- Thread starter
- #21
Kweli mkuu. Mtoto wa mzee John Malecela. Ni marehemu sasaUmemsahau yule mama wa Zika akafukuzwa na Magu
Nimemsahau jina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mkuu. Mtoto wa mzee John Malecela. Ni marehemu sasaUmemsahau yule mama wa Zika akafukuzwa na Magu
Nimemsahau jina
Familia ilitoa vichwa haswaKweli mkuu. Mtoto wa mzee John Malecela. Ni marehemu sasa
Marehemu Mwele Malecela, mtoto wa Mzee Malecela!Umemsahau yule mama wa Zika akafukuzwa na Magu
Nimemsahau jina
Kwani wakina Muhongo walikuwa na njaa gani?Walikuja kwa heshima ya Rais!Career bila hela?
Duniani hapa hata uwe msomi na kuheshimika vipi kama huna hela ni bure tu!
Kwenu nyie mnaona wachafu ila wao maisha yao na vizazi vyao yapo kwenye mfereji wa neema ya nchi.
Ni upumbavu kukumbatia career huku unakufa njaa.
Marehemu Basil Mramba!Mtakula nyasi lazima ndege ya Rais inunuliwe...
Asante mkuu, alinitoka kabisa
Huyo Tibaijuka ni poyoyo tuu mtoe hapo1. Sospeter Muhongo. Huyu ni gwiji ktk taaluma ya miamba ya madini. Alikuwa zake South Africa miaka lukuki akiwa rais wa wanataaluma ya miamba Afrika nzima. Kikwete kaenda kumbembeleza aje atunasue kwenye sekta ya madini.
Kufika hapa kapewa uwaziri lkn hakukaa muda mrefu akaangushwa na kundi la wajinga CCM.
2. Omary Nundu. Huyu ni bingwa wa masuala ya aviation. Amefanya kazi maiaka kibao ktk njia panda ya dunia ya madege -Amsterdam. Kikwete kaenda kumuomba aje atufufulie shirika letu la ndege. Kufika hapa kapewa uwaziri lkn kakwamishwa na wajinga CCM.
3. Tido Mhando. Huyu ana weledi mkubwa ktk maswala ya habari na mawasiliano. Alikuwa anafanya kazi shirika kubwa la habari duniani -BBC. Kikwete kaenda kumuomba aje aiboreshe TBC. Kufika hapa kapewa ukurugenzi lkn alikwamishwa na wajinga CCM.
4. Prof. Tibaijuka. Mama mataalamu wa masuala ya nyumba na makazi. Kafanya kazi ktk shirika la umoja wa mataifa lijulikanalo kama UN Habitat. Kikwete kaenda kumuomba aje asaidie kuboresha nyumba na makazi hapa. Akipewa uwaziri lkn akakwamishwa na wajinga ccm.
5. Irene Isaka. Huyu alikuwa anafanya kazi kubwa na yenye mshahara mkubwa sana kwenye shirika moja la kimataifa huko South Africa. Kikwete kaenda kumuomba. Akaja akafanya kazi .nzuri chini awamu ya Kikwete lkn alipoingia jiwe akamtupilia mbali kwa hoja za kijinga tu.
CCM is the heaven for thick headed people.
Wewe! Ni profesa huyo! Na aliaminiwa na UNHuyo Tibaijuka ni poyoyo tuu mtoe hapo
1. Sospeter Muhongo. Huyu ni gwiji ktk taaluma ya miamba ya madini. Alikuwa zake South Africa miaka lukuki akiwa rais wa wanataaluma ya miamba Afrika nzima. Kikwete kaenda kumbembeleza aje atunasue kwenye sekta ya madini.
Kufika hapa kapewa uwaziri lkn hakukaa muda mrefu akaangushwa na kundi la wajinga CCM.
2. Omary Nundu. Huyu ni bingwa wa masuala ya aviation. Amefanya kazi maiaka kibao ktk njia panda ya dunia ya madege -Amsterdam. Kikwete kaenda kumuomba aje atufufulie shirika letu la ndege. Kufika hapa kapewa uwaziri lkn kakwamishwa na wajinga CCM.
3. Tido Mhando. Huyu ana weledi mkubwa ktk maswala ya habari na mawasiliano. Alikuwa anafanya kazi shirika kubwa la habari duniani -BBC. Kikwete kaenda kumuomba aje aiboreshe TBC. Kufika hapa kapewa ukurugenzi lkn alikwamishwa na wajinga CCM.
4. Prof. Tibaijuka. Mama mataalamu wa masuala ya nyumba na makazi. Kafanya kazi ktk shirika la umoja wa mataifa lijulikanalo kama UN Habitat. Kikwete kaenda kumuomba aje asaidie kuboresha nyumba na makazi hapa. Akipewa uwaziri lkn akakwamishwa na wajinga ccm.
5. Irene Isaka. Huyu alikuwa anafanya kazi kubwa na yenye mshahara mkubwa sana kwenye shirika moja la kimataifa huko South Africa. Kikwete kaenda kumuomba. Akaja akafanya kazi .nzuri chini awamu ya Kikwete lkn alipoingia jiwe akamtupilia mbali kwa hoja za kijinga tu.
CCM is the heaven for thick headed people.
Hivi huyu Msabaha kafa ama yuko hai? Maana sijawahi kumsikia tena??Hao wote hamna kitu. Bila kumtaja Ibrahim Msabaha. Huyu alikuwa real with true colours. Alivyozinguliwa hakuangalia nyuma akapotea mazima.
Kweli mkuu. Mtoto wa mzee John Malecela. Ni marehemu sasa
Hivi huyu Msabaha kafa ama yuko hai? Maana sijawahi kumsikia tena??
Kwa alivyowajambisha na DPW lazima umuite poyoyo😂😂Huyo Tibaijuka ni poyoyo tuu mtoe hapo
Ni poyoyo kuliko mwenye PhD za kupewa wakati kidato cha 4 alipiiga Bashite?Huyo Tibaijuka ni poyoyo tuu mtoe hapo
Ukiondoa kwa Tido Mhando, wengine wote hapo ni wachafu wa kawaida, wakapewa kazi ya kwenda kutakatisha uchafu, katikati ya majikumu yao ya uchafuzi wakawekwa pembeni.