Wataalamu wa "Marketing" nitoeni tongo tongo kwa hili jina

Bar iko vizuri kabisa.

Hapana ni majina ya wapare ya wanawake. Huyo The List huwa ananichimba tu mara nyingi kwa ID zake zingine but sasa nimeamua kumpotezea
Mpuuze huyo kuna watu vyuma vimekatika hata grisi haifai tena

Ntaitafuta hiyo bar
 
karibu sana mpendwa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ukirudi uje uniambie ww ni ME au KE?
 
Huu uzi naona umekaa kibuswelubuswelu Mimi ni mkurya wa morotonga ngoja nielekee zangu wanyancha bar.
 
Mmh hii ni hatari
 
hahahhahha, sasa cha ajabu jirani yake kuna mwingine kafungua anaiita "UMPENDAYE KAJA"
Yaelekea walikuwa wana mabifu yao ya biashara.
Kumbe swaiba now upo mkoa sio ukirudi niletee zawadi basi but usimwambie mtu njoo tu pm kimya kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…