Wataalamu wa Urusi wagundua kifaa kinachomuwezesha kipofu kuona

Wataalamu wa Urusi wagundua kifaa kinachomuwezesha kipofu kuona

Naona haujanielewa. Mimi naekuandikia hapa sioni. Sasa nashangaa unanianbia nachanganywa na wanasiasa uchwara wakati ndilo neno sahihi. Neno kipofu linamdhalilish?a mtu asiyeona.
Pili ufahamu gani ulipanga kumuongeZea mtu asiyeona?
Tatu unaufahamu gani juuu ya accesibility technology.
Unadhalilishwa vipi kuitwa kipofu.
Mtu aluwa mrefu akaitwa mrefu na mtu mfupi akaitwa mfupi ni tusi ?
Je kamusi ya kiswahili inafsiri vipi neno kipofu. Bado narudia uoni na upofu ni maneno mawili tofauti.
Kinyume cha neno kuona ndio kipofu.
Mi naelewa hivyo ndugu yangu kama unaelewa tofauti samahani.
Accessibility technology siifahamu.
Nimesema sitaki kufungua code ya hiyo device inafanyaje kazi ila inamsaidia kipofu asihitaji usaidizi wa mtu yoyote.
Kifaa kinaweza kumwambia kipofu kama kuna mtu,gari,mti nguzo,jengo,space, nk, kifupi ni roboti inayomsaidia kuyamudu mazingira.
 
Hivi siye Tanzania tuna wanasayansi kweli, sijawahi kusikia cha maana walichokigundua au kukifanya.
Wanasayansi tupo ila hakuna wafadhili. Ukitaka jambo lako liende labda usalimishe wazo lako kwa mabeberu kitu ambacho ni risk unaweza poteza haki ya umiliki.
Wenzetu wanaijeria wamejiongeza sana kwenda ulaya kufanikisha ndoto zao.
Kama una hela sema niwasiliishe propasal /wazo la kuzalisha umeme kwa nguvu za jua bila sola panel ni idea mpya kabisa sojaiona mahala na idea nnayo zaidi ya miaka kumi sasa, itajifia kama sitapata pesa za kufund mi mwenyewe.
Shida kubwa TZ hakuna maabara za kisasa kama za china nk.
Kuna madogo walikuwa wanafanya project ya third year wakawa wanataka kupima sample za udongo kujua kiwango cha radiations, cha ajabu walizunguka dar yote wakapara sehemu 2 tu za kupimia tena viwandani na charge ni laki kwa sample moja. Hilo ni jambo dogo tu walitaka kukwama je makubwa yatawezekana.
Msichukilie utafiti kama chai ya rangi.
 
Wanasayansi tupo ila hakuna wafadhili. Ukitaka jambo lako liende labda usalimishe wazo lako kwa mabeberu kitu ambacho ni risk unaweza poteza haki ya umiliki.
Wenzetu wanaijeria wamejiongeza sana kwenda ulaya kufanikisha ndoto zao.
Kama una hela sema niwasiliishe propasal /wazo la kuzalisha umeme kwa nguvu za jua bila sola panel ni idea mpya kabisa sojaiona mahala na idea nnayo zaidi ya miaka kumi sasa, itajifia kama sitapata pesa za kufund mi mwenyewe.
Shida kubwa TZ hakuna maabara za kisasa kama za china nk.
Kuna madogo walikuwa wanafanya project ya third year wakawa wanataka kupima sample za udongo kujua kiwango cha radiations, cha ajabu walizunguka dar yote wakapara sehemu 2 tu za kupimia tena viwandani na charge ni laki kwa sample moja. Hilo ni jambo dogo tu walitaka kukwama je makubwa yatawezekana.
Msichukilie utafiti kama chai ya rangi.


Hao wazungu wamewezaje kumudu tafiti zao na sisi tutawezaje kumudu kama wao na zaidi??!!--- hayo ndiyo maswali ya msingi ya kujiuliza.
 
Bado ipo, pia tuna tela la tani 5 la kuvutwa na punda limezinduliwa na waziri

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji3][emoji3][emoji2][emoji18][emoji3][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hao wazungu wamewezaje kumudu tafiti zao na sisi tutawezaje kumudu kama wao na zaidi??!!--- hayo ndiyo maswali ya msingi ya kujiuliza.
Walianza tangu karne ya 15. Mfano galileo ili achunguze angani alilazimika kuunda telescope yeye mwenyewe.
Leo hivyo vitu vipo huna sababu ya kuvigundua inahitaji pesa uvinunue uchunguze angani.
Ni jukumu la serikali na matajiri kuwekeza labaratory za kisasa ili wanasayansi waweze kwenda kufanya utafiti.
Mfano mdogo ni Singapore kanchi kadogo lakini kana labs za kisasa kbisa ambazo unaweza tafiti chochote hata wazungu wanaenda kutumia.
 
Wanasayansi tupo ila hakuna wafadhili. Ukitaka jambo lako liende labda usalimishe wazo lako kwa mabeberu kitu ambacho ni risk unaweza poteza haki ya umiliki.
Wenzetu wanaijeria wamejiongeza sana kwenda ulaya kufanikisha ndoto zao.
Kama una hela sema niwasiliishe propasal /wazo la kuzalisha umeme kwa nguvu za jua bila sola panel ni idea mpya kabisa sojaiona mahala na idea nnayo zaidi ya miaka kumi sasa, itajifia kama sitapata pesa za kufund mi mwenyewe.
Shida kubwa TZ hakuna maabara za kisasa kama za china nk.
Kuna madogo walikuwa wanafanya project ya third year wakawa wanataka kupima sample za udongo kujua kiwango cha radiations, cha ajabu walizunguka dar yote wakapara sehemu 2 tu za kupimia tena viwandani na charge ni laki kwa sample moja. Hilo ni jambo dogo tu walitaka kukwama je makubwa yatawezekana.
Msichukilie utafiti kama chai ya rangi.

Nakuelewa sana sana mkuu
 
Walianza tangu karne ya 15. Mfano galileo ili achunguze angani alilazimika kuunda telescope yeye mwenyewe.
Leo hivyo vitu vipo huna sababu ya kuvigundua inahitaji pesa uvinunue uchunguze angani.
Ni jukumu la serikali na matajiri kuwekeza labaratory za kisasa ili wanasayansi waweze kwenda kufanya utafiti.
Mfano mdogo ni Singapore kanchi kadogo lakini kana labs za kisasa kbisa ambazo unaweza tafiti chochote hata wazungu wanaenda kutumia.


Karne ya 15 kipindi hicho sisi tulikuwa tunafanya nini???--- ni kitu gani leo kinatufanya tushindwe kuwekeza lab-high tech instruments kwa ajili ya tafiti??.

Hayo ndiyo maswali yale yale niliyouliza but this time they are in another forms but have the same gist.
 
Walianza tangu karne ya 15. Mfano galileo ili achunguze angani alilazimika kuunda telescope yeye mwenyewe.
Leo hivyo vitu vipo huna sababu ya kuvigundua inahitaji pesa uvinunue uchunguze angani.
Ni jukumu la serikali na matajiri kuwekeza labaratory za kisasa ili wanasayansi waweze kwenda kufanya utafiti.
Mfano mdogo ni Singapore kanchi kadogo lakini kana labs za kisasa kbisa ambazo unaweza tafiti chochote hata wazungu wanaenda kutumia.
Big up mkuu.
 
Karne ya 15 kipindi hicho sisi tulikuwa tunafanya nini???--- ni kitu gani leo kinatufanya tushindwe kuwekeza lab-high tech instruments kwa ajili ya tafiti??.

Hayo ndiyo maswali yale yale niliyouliza but this time they are in another forms but have the same gist.
Utashi. Hapa bongo kuna watj wanafund starterup tech compony?
Kama wapo nipe majina yao.
Bill gate alipata funder kwenye kampuni yake ndio ikakua.
Muwe mnasoma kwanza historia ya hizo kampuni na teknolojia.
Hata wewe unaweza anzisha kampunu ukaajili wanasayansi sio lazima wanasayansi wanzishe kampuni.
Hata wewe unahusika kwa kushindwa kuwa na kampuni za kiteknolojia bongo.
Jack ma sio mwanasayansi kwa taarifa yako.
Watu wenye pesa Afrika hawana mda na ugunduzi wanataka ready made.
Mfano Dangote kwa lebel yake alitakiwa awekeze katika tafiti za kiteknolojia ila hana mda, ananunua mitambo ulaya na china anajenga viwznda vyake.
Kwa Afroka serikali zinatskiwa zikuze wanasayansi wake kwa uwekezaji mkubwa ila hawana political will.
 
Kiukweli kama jamii ya kitanzania tunatakiwa tujitafakari sana, elimu tunayopata haina tija tena au haiendani kabisa na kasi na maendeleo ya nchi yetu.

Fikiria dunia inakwenda katika mapinduzi ya nne ya viwanda (M4V), lakini nchi yangu mama Tanzania bado hata awamu ya tatu ni changamoto.

Ugunduzi wa kifaa cha kuona inabidi ututie chachu wataalamu wote na tufumbue macho tujiangalie tulipo na wenzetu walipo sasa.
Bado tunakomaa kula mbususu kimasihara pia ni namna gani ya kumridhisha mwanamke kitandani. Kuchelewa kukojoa 6*6 ndo ili upate heshima kwa ke,
Vumbi la Kongo ndo urithi tutakaowapa wajukuu zetu.
Afrika tumebarikiwa tango la maana pia linalima bila kuchoka wazungu romance sana afu bao moja tu chali,sie huku twaenda mpaka raound kumi bila kupumzika.hebu tujipige kifua Mana ni urithi mzuri kwa kizazi chetu kijacho.
Uliza mbinu namna ya kuichakata mbususu Ina draw our mind attention kinyama.

Africans are good at sex and dancing. Nilimsikia kichaa mmoja akitunanga
 
Kwa kiasi fulani ni kweli
Ninaufahamu fulani na mAsuala ya teknolojia saidizi kwa watu wenye ulemavu na namna zinavyokua ghali. Private entities zinapofanya tafiti lengo ni kufanya uvumbuzi ili zipate faida. Sasa hapa bongo ndiyo kabisa.
 
Unadhalilishwa vipi kuitwa kipofu.
Mtu aluwa mrefu akaitwa mrefu na mtu mfupi akaitwa mfupi ni tusi ?
Je kamusi ya kiswahili inafsiri vipi neno kipofu. Bado narudia uoni na upofu ni maneno mawili tofauti.
Kinyume cha neno kuona ndio kipofu.
Mi naelewa hivyo ndugu yangu kama unaelewa tofauti samahani.
Accessibility technology siifahamu.
Nimesema sitaki kufungua code ya hiyo device inafanyaje kazi ila inamsaidia kipofu asihitaji usaidizi wa mtu yoyote.
Kifaa kinaweza kumwambia kipofu kama kuna mtu,gari,mti nguzo,jengo,space, nk, kifupi ni roboti inayomsaidia kuyamudu mazingira.
Asante ndugu. Katika lugha kama neno linakua halileti taswira njema hua hatulitamki. Mifano unaifaham tu mkuu. Kunya tunaita haja kubwa. Ingawa kunya ni neno sahuhi na lipo katika kamusi.
Pili, hapo unaweza tengeneza hata app ya simu ikatoa msaada kwa ile kamera na altrasonic sensor. Wapo ambao wameshalifanyia kazi hili. Hata apps kadhaa zinasaidia ingawa matokeo sio mazuri sana.
 
Wanasayansi tupo ila hakuna wafadhili. Ukitaka jambo lako liende labda usalimishe wazo lako kwa mabeberu kitu ambacho ni risk unaweza poteza haki ya umiliki.
Wenzetu wanaijeria wamejiongeza sana kwenda ulaya kufanikisha ndoto zao.
Kama una hela sema niwasiliishe propasal /wazo la kuzalisha umeme kwa nguvu za jua bila sola panel ni idea mpya kabisa sojaiona mahala na idea nnayo zaidi ya miaka kumi sasa, itajifia kama sitapata pesa za kufund mi mwenyewe.
Shida kubwa TZ hakuna maabara za kisasa kama za china nk.
Kuna madogo walikuwa wanafanya project ya third year wakawa wanataka kupima sample za udongo kujua kiwango cha radiations, cha ajabu walizunguka dar yote wakapara sehemu 2 tu za kupimia tena viwandani na charge ni laki kwa sample moja. Hilo ni jambo dogo tu walitaka kukwama je makubwa yatawezekana.
Msichukilie utafiti kama chai ya rangi.
Yes broo nimelieleza hili hapo juu. Fedha hamna na suala jingine vyuo vikuu vyetu navyo hali zake nbaya sana
 
Hao wazungu wamewezaje kumudu tafiti zao na sisi tutawezaje kumudu kama wao na zaidi??!!--- hayo ndiyo maswali ya msingi ya kujiuliza.
Wanatenga fedha nyingi za tafiti. Mfano sekta ya afya bongo asilimia 80 inawategemea mabeberu.
 
Walianza tangu karne ya 15. Mfano galileo ili achunguze angani alilazimika kuunda telescope yeye mwenyewe.
Leo hivyo vitu vipo huna sababu ya kuvigundua inahitaji pesa uvinunue uchunguze angani.
Ni jukumu la serikali na matajiri kuwekeza labaratory za kisasa ili wanasayansi waweze kwenda kufanya utafiti.
Mfano mdogo ni Singapore kanchi kadogo lakini kana labs za kisasa kbisa ambazo unaweza tafiti chochote hata wazungu wanaenda kutumia.
Au taiwan
 
Karne ya 15 kipindi hicho sisi tulikuwa tunafanya nini???--- ni kitu gani leo kinatufanya tushindwe kuwekeza lab-high tech instruments kwa ajili ya tafiti??.

Hayo ndiyo maswali yale yale niliyouliza but this time they are in another forms but have the same gist.
Niseme tu ubinafsi wa watawala na umaskini pia kukosa proper focus. Hebu ona cuba au iran au dprk
 
Utashi. Hapa bongo kuna watj wanafund starterup tech compony?
Kama wapo nipe majina yao.
Bill gate alipata funder kwenye kampuni yake ndio ikakua.
Muwe mnasoma kwanza historia ya hizo kampuni na teknolojia.
Hata wewe unaweza anzisha kampunu ukaajili wanasayansi sio lazima wanasayansi wanzishe kampuni.
Hata wewe unahusika kwa kushindwa kuwa na kampuni za kiteknolojia bongo.
Jack ma sio mwanasayansi kwa taarifa yako.
Watu wenye pesa Afrika hawana mda na ugunduzi wanataka ready made.
Mfano Dangote kwa lebel yake alitakiwa awekeze katika tafiti za kiteknolojia ila hana mda, ananunua mitambo ulaya na china anajenga viwznda vyake.
Kwa Afroka serikali zinatskiwa zikuze wanasayansi wake kwa uwekezaji mkubwa ila hawana political will.
Yes tunachanganya elimu na siasa
 
Wanatenga fedha nyingi za tafiti. Mfano sekta ya afya bongo asilimia 80 inawategemea mabeberu.

Hapo Swali jingine linazuka, kwanini wao watenge fedha nyingi za tafiti na sisi sio kitokutenga fedha tu bali hata hizo tafiti hazipo kabisa???.---- Tutafute nsungi wa tatizo kwanza.
 
Asante ndugu. Katika lugha kama neno linakua halileti taswira njema hua hatulitamki. Mifano unaifaham tu mkuu. Kunya tunaita haja kubwa. Ingawa kunya ni neno sahuhi na lipo katika kamusi.
Pili, hapo unaweza tengeneza hata app ya simu ikatoa msaada kwa ile kamera na altrasonic sensor. Wapo ambao wameshalifanyia kazi hili. Hata apps kadhaa zinasaidia ingawa matokeo sio mazuri sana.
We unazungumzia app leo! 2015 kurudi nyuma ndio kwanza android
system inaanza kushika kas wakati teknolojia hizo zilikuwa hapa bongo si ki hivyo, internet yenyewe ndio kwanza spidi ya kobe.
Mkuu kwani we unailewaje app.
Mi navyfahamu app ni software inayowekwa ktk device yoyote ndio maana siku hizi kuna smart devices .
Kwa hio huwezi unda kifaa chochote cha kisasa bila kuweka software kuanzia magari,ndege,simu nk.
Mkuu mi nazungumzia roboti wewe unazungumzia simu. yani vitu viwili tofauti kabisa
Hata hivyo hilo wazo lilishapitwa na wakati wala sina mda nalo afteral sina hela wala muda wa kutafiti kitu ambacho wanunuzi wake wanahitaji msaada ni kupoteza muda.
Wazungu wao wana sponsor ndio maana mtu anaweza kazania kitu hata miaka 20 akiwa hana kazi lakini akaishi na kuendeleza utafiti wake hata kama hautaleta matokeo chanya. Tuishie tu hapa haina haja kujibaza kwa kitu ambacho hakipo.
 
Back
Top Bottom