Vien JF-Expert Member Joined Mar 6, 2020 Posts 6,585 Reaction score 10,363 Jan 8, 2025 #41 Nehemia Kilave kwamba una amini wewe ndo una akili kuliko wao, kwamba hawakufikiria hayo majina mengine?
Nehemia Kilave kwamba una amini wewe ndo una akili kuliko wao, kwamba hawakufikiria hayo majina mengine?
Jane Lowassa JF-Expert Member Joined May 10, 2016 Posts 4,955 Reaction score 9,041 Jan 8, 2025 #42 Naona kwenye vibanda wameandika YAS MIXX. Sijaona MIXX BY YAS.
Nehemia Kilave JF-Expert Member Joined Jan 9, 2022 Posts 1,414 Reaction score 3,118 Jan 9, 2025 Thread starter #43 Vien said: Nehemia Kilave kwamba una amini wewe ndo una akili kuliko wao, kwamba hawakufikiria hayo majina mengine? Click to expand... Mimi nimeulizwa swali , hata hivyo mimi sio mtaalamu wa hayo mambo ya marketing
Vien said: Nehemia Kilave kwamba una amini wewe ndo una akili kuliko wao, kwamba hawakufikiria hayo majina mengine? Click to expand... Mimi nimeulizwa swali , hata hivyo mimi sio mtaalamu wa hayo mambo ya marketing
K kinje ketile JF-Expert Member Joined Dec 12, 2015 Posts 5,089 Reaction score 9,664 Jan 9, 2025 #44 Dunia inapelekwa tartiib kwenye 'new World order'.... mkijashtuka woote mmeingizwa bila kujua