Wataalamu wa macho huu ugonjwa gani?

Wataalamu wa macho huu ugonjwa gani?

Josephat Sanga

Senior Member
Joined
Aug 29, 2016
Posts
151
Reaction score
98
Wataalamu huu ni ugonjwa gani mhusika anasema ahisi maumivu yoyote.

Screenshot_20220328-182414_1.jpg
 
Sasa kama ahisi shida iko wapi. Leta picha basi tuone.
 
Chukua wembe fyekelea mbali hicho kinyama na ikikupendeza unaweza kichoma mshikaki ukala
 
huo ni uchafu umejikusanya unasababishwa na vumbi kuingia machoni wala hauna madhara,ukizidi sana unaweza kufanyiwa operation kuondoa nenda hospital ya macho kwa uchunguzi zaidi
 
Wataalamu huu ni ugonjwa gani mhusika anasema ahisi maumivu yoyote.

View attachment 2167226
Pole.

Hiyo inaitwa Pterygium ,Mara nyingi inatokea Kwa wale ambao macho yao ni makavu , wavuta sigara, kufanya kazi kwenye mazingira ya vumbi n .k


Kwa sababu Inakua kuelekea kwa Pupil na kutengeneza Kovu la Kornea , mtu hupoteza uwezo wa kuona ikiwa hatopata Matibabu.




Katafute hizi [emoji116]

Hydroxypropylmethylcellulose 0.7%, ophthalmic drops ,utadondosha tone Moja Moja Kila baada ya masaa 6 Kila siku Kwa kadiri itakavyohitajika ili kuondoa ukavu wa jicho.

Dexamethasone + Gentamicin eye drops 0.1 % Dondosha tone Moja Moja Kila baada ya Masaa 6 Kwa wiki 4 .




Mwisho, usiache kwenda Hosp ,Jicho halina Spea Bob !!
 
Pole.

Hiyo inaitwa Pterygium ,Mara nyingi inatokea Kwa wale ambao macho yao ni makavu , wavuta sigara, kufanya kazi kwenye mazingira ya vumbi n .k


Kwa sababu Inakua kuelekea kwa Pupil na kutengeneza Kovu la Kornea , mtu hupoteza uwezo wa kuona ikiwa hatopata Matibabu.




Katafute hizi [emoji116]

Hydroxypropylmethylcellulose 0.7%, ophthalmic drops ,utadondosha tone Moja Moja Kila baada ya masaa 6 Kila siku Kwa kadiri itakavyohitajika ili kuondoa ukavu wa jicho.

Dexamethasone + Gentamicin eye drops 0.1 % Dondosha tone Moja Moja Kila baada ya Masaa 6 Kwa wiki 4 .




Mwisho, usiache kwenda Hosp ,Jicho halina Spea Bob !!
Shukrani kwa ushauri kiongozi baada. Ya ushauri wako kaenda hospital kapatiwa hii dawa adondoshee kila baada ya masaa sita
IMG_20220329_103057_397.jpg
 
Aise nilishawahi kupata hii kitu kilianza kma tone la damu jichoni baadae kikawa kinyam kidogo hakiumi wala ila muda ulivozidi kwenda kilikuwa kinaongezeka nlikuwaga tanga by then nikaamua kwenda hospital bombo nilifanyiwa operation ndogo ya jicho wakakikata baada ya hapo sikuwahi kuugua tena ilikuwa 2016
 
Aise nilishawahi kupata hii kitu kilianza kma tone la damu jichoni baadae kikawa kinyam kidogo hakiumi wala ila muda ulivozidi kwenda kilikuwa kinaongezeka nlikuwaga tanga by then nikaamua kwenda hospital bombo nilifanyiwa operation ndogo ya jicho wakakikata baada ya hapo sikuwahi kuugua tena ilikuwa 2016
Nashukuru kwa ushauri wako
 
Shukrani kwa ushauri kiongozi baada. Ya ushauri wako kaenda hospital kapatiwa hii dawa adondoshee kila baada ya masaa sitaView attachment 2168883
Kaenda hospitali ipi mkuu??
Kaonana na Ophthalmologist (daktari bingwa wa macho) kabisaa au daktari wa kawaida??
Napata wasiwasi kidogo, maana inawezekana ikawa pterygium kama alivosema Carlos The Jackal
au otherwise ( OSSN).
Ila kama alionana na Ophthalmologist, basi kheri.
 
Back
Top Bottom