Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,030
- 2,200
Tafadhali isomeke "rika"lika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafadhali isomeke "rika"lika
NimechekaaaMhhh imagine umetuma hela Kwa bibi Yako Huko Itaka ama Itaka ndipo unamwambia nenda YAS WAKAKUMIXX BY YAAS utaona kama bibi Yako hajalala njaa
KabisaaaNafikiri mshauri wao upande wa lugha kafeli!, Biashara inatakiwa inapinduka pinduka kufuata watu haswa kwa biashara inayohusu lika zote.
Si hivyo tu hata tamaduni za watu husika inaweza ikachukua baadhi kwa zile zinazofaa! hakukuwa na shida yoyote kuita "Yas pesa" ni rahisi kwa watumiaji wa Tanzania, amasivyo wangeita hata "Yas money" ni rahisi pia kwa mtanzania kueleweka !.
Ningekuwa mi ndo mshauri wao kwenye kikao lazima ningetoa mtu nundu..🤣
😀😀😀😀😀Mhhh imagine umetuma hela Kwa bibi Yako Huko Itaka ama Itaka ndipo unamwambia nenda YAS WAKAKUMIXX BY YAAS utaona kama bibi Yako hajalala njaa
Please, Speed up, Elon Musk ahead!Na TTCL iuzwe tu
Tenda za kuuziana huwa zinatangazwa wapi?Kwa hisia zangu. Kumbuka tigo imenunuliwa na kampuni ya Axian pamoja na Fintech zote za kiafrica. Lkn yas sio brand ya tanzania tu ni pamoja na nigeria, senegal, tanzania na nchi zingine 2 hv ambazo nmezisahau zote zinatumia brand ya YAS kama kampuni na MIXX BY YAS kama huduma za kipesa. Nafkr n kwa sababu 2
1. Kuweka usawa wa jina katika nchi zote hii Axian company inafanya kazi
2. Mixx by Yas. Kuonesha ni muungano wa Fintech na Axian
Tigopesa itakuwa na owner mwingine na Yas Share holder wengine,hivyo ni biasharaTigo sasa ni Yas na Tigo Pesa ni Mixx by Yas. Hakutakuwa na mabadiliko yeyote kwenye huduma au bidhaa zetu .
Ujumbe wa Tigo kwa sasa ni Yas , ki branding kwinini isiwe Yas pesa?
Mimi sielewi hizi biashara,ilitakiwa local people waweze kununua majority share kupitia Psssf schemePlease, Speed up, Elon Musk ahead!
makampuni mengi ya mawasiliano yatauzwa kwa Wala ukoko, Minara yote inaelekea ukingoni.
inawezekanaTigopesa itakuwa na owner mwingine na Yas Share holder wengine,hivyo ni biashara
Wanaponunua kampuni, na madeni nayo wanayanunua?
Kuna uhusiano gani kati ya kununua kitu na kukibadilisha jina.., ni kama leo mtu anunua brand ya castle lite halafu abadili jina.., inaingia akilini?Kila kitu. Jielimishe kuhusu acquisition.
TTCL wananishangaza Sana huduma za internet ziko vizuri ila kuja kukufungia utafuatilia hadi uchoke unawaambia utawapa hela ya soda bado wanakataa huwa najiuliza au wametupiwa pepo?Ndo kilichobakia. Insingiza hasara kwakuendekeza ukiritimba. Yan mtej unataka huduma unawafuata hadi unachoka. Yan unaweza kuwaza hawakutaki ndugu mteja