Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia neno asiyeona. Kipofu sio neno sahihi. Halaf mkuu naomba unieleze hili wazo lako kwa lugha rahisii kyna kitu ntakushauri.Nilipokuwa namaliza chuo nilipata wazo la Blind concsiousness enhanced Robot but nikawaza,
Je vipofu wataweza kulipia gharama ya utafiti?
Je kuna kampuni ingeweza kufadhili utafiti ambao haulipi?
Je serikali na makampuni ya simu yapo tayari kusuport system iingwe kwenye mifumo yao.
Nikaona ni jambo kubwa sana, nikalitupa wazo uvunguni mpaka leo mwaka wa sita sija angalia ile michoro na theory zake.
Hilo wazo nililipata baada ya kumuona kipofu mmoja akipata shida pale chuo, warusi wamekwenda hatua mbele zaidi ya mimi nilivyowaza, science can do anything.
Hiii tec ippo kitambo na mitMbona kama vile wamemkopy bwana Elon Musk kwenye neuralink
Jiulize kwanza wewe umeifanyia nini nchi hii?Hivi Ile mashine ya kujifukiza bado inafanya kazi ,wanasayansi wa Tanzania mnachejesha hatari
Mkuu nikianza kufafanua ntafungua code ya wazo japo sina uwezo wa kuliendekeza, sasa hivi nina mawazo mapya kabisa.Tumia neno asiyeona. Kipofu sio neno sahihi. Halaf mkuu naomba unieleze hili wazo lako kwa lugha rahisii kyna kitu ntakushauri.
Nakumbuka haohao urusi mwaka 2016 walitangaza wamegundua dawa ya ukimwi!! Halooo within a week dawa ikatangazwa kuwa ati haina uwezo wa kutibu..😬😬 hi dunia inafigisu sana mi naamini dawa ipo sema ndo vile tu biashara za watu.Dawa ya ukimwi hado hawajagundua.???
pale kati patamu...
Fungua hiyo site unaweza kupata maelezo ya kina.. Kufanana kwake na kutofautiana kwake.. Kipi wameongeza tofauti na wengine.Mbona kama vile wamemkopy bwana Elon Musk kwenye neuralink
Naona haujanielewa. Mimi naekuandikia hapa sioni. Sasa nashangaa unanianbia nachanganywa na wanasiasa uchwara wakati ndilo neno sahihi. Neno kipofu linamdhalilish?a mtu asiyeona.Mkuu nikianza kufafanua ntafungua code ya wazo japo sina uwezo wa kuliendekeza, sasa hivi nina mawazo mapya kabisa.
kifupi ni kumuongezea kipofu ufahamu.
Kipofu ndio neno halisi la kiswahili, asieona ni ufafanuzi, unafiki wa matamshi huwa sipendi na wala sioni kuwa ni tusi. I was trained as scientist huwa hakuna kupaka rangi maneno kwenye sayansi.
Kama wewe ulisoma kiswahili endelea na uswahili wa kupotosha naneno sahihi. Acha tabia ya kipelekeshwa na wanasiasa uchwara wanaopaka maneno mafuta.
Sayansi ibatufundisha kwsmba mtu asieona na mtu kipofu ni watu wswkli tofauti , mimi nazungumzia mtu kipofu.
Watanzania bado tunasafari ndefu, kwanza tukishajua Ukimwi sio ugonjwa ndo tunaweza kujikwamua.Dawa ya ukimwi hado hawajagundua.???
pale kati patamu...
Ni biashara ya watu. Ukijitia kugundua dawa lazima ufyekelewe mbali.Dawa ya ukimwi hado hawajagundua.???
pale kati patamu...
Hakuna fedha za kufanyia utafitiKufanya haya mambo lazima upoteze muda sana katika kuwaza usitegemee kushinda maskani ukavumbua vitu kama hivi.
Lazima uwe mtu wa kufocus
Kwa kiasi fulani ni kweliHakuna fedha za kufanyia utafiti
Kuna sehemu ulifika ukakwama sababu ya pesa?Hakuna fedha za kufanyia utafiti
Utagunduaje dawa ya virus ambavyo havipo?Dawa ya ukimwi hado hawajagundua.???
pale kati patamu...