Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,658
- Thread starter
-
- #21
Apartment kwa mwezi ni millioni 12 unayo wewe mgagaa na upwa..
Asante Kwa ushauriKwa swali hili ndugu yangu nakushauri acha ndoto za mchana. Kumbe unataka uishi Upanga kisa unafanya kazi hapo? Hizo gharama unazokwepa utazilipa mara nne ukiishi Upanga, hakuna huduma za Kiswahili kule kila kitu gharama haijalishi hata mamantilie ambao ni wachache.
Kapange hata Magomeni ndio karibu kabisa na usafiri hausumbui any time. Vyumba vya kutosha na gharama stahimilifu
Asante kwa ushauriMagomeni, kinondoni shamba, mwananyamala, kijitonyama, msasani, mwenge
Nmecheka mno [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila watu JfApartment kwa mwezi ni millioni 12 unayo wewe mgagaa na upwa..
Tafuta chumba kinachoendana na hako kamshahara kako...huku uhindini mitaa ya ohio hupawezi wewe...
Kama wewe ni ke nicheki tushee rumHabri!! Muda c mrefu ninaingia hapo jijini, kuanza Kazi. Kituo Cha Kazi kipo upanga, Sasa nauliza wazoefu wa mjini vyumba maeneo hyo vinaptikana Kwa sh ngapi??mf chumba na sebule au chumba ambacho ni self au Sio selfu coz ntaka nijue najipangaje wakuu.
Au maeneo jiran na upanga?!
Kwan hizo apartment zao zikoje mkuuMatajiri wa upanga wameanza lin kujenga chumba na sebule
Hata kama utapata chumba na sebule bei kwa kiasi kikubwa itakua hasara kwakoKwan hizo apartment zao zikoje mkuu
Ndo maana nimeomba muongozo Kama si upanga, maeneo jiran. Nitakutafuta mkuu nikifika ukaone kamshahara kanguTafuta chumba kinachoendana na hako kamshahara kako...huku uhindini mitaa ya ohio hupawezi wewe...
Najua unafurahisha genge Ndugu. Endelea..Apartment kwa mwezi ni millioni 12 unayo wewe mgagaa na upwa..
Soma heading na content Ndugu, kama Sio upanga, maeneo jiran Ambyo yatakuja affordable.. watu hata hamsomi nini nimeandika mnaishia kusema upanga upanga tu..Mkuu unapajua Upanga au unapasikia tu?
Kule hakuna mambo ya chumba na sebule kwanza. Apartment ghorofa ya 16, fully furnished laki 6 kwa mwezi.
Interested?
PM
Dah we jamaa[emoji23][emoji23]Apartment kwa mwezi ni millioni 12 unayo wewe mgagaa na upwa..
Maeneo ya karibu na upanga ni Kinondoni,mwananyamala,magomeni huko ni nafuu mkuuSoma heading na content Ndugu, kama Sio upanga, maeneo jiran Ambyo yatakuja affordable.. watu hata hamsomi nini nimeandika mnaishia kusema upanga upanga tu..
Tatizo aliposema tu chumba na sebule, hapo ndio wengi tumeonaa bei haziwezi kwa maana upanga hakuna mambo ya chumba sebule. Na pia imeonyesha hapajui vizuri upanga.Ndio maana wengi tunashindwa mitihani.., jamaa anaulizia bei majibu yanakuja wewe huwezi kumudu bei....
Anyway... tutafika tu, ingawa tutakuwa tumechoka....
Ndugu wavumilie tu hawa Ndugu zëtu haina namna, unauliza LKn ye ashakujua kwa kila kitu. Wanaona kila kitu hakiwezkn na hicho Ndo kinachotufelisha sana.Ndio maana wengi tunashindwa mitihani.., jamaa anaulizia bei majibu yanakuja wewe huwezi kumudu bei....
Anyway... tutafika tu, ingawa tutakuwa tumechoka....