The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Natamani ku-test the difference kwenye hizi simu za kichina.
Mimi ni mpenzi wa hizi display za Samsung za curved na amoled au oled screen.
Sasa hizi brand za kichina zina-offer the same screen design and displays. Na pia zinatoa premium specifications kwa bei ya chini ya hizi za Samsung au Apple.
Naomba watalamu mnisadiei ipi ya kununua kati ya One Plus 8 pro na Oppo Find X2 Pro. Je ipi ina inatoa updates za os kwa wakati?
Ahsante.
Mimi ni mpenzi wa hizi display za Samsung za curved na amoled au oled screen.
Sasa hizi brand za kichina zina-offer the same screen design and displays. Na pia zinatoa premium specifications kwa bei ya chini ya hizi za Samsung au Apple.
Naomba watalamu mnisadiei ipi ya kununua kati ya One Plus 8 pro na Oppo Find X2 Pro. Je ipi ina inatoa updates za os kwa wakati?
Ahsante.