Wataalamu wa Urusi wagundua kifaa kinachomuwezesha kipofu kuona

Wataalamu wa Urusi wagundua kifaa kinachomuwezesha kipofu kuona

Watanzania bado tunasafari ndefu, kwanza tukishajua Ukimwi sio ugonjwa ndo tunaweza kujikwamua.

Kwa akili yako wewe Upungufu wa Kinga Mwilini ni Ugonjwa? Unatafutaje dawa ya kitu ambacho sio ugonjwa?

Nani alikwambia tatizo hilo linasababishwa na pale kati?

Unavyoambiwa wazee wetu ambao COVID-19 inawasumbua sana sababu kinga yao ya mwili mara nyingi imekua compromised huwa unaelewa nini?.

Rudi kwenye vitabu kajifunzi maana ya UKIMWI, VVU, KIFUA KIKUU, KISUKARI, LISHE ISIYO BORA, SARATANI, HOMA YA INI, NK.

Halafu fuatilia ni namna gani vitu hivyi vinaweza kuathiri kinga ya mwili. Ukishamaliza tuanzie hapo sasa mjadala wetu
Kwan VVU Ni nini?
 
Hapo Swali jingine linazuka, kwanini wao watenge fedha nyingi za tafiti na sisi sio kitokutenga fedha tu bali hata hizo tafiti hazipo kabisa???.---- Tutafute nsungi wa tatizo kwanza.
Mkuu kwa nini usijiulize kwanza wewe as individual badala ya kutumia sisi.
Hata wazungu walianza as individual baadae ndio wakawa group.
Naona unamtafuta mchawi huku wewe nar ni mchawi.
Suala la wazungu ni historia hivyo nasi tunatakiwa tuweke historia yetu tofauti kama wanavyofanya china sasa, wanaunda historia yao tofauti na waliopitia ulaya hivyo hatuwezi kuwa sawa na wazungu au wachina.
We have to go our own way.
 
Hapo Swali jingine linazuka, kwanini wao watenge fedha nyingi za tafiti na sisi sio kitokutenga fedha tu bali hata hizo tafiti hazipo kabisa???.---- Tutafute nsungi wa tatizo kwanza.
Angalia nimetoa jibu hapo juu
 
We unazungumzia app leo! 2015 kurudi nyuma ndio kwanza android
system inaanza kushika kas wakati teknolojia hizo zilikuwa hapa bongo si ki hivyo, internet yenyewe ndio kwanza spidi ya kobe.
Mkuu kwani we unailewaje app.
Mi navyfahamu app ni software inayowekwa ktk device yoyote ndio maana siku hizi kuna smart devices .
Kwa hio huwezi unda kifaa chochote cha kisasa bila kuweka software kuanzia magari,ndege,simu nk.
Mkuu mi nazungumzia roboti wewe unazungumzia simu. yani vitu viwili tofauti kabisa
Hata hivyo hilo wazo lilishapitwa na wakati wala sina mda nalo afteral sina hela wala muda wa kutafiti kitu ambacho wanunuzi wake wanahitaji msaada ni kupoteza muda.
Wazungu wao wana sponsor ndio maana mtu anaweza kazania kitu hata miaka 20 akiwa hana kazi lakini akaishi na kuendeleza utafiti wake hata kama hautaleta matokeo chanya. Tuishie tu hapa haina haja kujibaza kwa kitu ambacho hakipo.
Ok sasa nimekupata nia yako. Ni ujasiriamali sio kusaidia watu.
 
Ok sasa nimekupata nia yako. Ni ujasiriamali sio kusaidia watu.
Mkuu kazi zenyewe tunalipwa kwa TGTS hivi unaweza kwrli kujitolea muda kusaidis watu huku hujasimama imara kiuchumi.
Mkuu hata wazungu wamekaa kijasiliamali ndpo maana wanatuuzia chanjo ta cov19 na dawa za ukimwi hawatupi bure.
Billgate anasaidia watu kwa sababu anacheua hela.
Natamani sana kusaidia ila uwezo sina.
 
Mkuu kazi zenyewe tunalipwa kwa TGTS hivi unaweza kwrli kujitolea muda kusaidis watu huku hujasimama imara kiuchumi.
Mkuu hata wazungu wamekaa kijasiliamali ndpo maana wanatuuzia chanjo ta cov19 na dawa za ukimwi hawatupi bure.
Billgate anasaidia watu kwa sababu anacheua hela.
Natamani sana kusaidia ila uwezo sina.
Nimekuelewa ndugu. Uchumi kaka.
 
Mkuu kwa nini usijiulize kwanza wewe as individual badala ya kutumia sisi.
Hata wazungu walianza as individual baadae ndio wakawa group.
Naona unamtafuta mchawi huku wewe nar ni mchawi.
Suala la wazungu ni historia hivyo nasi tunatakiwa tuweke historia yetu tofauti kama wanavyofanya china sasa, wanaunda historia yao tofauti na waliopitia ulaya hivyo hatuwezi kuwa sawa na wazungu au wachina.
We have to go our own way.


Swali jipya linaibuka; which will be our own way apart from the ways of Chinese and Europeans??!!.

The answer which I kept on waiting in vain from you is simply; we Africans are (in general) genetically different from Chinese, Japanese, Indians, European to name just a few, by genetic I mean genetic traits, attitudes etc in general which characterise who we/they are resulting into disparities in our day to day activities.

Njia ya waasia na wazungu ni tofauti na njia njia zetu na hivyo hatuwezi kuwa sawa katika utendaji wa mambo yetu, Sisi ni ngoma, sanaa na michezo, mambo kama hayo tu na sio Sayansi na elimu za nature. Nasema sisi kwa ujumla wetu.
 
Swali jipya linaibuka; which will be our own way apart from the ways of Chinese and Europeans??!!.

The answer which I kept on waiting in vain from you is simply; we Africans are (in general) genetically different from Chinese, Japanese, Indians, European to name just a few, by genetic I mean genetic traits, attitudes etc in general which characterise who we/they are resulting into disparities in our day to day activities.

Njia ya waasia na wazungu ni tofauti na njia njia zetu na hivyo hatuwezi kuwa sawa katika utendaji wa mambo yetu, Sisi ni ngoma, sanaa na michezo, mambo kama hayo tu na sio Sayansi na elimu za nature. Nasema sisi kwa ujumla wetu.
Si kweli kaka.
 
Si kweli kaka.


Haya, hebu niambie Mwanasayansi Muafrika mweusi aliyepata Zawadi ya Nobel katika Physics, Maths, Medicine, katika upande wa sayansi.

Jiulize kwanini hayupo??--- kungalikuwepo na zawadi za Nobel kwenye Sports ungewapata akina pele, Mohamed Ally, Gaucho, Michael jordan, Kobe Bryant, Magic johnson, Usain Bolts, Mayweather, Bekele, Kepchoge Keino, Kamaru othman, Michael page nk.
 
Mbona wameshaanza kuruka na ungo angani labda waziongezee uwezo kidoga wafike mwezini kama wenzetu wanavyoenda huko kufanya tafiti

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app


Hapo ndio kikomo chake na sio zaidi ya hapo, mbaya zaidi uliza ili aruke na ungo angani inatakiwa awe na vitu gani na masharti yapi??!!--- utashangazwa na majibu yake kwani unaweza kuambiwa ili upande na kupaa inatakiwa Uwe Uchi wa mnyama na ufumbe macho hadi utakapoambiwa na "rubani" ufumbue na unaweza kushangaa ukiambiwa huyo rubani ni sharti awe na tunguli na hirizi iliyosheheni vitu vya ajabu ambavyo vinakiuka utu na heshima ya utu wa mtu.--- huo ndio Uafrika 🤔 .
 
Hapo ndio kikomo chake na sio zaidi ya hapo, mbaya zaidi uliza ili aruke na ungo angani inatakiwa awe na vitu gani na masharti yapi??!!--- utashangazwa na majibu yake kwani unaweza kuambiwa ili upande na kupaa inatakiwa Uwe Uchi wa mnyama na ufumbe macho utakapoambiwa na "rubani" ufumbue na unaweza kushangaa ukiambiwa huyo rubani ni sharti awe na tunguli na hirizi iliyosheheni vitu vya ajabu ambavyo vinakiuka utu na heshima ya utu wa mtu.--- huo ndio Uafrika [emoji848] .
Duuuuuuuuuuuu

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Swali jipya linaibuka; which will be our own way apart from the ways of Chinese and Europeans??!!.

The answer which I kept on waiting in vain from you is simply; we Africans are (in general) genetically different from Chinese, Japanese, Indians, European to name just a few, by genetic I mean genetic traits, attitudes etc in general which characterise who we/they are resulting into disparities in our day to day activities.

Njia ya waasia na wazungu ni tofauti na njia njia zetu na hivyo hatuwezi kuwa sawa katika utendaji wa mambo yetu, Sisi ni ngoma, sanaa na michezo, mambo kama hayo tu na sio Sayansi na elimu za nature. Nasema sisi kwa ujumla wetu.
Unawashinda sanaa na michezo wazungu ? Labda ngoma.
Argument zako ni assumption or fact ?
Kama fact hizo trait difference zilianza lini? Kwa mfano maana hizo gunduzi zimeanza miaka 500 tu iliopita lakini dunia ina maelfu ya miaka nahizo gunduzi wala mzungu hakuwa nazo,je hixo trait zimeibika from no where?

Jibu ni kwamba hapa kwetu smart people hawajawahi kuwepo au kuwa huru kwenye mifumo ya kuleta mapinduzi nchini Tanzania.
Siku tukiacha mifumo ifanye kazi kama western people au eastern bila kuwa na tuvikundi kama twa ccm,chadema sijui cuf tutapata watu sahihi wa kuleta mapinduzi tunayoyaota.
Tunaowapigia makofi hamna kitu wapo left and right kwenye normal distributed group(normal curve).
Wachina wana chujio la hatari kupata viongozi .
Wachina wanajua nani atawaongoza baada ya Zi jin pin sisi Magu, Samia wote wamepatikana kwa bahati mbaya.
Tunatakiwa tufanye uamsho kama walivyofanya ulaya.
Normal distribution curve is all about people not race.
Gifted people are very few in everyrace.
Wenzetu hawafanyi mchezo kwenye suala la kuwabaini na kwaendeleza gifted.
Gifted people ndio wanaoleta mapinduzi duniani katika kila nyanja.
Sasa wewe una watu wanaopigiwa kura bila kujali vigezo vya intelligence halafu utarajie mapinduzi ya ghafla ya kiteknolojia na uchumi, haijawahi tokea dunia nzima, itaanzia kwetu labda.

Kwa kifupi tunaongozwa na vilaza ukilinganisha na hao wenzetu ila si kwamba hawapo geneus bali hawapewi nafasi wa excel .
Rejea teuzi za uongozi zinavyofanyika, hamna ushindani wa weledi bali matakwa na historia ya kuwepo kwenye kundi au umaarufu au kufahamiana.
Sijawahi soma kitabu chochote kinachoeleza eti umaarufu ndio kigezo cha uongozi.
Trump aliingia madarakani kwa vigezo vya umaarufu na intelligence lakini akakosa kigezo cha wisdom, kapigwa nje na wamarekani.
Sisi huku jitu bogus linaweza tawala miaka hata 40 na wala hatuna shida kisa yupo ktk group.
 
Haya, hebu niambie Mwanasayansi Muafrika mweusi aliyepata Zawadi ya Nobel katika Physics, Maths, Medicine, katika upande wa sayansi.

Jiulize kwanini hayupo??--- kungalikuwepo na zawadi za Nobel kwenye Sports ungewapata akina pele, Mohamed Ally, Gaucho, Michael jordan, Kobe Bryant, Magic johnson, Usain Bolts, Mayweather, Bekele, Kepchoge Keino, Kamaru othman, Michael page nk.
Nobel prize imekuwa ikuhusishwa na ubaguzi wa hali ya juu.
Kuna mnaijeria aliwahi tajwa akagombee ila akafanyiwa figisu.
Ana theory yake ina connect all fundamental forces.
Wazungu wameshindwa ku i prove wrong but wamembania kwa sababu is one of big theory itakayomfanya Eistein awe cha mtoto.
 
Unawashinda sanaa na michezo wazungu ? Labda ngoma.
Argument zako ni assumption or fact ?
Kama fact hizo trait difference zilianza lini? Kwa mfano maana hizo gunduzi zimeanza miaka 500 tu iliopita lakini dunia ina maelfu ya miaka nahizo gunduzi wala mzungu hakuwa nazo,je hixo trait zimeibika from no where?

Jibu ni kwamba hapa kwetu smart people hawajawahi kuwepo au kuwa huru kwenye mifumo ya kuleta mapinduzi nchini Tanzania.
Siku tukiacha mifumo ifanye kazi kama western people au eastern bila kuwa na tuvikundi kama twa ccm,chadema sijui cuf tutapata watu sahihi wa kuleta mapinduzi tunayoyaota.
Tunaowapigia makofi hamna kitu wapo left and right kwenye normal distributed group(normal curve).
Wachina wana chujio la hatari kupata viongozi .
Wachina wanajua nani atawaongoza baada ya Zi jin pin sisi Magu, Samia wote wamepatikana kwa bahati mbaya.
Tunatakiwa tufanye uamsho kama walivyofanya ulaya.
Normal distribution curve is all about people not race.
Gifted people are very few in everyrace.
Wenzetu hawafanyi mchezo kwenye suala la kuwabaini na kwaendeleza gifted.
Gifted people ndio wanaoleta mapinduzi duniani katika kila nyanja.
Sasa wewe una watu wanaopigiwa kura bila kujali vigezo vya intelligence halafu utarajie mapinduzi ya ghafla ya kiteknolojia na uchumi, haijawahi tokea dunia nzima, itaanzia kwetu labda.

Kwa kifupi tunaongozwa na vilaza ukilinganisha na hao wenzetu ila si kwamba hawapo geneus bali hawapewi nafasi wa excel .
Rejea teuzi za uongozi zinavyofanyika, hamna ushindani wa weledi bali matakwa na historia ya kuwepo kwenye kundi au umaarufu au kufahamiana.
Sijawahi soma kitabu chochote kinachoeleza eti umaarufu ndio kigezo cha uongozi.
Trump aliingia madarakani kwa vigezo vya umaarufu na intelligence lakini akakosa kigezo cha wisdom, kapigwa nje na wamarekani.
Sisi huku jitu bogus linaweza tawala miaka hata 40 na wala hatuna shida kisa yupo ktk group.


Mimi sijasema kwamba tunawazidi Wazungu kwa michezo, ninachosema ni kwamba sisi waafrika weusi ni talented katika michezo na sio katika Mambo ya Sayansi (Math, Physics, Chemistry, Medicine nk), kama kungalikuwa na Zawadi ya Nobel katika michezo basi watu wengi weusi wangalipata hiyo zawadi jinsi leo Waisraeli wengi walivyopata Nobel prizes.

Hakuna historia ya mtu mweusi aliyegundua hata theorem katika maths, physics nk, ukilinganisha na watu weupe, sisi watu weusi tunapoona jambo huwa hutujiulizi; Why, what and why??, na wala hatuna muda wa kutafiti mambo ya nature yanayotuzunguka jinsi watu wengine walivyokuwa na wanavyofanya, matatizo na shida nyingi tunazo lakini badala ya shida hizo kuwa chachu ya kutufanya tutumie akili zetu kuyatanzua na hivyo kukuza uwezo wa akili zetu katika kutanzua hizo shida mbalimbali tunamsubiri mzungu aje atusaidie (chukua mfano wa chanjo ya corona).

Tatizo au msingi wa hiyo kadhia yote inaanza na utashi, hamu, msukumo binafsi wa mtu mmoja mmoja ambapo kwa wazungu na waasia kitu hicho kimo damuni kwa wengi wao kulinganisha na sisi Black Africans (genetical inherent), ndio nasema ni vigumu sana sisi tuwe sawa na Wazungu katika masuala ya kisayansi kama genes zetu hazitakuwa mutated ili zifanane na za wazungu ili tufanye mambo kama wao kutokana na utashi uliojengeka ndani ya genes zao.
 
Back
Top Bottom