Bado ipo, pia tuna tela la tani 5 la kuvutwa na punda limezinduliwa na waziriHivi Ile mashine ya kujifukiza bado inafanya kazi ,wanasayansi wa Tanzania mnachejesha hatari
We jamaa sisi hatuitwi vipofu ni wasioona sawa. Halaf lete chanzo cha hii habari. Halaf hii tec inamiaka mingi tu huko ulaya na marekani. Bongo ilijaribiwa ila haijaleta matokeo mazuriWataalam wa Urusi latika maabara ya Sensor-Tekh wamefanikiwa katika majaribio ya kifaa ambacho kinawezesha vipofu kuweza kuona. Kifaa hicho kilichopewa jina la ELVIS (ELectronic VISion) Kitawezesha itawezesha vipofu kuona kwa kuvaa headband maalum yenye kamera.
Kifaa hicho kilichopewa jina la ELVIS (ELectronic VISion) Kitawezesha itawezesha vipofu kuona kwa kuvaa headband maalum yenye kamera.
Hii tec ipo sk nyingi tuWow,bonge la ugunduzi
Kweli eeeeeh?Hii tec ipo sk nyingi tu
... kwa kirusi (Russian) hicho kifaa kinaitwaje?Wataalam wa Urusi latika maabara ya Sensor-Tekh wamefanikiwa katika majaribio ya kifaa ambacho kinawezesha vipofu kuweza kuona. Kifaa hicho kilichopewa jina la ELVIS (ELectronic VISion) Kitawezesha itawezesha vipofu kuona kwa kuvaa headband maalum yenye kamera.
Kifaa hicho kilichopewa jina la ELVIS (ELectronic VISion) Kitawezesha itawezesha vipofu kuona kwa kuvaa headband maalum yenye kamera.
Yah nilishatumika kuijarivu ila bado haina utambuzi sahihiKweli eeeeeh?
Kitambo sana iligundulikaDawa ya ukimwi hado hawajagundua.???
pale kati patamu...