Watahiniwa 566,840 kufanya Mtihani kidato cha 4 Nov 14

Nawatakia kila laheri
 
Hivi hakuna muda limit wa kukaimu nafasi fulani? Mbona huyu mzee anakaimu hii nafasi muda mrefu sana?
 
Muombee mema tu ndugu yangu.Kipochi chake si ulikienjoy wakati ule? Nipm namba yake kwanza.
 
Muombee mema tu ndugu yangu.Kipochi chake si ulikienjoy wakati ule? Nipm namba yake kwanza.
Kipochi chenyewe nimekigusa mara moja tuu, ngoja amalize mitihani then nimchek kumtakia heri japokuwa ameniacha
 
Bora wahitimu tupate namba D

Kuna shule sio inaitwa Temeke secondary school sitegemei kukosa zero 100+ naongea kwa uhakika zero zikiwa chini ya hapo nipewe life ban JF
Kuna kamoja kanaitwa Irene nishakaseti tayari nasubiria kamalize tu.
 
Bora wahitimu tupate namba D

Kuna shule sio inaitwa Temeke secondary school sitegemei kukosa zero 100+ naongea kwa uhakika zero zikiwa chini ya hapo nipewe life ban JF
Vip madogo wanadaga sanaa
 
Wale mnaotarajia kuoa namba E mkutane hapa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…