Wataalamu wa Urusi wagundua kifaa kinachomuwezesha kipofu kuona

Wataalamu wa Urusi wagundua kifaa kinachomuwezesha kipofu kuona

Nobel prize imekuwa ikuhusishwa na ubaguzi wa hali ya juu.
Kuna mnaijeria aliwahi tajwa akagombee ila akafanyiwa figisu.
Ana theory yake ina connect all fundamental forces.
Wazungu wameshindwa ku i prove wrong but wamembania kwa sababu is one of big theory itakayomfanya Eistein awe cha mtoto.


Kimbilio jingine la mtu mweusi ni kuona kila wakati yeye anaona kaonewa na kudhulumiwa, yeye hana wa kumuonea na kumdhulumu!!!??
Haya baada ya huyo mnaijeria ni nani mwingine muafrika aliyejitokeza??
 
Haya, hebu niambie Mwanasayansi Muafrika mweusi aliyepata Zawadi ya Nobel katika Physics, Maths, Medicine, katika upande wa sayansi.

Jiulize kwanini hayupo??--- kungalikuwepo na zawadi za Nobel kwenye Sports ungewapata akina pele, Mohamed Ally, Gaucho, Michael jordan, Kobe Bryant, Magic johnson, Usain Bolts, Mayweather, Bekele, Kepchoge Keino, Kamaru othman, Michael page nk.
Nishakuambia watu weusi tulikua hatuna fursa katika miaka ya karibuni. Ila utawaona muda sio mrefu
 
Unawashinda sanaa na michezo wazungu ? Labda ngoma.
Argument zako ni assumption or fact ?
Kama fact hizo trait difference zilianza lini? Kwa mfano maana hizo gunduzi zimeanza miaka 500 tu iliopita lakini dunia ina maelfu ya miaka nahizo gunduzi wala mzungu hakuwa nazo,je hixo trait zimeibika from no where?

Jibu ni kwamba hapa kwetu smart people hawajawahi kuwepo au kuwa huru kwenye mifumo ya kuleta mapinduzi nchini Tanzania.
Siku tukiacha mifumo ifanye kazi kama western people au eastern bila kuwa na tuvikundi kama twa ccm,chadema sijui cuf tutapata watu sahihi wa kuleta mapinduzi tunayoyaota.
Tunaowapigia makofi hamna kitu wapo left and right kwenye normal distributed group(normal curve).
Wachina wana chujio la hatari kupata viongozi .
Wachina wanajua nani atawaongoza baada ya Zi jin pin sisi Magu, Samia wote wamepatikana kwa bahati mbaya.
Tunatakiwa tufanye uamsho kama walivyofanya ulaya.
Normal distribution curve is all about people not race.
Gifted people are very few in everyrace.
Wenzetu hawafanyi mchezo kwenye suala la kuwabaini na kwaendeleza gifted.
Gifted people ndio wanaoleta mapinduzi duniani katika kila nyanja.
Sasa wewe una watu wanaopigiwa kura bila kujali vigezo vya intelligence halafu utarajie mapinduzi ya ghafla ya kiteknolojia na uchumi, haijawahi tokea dunia nzima, itaanzia kwetu labda.

Kwa kifupi tunaongozwa na vilaza ukilinganisha na hao wenzetu ila si kwamba hawapo geneus bali hawapewi nafasi wa excel .
Rejea teuzi za uongozi zinavyofanyika, hamna ushindani wa weledi bali matakwa na historia ya kuwepo kwenye kundi au umaarufu au kufahamiana.
Sijawahi soma kitabu chochote kinachoeleza eti umaarufu ndio kigezo cha uongozi.
Trump aliingia madarakani kwa vigezo vya umaarufu na intelligence lakini akakosa kigezo cha wisdom, kapigwa nje na wamarekani.
Sisi huku jitu bogus linaweza tawala miaka hata 40 na wala hatuna shida kisa yupo ktk group.
Yap unawaza sahihi kabisa. Hawa jamaa wanachafua uzi na mambo ya uchawi sijui ungo nk.
 
Nishakuambia watu weusi tulikua hatuna fursa katika miaka ya karibuni. Ila utawaona muda sio mrefu


Muda sio mrefu, miaka 2, 3, 4, 5??, miaka mingapi ijayo???-- wakati wenzetu wanakimbia sisi bado tunatembea, wakati wenzetu walipokuwa wanatembea sisi tulikuwa tumesimama, wakati walipokuwa wamesimama sisi tulikuwa fofofo, sasa ni lini utamfikia mzungu??
 
Wanasayansi tupo ila hakuna wafadhili. Ukitaka jambo lako liende labda usalimishe wazo lako kwa mabeberu kitu ambacho ni risk unaweza poteza haki ya umiliki.
Wenzetu wanaijeria wamejiongeza sana kwenda ulaya kufanikisha ndoto zao.
Kama una hela sema niwasiliishe propasal /wazo la kuzalisha umeme kwa nguvu za jua bila sola panel ni idea mpya kabisa sojaiona mahala na idea nnayo zaidi ya miaka kumi sasa, itajifia kama sitapata pesa za kufund mi mwenyewe.
Shida kubwa TZ hakuna maabara za kisasa kama za china nk.
Kuna madogo walikuwa wanafanya project ya third year wakawa wanataka kupima sample za udongo kujua kiwango cha radiations, cha ajabu walizunguka dar yote wakapara sehemu 2 tu za kupimia tena viwandani na charge ni laki kwa sample moja. Hilo ni jambo dogo tu walitaka kukwama je makubwa yatawezekana.
Msichukilie utafiti kama chai ya rangi.
Serikali hawajawahi kukataa kusaidia wanasayansi...umeonana na viongozi huko serikalini kuwapa proposal yako?
 
Mimi sijasema kwamba tunawazidi Wazungu kwa michezo, ninachosema ni kwamba sisi waafrika weusi ni talented katika michezo na sio katika Mambo ya Sayansi (Math, Physics, Chemistry, Medicine nk), kama kungalikuwa na Zawadi ya Nobel katika michezo basi watu wengi weusi wangalipata hiyo zawadi jinsi leo Waisraeli wengi walivyopata Nobel prizes.

Hakuna historia ya mtu mweusi aliyegundua hata theorem katika maths, physics nk, ukilinganisha na watu weupe, sisi watu weusi tunapoona jambo huwa hutujiulizi; Why, what and why??, na wala hatuna muda wa kutafiti mambo ya nature yanayotuzunguka jinsi watu wengine walivyokuwa na wanavyofanya, matatizo na shida nyingi tunazo lakini badala ya shida hizo kuwa chachu ya kutufanya tutumie akili zetu kuyatanzua na hivyo kukuza uwezo wa akili zetu katika kutanzua hizo shida mbalimbali tunamsubiri mzungu aje atusaidie (chukua mfano wa chanjo ya corona).

Tatizo au msingi wa hiyo kadhia yote inaanza na utashi, hamu, msukumo binafsi wa mtu mmoja mmoja ambapo kwa wazungu na waasia kitu hicho kimo damuni kwa wengi wao kulinganisha na sisi Black Africans (genetical inherent), ndio nasema ni vigumu sana sisi tuwe sawa na Wazungu katika masuala ya kisayansi kama genes zetu hazitakuwa mutated ili zifanane na za wazungu ili tufanye mambo kama wao kutokana na utashi uliojengeka ndani ya genes zao.
Hujajibu swali lote. Hii tofauti ya genes ilianza lini? Maana miaka 3000 iliopita wazungu waliishu tu mapangoni.
Je hizo genes zilikuwa zimelala?
 
Mimi sijasema kwamba tunawazidi Wazungu kwa michezo, ninachosema ni kwamba sisi waafrika weusi ni talented katika michezo na sio katika Mambo ya Sayansi (Math, Physics, Chemistry, Medicine nk), kama kungalikuwa na Zawadi ya Nobel katika michezo basi watu wengi weusi wangalipata hiyo zawadi jinsi leo Waisraeli wengi walivyopata Nobel prizes.

Hakuna historia ya mtu mweusi aliyegundua hata theorem katika maths, physics nk, ukilinganisha na watu weupe, sisi watu weusi tunapoona jambo huwa hutujiulizi; Why, what and why??, na wala hatuna muda wa kutafiti mambo ya nature yanayotuzunguka jinsi watu wengine walivyokuwa na wanavyofanya, matatizo na shida nyingi tunazo lakini badala ya shida hizo kuwa chachu ya kutufanya tutumie akili zetu kuyatanzua na hivyo kukuza uwezo wa akili zetu katika kutanzua hizo shida mbalimbali tunamsubiri mzungu aje atusaidie (chukua mfano wa chanjo ya corona).

Tatizo au msingi wa hiyo kadhia yote inaanza na utashi, hamu, msukumo binafsi wa mtu mmoja mmoja ambapo kwa wazungu na waasia kitu hicho kimo damuni kwa wengi wao kulinganisha na sisi Black Africans (genetical inherent), ndio nasema ni vigumu sana sisi tuwe sawa na Wazungu katika masuala ya kisayansi kama genes zetu hazitakuwa mutated ili zifanane na za wazungu ili tufanye mambo kama wao kutokana na utashi uliojengeka ndani ya genes zao.
Tofauti ya wazungu na sisi ni kwamba wazungu wanafanya utafit sisi hatufanyi utafiti, hakuna cha genes !
Wachina wamestuka nao wanawekeza sana kwenye utafiti, matokeo wameanza kuyaona.
Taifa lolote linalowekeza kwenye utafiti lina excel hakuna cha akili.
Kuna equation ilimchkua newton miaka 14 kuisolve, angekuwa na genes za tofauti ndio angetumia muda wote huo?
Suala kubwa ni kwamba waafrika hatupo serious tu si genes wala nini.
 
Muda sio mrefu, miaka 2, 3, 4, 5??, miaka mingapi ijayo???-- wakati wenzetu wanakimbia sisi bado tunatembea, wakati wenzetu walipokuwa wanatembea sisi tulikuwa tumesimama, wakati walipokuwa wamesimama sisi tulikuwa fofofo, sasa ni lini utamfikia mzungu??
Unalijua gape la china na ualaya mwaka 80.
Ndani ya miaka 30 wame overtake ulaya.
Wachina wamepata bahati ya viongozi wenye maono sisi tunapata viongozi wanaolinda nyadhfa zao bila kuonyesha maajabu ya kutawala.
Viongozi wetu huwa ni watu wa kutuhadaa kwa maneno eti tumepiga hatua, huku kila sekta inajikongoja, hakuna sekta hapa TZ yakupigiwa mfano, haipo uchovu! uchovu! uchovu!
Tazama Irani ni nchi ndogo inayopiga hatua kwa kasi huku ikitengwa na kushambiliwa na mabeberu lakini Irani inapambana na inaogopwa na wababe wa dunia. Irani wameweza kuunda ndege zao,submarine,meli za kivita,silaha kali za kivita nk. Haijawachukua hata miaka 30 kufikia hayo maendeleo.
Utashi tu mkuu. Tukipata wtu wakutengeneza dira vizuri na kuisimamia huku watu wakijitoa mhanga tutafika levo za hao wenzetu, kwa sasa tupo kawaida sana hata botswana tu wmetuzidi kwa mipango.
 
Hujajibu swali lote. Hii tofauti ya genes ilianza lini? Maana miaka 3000 iliopita wazungu waliishu tu mapangoni.
Je hizo genes zilikuwa zimelala?


Miaka 3000 iliyopita wao walipokuwa wakiishi mapangoni sisi tulikuwa tunaishi katika maghorofa??!--- au kipindi hicho tulikuwa tumewazidi nini??
 
Miaka 3000 iliyopita wao walipokuwa wakiishi mapangoni sisi tulikuwa tunaishi katika maghorofa??!--- au kipindi hicho tulikuwa tumewazidi nini??
Nataka unioneshe ubora wa hizi genes miaka hio na kama umeshindwa basi hakuna tofauti yoyote ya genes bali ni hali ya mazingira na utashi.
Nikuunge mkono kwa kusema wenzetu wadadisi sisi hatujaamua kufanya udadisi.
 
Miaka 3000 iliyopita wao walipokuwa wakiishi mapangoni sisi tulikuwa tunaishi katika maghorofa??!--- au kipindi hicho tulikuwa tumewazidi nini??
Nataka unioneshe ubora wa hizo genes miaka hio na kama umeshindwa basi hakuna tofauti yoyote ya genes bali ni hali ya mazingira na utashi.
Nikuunge mkono kwa kusema wenzetu wadadisi sisi hatujaamua kufanya udadisi.
 
Nataka unioneshe ubora wa hizi genes miaka hio na kama umeshindwa basi hakuna tofauti yoyote ya genes bali ni hali ya mazingira na utashi.
Nikuunge mkono kwa kusema wenzetu wadadisi sisi hatujaamua kufanya udadisi.


Ndicho hicho ninachosema kwamba udadisi ni pamoja na kujiuliza; why, what and how, kujiuliza kwa namna hiyo ndiyo ni sehemu ya "TRAITS", traits have to do with genetics, hebu chukua mfano hai kutoka kwa Wajapani, Wajapani are the MOST hardworking people so far no other people in the world surpass them, sasa tabia (trait) hiyo ya hardworking kwa wajapani imerithiwa vizazi na vizazi kwahiyo kitu hicho kimo ndani ya "gene" zao, twende kwa Waisraeli; hawa many of them are smarter in academic excellence than other people--- they are created so or they are privileged by God so to say that means their smartness, brilliance or brainy in many fields are fixed in their genes and it has been transferred from one generation to another, genes are hereditary units which carries hereditary materials (chromosomes, DNA) , na hata mtu anapotaka kujua his/her ancestry background huwa anapimwa DNA.

Ni hivi; licha ya kwamba wengi wetu sisi watu weusi tumekosa utashi (ambao mainly ni genetical makeup) kama ule wa wazungu lakini hii isiwe ni desperate kwamba tusifanye au tusijitahidi kufanya mambo wanayofanya wao, ila wao tunaweza kusema; they are gifted in that case.

Wao hivi sasa wanakimbia sisi tunatembea nyuma yao, watakapopaa sisi tutakuwa tunakimbia nyuma yao, We are always at their backs in the science and technology.
 
Wataalam wa Urusi latika maabara ya Sensor-Tekh wamefanikiwa katika majaribio ya kifaa ambacho kinawezesha vipofu kuweza kuona. Kifaa hicho kilichopewa jina la ELVIS (ELectronic VISion) Kitawezesha itawezesha vipofu kuona kwa kuvaa headband maalum yenye kamera.

Kifaa hicho kilichopewa jina la ELVIS (ELectronic VISion) Kitawezesha itawezesha vipofu kuona kwa kuvaa headband maalum yenye kamera.

Km ni kweli basi itakuwa vizuri, maana Baba yangu mzazi ni Kipofu kwa hiyo itamsaidia sana.Japokuwa hbr ipo juu juu Sana haielezi kinagaubaga.
 
Wataalam wa Urusi latika maabara ya Sensor-Tekh wamefanikiwa katika majaribio ya kifaa ambacho kinawezesha vipofu kuweza kuona. Kifaa hicho kilichopewa jina la ELVIS (ELectronic VISion) Kitawezesha itawezesha vipofu kuona kwa kuvaa headband maalum yenye kamera.

Kifaa hicho kilichopewa jina la ELVIS (ELectronic VISion) Kitawezesha itawezesha vipofu kuona kwa kuvaa headband maalum yenye kamera.


Source?
 
Km ni kweli basi itakuwa vizuri, maana Baba yangu mzazi ni Kipofu kwa hiyo itamsaidia sana.Japokuwa hbr ipo juu juu Sana haielezi kinagaubaga.
Sio rahisi hii tec kuwasaidia watu masikini maana baada ya kukamilika itagharim million kama 200 hivi. Na watu wenye umri wa miaka chini ya miaka 25 au zaidi ya miaka 60 hawatafanyiwa hii operation. Pia baada ya miaka kumi utavadilishiwa hicho kifaa. Hapo atumie teknolojia saidizi za simu au computer nk zitamsaidia. .mimi pia sioni kama huyo baba yako.
 
Back
Top Bottom