Wataalamu wabobezi waliochafuliwa na fitina za CCM

Wataalamu wabobezi waliochafuliwa na fitina za CCM

Career bila hela?

Duniani hapa hata uwe msomi na kuheshimika vipi kama huna hela ni bure tu!

Kwenu nyie mnaona wachafu ila wao maisha yao na vizazi vyao yapo kwenye mfereji wa neema ya nchi.

Ni upumbavu kukumbatia career huku unakufa njaa.
Kwani wakina Muhongo walikuwa na njaa gani?Walikuja kwa heshima ya Rais!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
1. Sospeter Muhongo. Huyu ni gwiji ktk taaluma ya miamba ya madini. Alikuwa zake South Africa miaka lukuki akiwa rais wa wanataaluma ya miamba Afrika nzima. Kikwete kaenda kumbembeleza aje atunasue kwenye sekta ya madini.

Kufika hapa kapewa uwaziri lkn hakukaa muda mrefu akaangushwa na kundi la wajinga CCM.

2. Omary Nundu. Huyu ni bingwa wa masuala ya aviation. Amefanya kazi maiaka kibao ktk njia panda ya dunia ya madege -Amsterdam. Kikwete kaenda kumuomba aje atufufulie shirika letu la ndege. Kufika hapa kapewa uwaziri lkn kakwamishwa na wajinga CCM.

3. Tido Mhando. Huyu ana weledi mkubwa ktk maswala ya habari na mawasiliano. Alikuwa anafanya kazi shirika kubwa la habari duniani -BBC. Kikwete kaenda kumuomba aje aiboreshe TBC. Kufika hapa kapewa ukurugenzi lkn alikwamishwa na wajinga CCM.

4. Prof. Tibaijuka. Mama mataalamu wa masuala ya nyumba na makazi. Kafanya kazi ktk shirika la umoja wa mataifa lijulikanalo kama UN Habitat. Kikwete kaenda kumuomba aje asaidie kuboresha nyumba na makazi hapa. Akipewa uwaziri lkn akakwamishwa na wajinga ccm.

5. Irene Isaka. Huyu alikuwa anafanya kazi kubwa na yenye mshahara mkubwa sana kwenye shirika moja la kimataifa huko South Africa. Kikwete kaenda kumuomba. Akaja akafanya kazi .nzuri chini awamu ya Kikwete lkn alipoingia jiwe akamtupilia mbali kwa hoja za kijinga tu.

CCM is the heaven for thick headed people.
Huyo Tibaijuka ni poyoyo tuu mtoe hapo
 
Tido Muhando aliruhusu session ya live debate iitwayo mchakato majimboni kuelekea uchaguzi mkuu wa 2010.

Hii ndio ilidhihirisha wagombea vilaza wa CCM waliokuwa wakivurunda kujibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa wananchi na huku wakiwa live on air, wagombea wa upinzani walijipatia umahiri mkubwa.

Kilichofuata ni wagombea wa CCM kususia midahalo hiyo baada ya kuona wameburuzwa vibaya sana.

Hata kwa upande wa urais ushawishi tunajua ulikuwa wapi na nani alishinda ila CCM ikatumia mbinu zake za siku zote kujipa ushindi.

Baada ya uchaguzi Tido Muhando akapigwa chini.
 
1. Sospeter Muhongo. Huyu ni gwiji ktk taaluma ya miamba ya madini. Alikuwa zake South Africa miaka lukuki akiwa rais wa wanataaluma ya miamba Afrika nzima. Kikwete kaenda kumbembeleza aje atunasue kwenye sekta ya madini.

Kufika hapa kapewa uwaziri lkn hakukaa muda mrefu akaangushwa na kundi la wajinga CCM.

2. Omary Nundu. Huyu ni bingwa wa masuala ya aviation. Amefanya kazi maiaka kibao ktk njia panda ya dunia ya madege -Amsterdam. Kikwete kaenda kumuomba aje atufufulie shirika letu la ndege. Kufika hapa kapewa uwaziri lkn kakwamishwa na wajinga CCM.

3. Tido Mhando. Huyu ana weledi mkubwa ktk maswala ya habari na mawasiliano. Alikuwa anafanya kazi shirika kubwa la habari duniani -BBC. Kikwete kaenda kumuomba aje aiboreshe TBC. Kufika hapa kapewa ukurugenzi lkn alikwamishwa na wajinga CCM.

4. Prof. Tibaijuka. Mama mataalamu wa masuala ya nyumba na makazi. Kafanya kazi ktk shirika la umoja wa mataifa lijulikanalo kama UN Habitat. Kikwete kaenda kumuomba aje asaidie kuboresha nyumba na makazi hapa. Akipewa uwaziri lkn akakwamishwa na wajinga ccm.

5. Irene Isaka. Huyu alikuwa anafanya kazi kubwa na yenye mshahara mkubwa sana kwenye shirika moja la kimataifa huko South Africa. Kikwete kaenda kumuomba. Akaja akafanya kazi .nzuri chini awamu ya Kikwete lkn alipoingia jiwe akamtupilia mbali kwa hoja za kijinga tu.

CCM is the heaven for thick headed people.

Hao wote hamna kitu. Bila kumtaja Dr. Ibrahim Msabaha. Huyu alikuwa real with true colours. Alivyozinguliwa hakuangalia nyuma akapotea mazima.
 
Ukiondoa kwa Tido Mhando, wengine wote hapo ni wachafu wa kawaida, wakapewa kazi ya kwenda kutakatisha uchafu, katikati ya majikumu yao ya uchafuzi wakawekwa pembeni.

Sasa huyo Tido ana maadili gani? Unaujua mkataba wa TBC na Startimes ulivyokuwa wa kihuni na upigaji? Alieusain c ndo huyo huyo Mhando wako, unajua alipewa nini? Mengine muwe mnayamaza mana uchafu wa mtu uujui ukiujua utamkimbia.
 
Back
Top Bottom