Wataalamu wa Jiji vyumba maeneo ya upanga na maeneo jirani vinasomekaje

Wataalamu wa Jiji vyumba maeneo ya upanga na maeneo jirani vinasomekaje

Apartment kwa mwezi ni millioni 12 unayo wewe mgagaa na upwa..

Kwa swali hili ndugu yangu nakushauri acha ndoto za mchana. Kumbe unataka uishi Upanga kisa unafanya kazi hapo? Hizo gharama unazokwepa utazilipa mara nne ukiishi Upanga, hakuna huduma za Kiswahili kule kila kitu gharama haijalishi hata mamantilie ambao ni wachache.

Kapange hata Magomeni ndio karibu kabisa na usafiri hausumbui any time. Vyumba vya kutosha na gharama stahimilifu
Asante Kwa ushauri
 
Magomeni, kinondoni shamba, mwananyamala, kijitonyama, msasani, mwenge
 
Habri!! Muda c mrefu ninaingia hapo jijini, kuanza Kazi. Kituo Cha Kazi kipo upanga, Sasa nauliza wazoefu wa mjini vyumba maeneo hyo vinaptikana Kwa sh ngapi??mf chumba na sebule au chumba ambacho ni self au Sio selfu coz ntaka nijue najipangaje wakuu.
Au maeneo jiran na upanga?!
Kama wewe ni ke nicheki tushee rum
 
Mkuu unapajua Upanga au unapasikia tu?

Kule hakuna mambo ya chumba na sebule kwanza. Apartment ghorofa ya 16, fully furnished laki 6 kwa mwezi.
Interested?
PM
 
Mkuu unapajua Upanga au unapasikia tu?

Kule hakuna mambo ya chumba na sebule kwanza. Apartment ghorofa ya 16, fully furnished laki 6 kwa mwezi.
Interested?
PM
Soma heading na content Ndugu, kama Sio upanga, maeneo jiran Ambyo yatakuja affordable.. watu hata hamsomi nini nimeandika mnaishia kusema upanga upanga tu..
 
Soma heading na content Ndugu, kama Sio upanga, maeneo jiran Ambyo yatakuja affordable.. watu hata hamsomi nini nimeandika mnaishia kusema upanga upanga tu..
Maeneo ya karibu na upanga ni Kinondoni,mwananyamala,magomeni huko ni nafuu mkuu
 
Upanga na maeneo jirani ambayo ni posta, kariakoo, oysterbay hakuna kitu kinaitwa chumba na sebule.
Ni apartments tu na bei imechangamka sana, kwa haraka haraka unapata ya laki 6.
Nakushauri, kakae kinondoni, mwananyamalaa, magomeni, kigamboni. Huko pia Bei imechangamka Ila sio sawa na ya upanga au posta au kariakoo
 
Ndio maana wengi tunashindwa mitihani.., jamaa anaulizia bei majibu yanakuja wewe huwezi kumudu bei....

Anyway... tutafika tu, ingawa tutakuwa tumechoka....
Tatizo aliposema tu chumba na sebule, hapo ndio wengi tumeonaa bei haziwezi kwa maana upanga hakuna mambo ya chumba sebule. Na pia imeonyesha hapajui vizuri upanga.
 
Ndio maana wengi tunashindwa mitihani.., jamaa anaulizia bei majibu yanakuja wewe huwezi kumudu bei....

Anyway... tutafika tu, ingawa tutakuwa tumechoka....
Ndugu wavumilie tu hawa Ndugu zëtu haina namna, unauliza LKn ye ashakujua kwa kila kitu. Wanaona kila kitu hakiwezkn na hicho Ndo kinachotufelisha sana.
 
Back
Top Bottom