa ili kupata maji ya uhakika kwenye eneo lako au eneo karibu na eneo lako, itakubidi ufanye utafiti kutumia watafiti walio karibu nawe ili kuweza kujua mkondo wa maji uliopo na kiasi cha maji kitakacho patikana.
Hii itasaidia sana shughuli ya uchimbaji kuwa rahisi.
2. Kuhusu pump ya kutumia
Uchaguzi wa pump inategemea na chanzo cha nishati ambacho n rahisi kupatikana kwako kwa gharama nafuu.
Inaweza kuwa Umeme, Mafuta au Jua.
Aina ya pump kwa visima ni moja, ya kuzamisha ila zinatofautia ukubwa kwa kiwanga cha maji kilichopo, ukichimba kitaalamu watakushauri ununue ipi.
Kwa chanzo cha nishati kama hakuna umeme chukua za solar ambazo zipo nyingi tu kwa sasa.
3. Mfumo wa umwagiliaji shambani
Mifumo inayotumika sehemu nyingi ni:
Mfumo wa matone(drip irrigation)
Mfumo wa mvua (sprinkler irrigation).
Uchaguzi wa mfumo kwa kiasi kikubwa unategemea sana aina ya zao unalolima, kiasi cha maji, na pressure ya maji, gharama ya mfumo. Kwa taarifa hizo unaweza chagua mfumo wa kuweka.
Ushauri: kama n zao fupi weka mfumo wa matone na kama ni refu tumia mfumo wa mvua, japo vice versa huwa n kweli.
Hakuna Tembo huko unakolima, maana wakati wa kiangazi wayafata maji hata kama wapo 50 KMs.

Weka kisima hata kwaa pumu ya kutumia solar, hakuna tatizo.

Weka samaki hapo maji na majani yanayo "oxygenate" maji yasipotee sana.
Chimba dip well halafu hilo bwawa weka shade net ya 75% kupunguza rate ya evaporation, pia tumia drip irrigation na jitahidi kufanya malching

Nikutakie kila la heri
Wakuu asanten kwa michango yenu ,kulingana na maoni yenu plus utafiti wangu wa kina nimeona niachene na wazo la kuchimba bwawa badala yake nichimbe kisima pekee then nita instal water pump.

Ila bado sijajua aina ipi ya water pump rafik Kwa maana ya gharama ya ujenzi, operation cost.....N.K.

Yani nimejikuta nimekuwa interested na aina zote za water pump sijui nichague ipi kati diesel engine au solar power, nimeona Wanzetu wahindi na wapskistan umwagiliaji wao wanafanya Kwa style hii,

kuna video hapo chini nimezidownload kutoka YouTube
 

Attachments

  • AP1KSYSNT1OOKHYM75U6.mp4
    4.6 MB
  • GHFQ0N7IU9EV76BNDH1J.mp4
    21.6 MB
Back
Top Bottom