Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
sera mbovu za chama cha mimbuzi. Au unabisha mwanachama wa mimbuzi.Hatari na nusu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sera mbovu za chama cha mimbuzi. Au unabisha mwanachama wa mimbuzi.Hatari na nusu!
Kwa hiyo Unataka Serikali ifanyeje?,si Kuna VETA jamani?.Kwa jinsi ilivyo serikali kutojali hao wanafunzi inaoona wamefeli wataachwa wakafilie mbali bila kuwaandalia mpango endelevu wa kuendeleza maarifa waliyoyapa kwa miaka yote minne. Serikali huwa haijiulizi hao maelfu ya hao wanafunzi huwa wanaenda wapi baada ya kufeli? Ina deal na wachache inaoona ndio wamefauli huku ikiacha nguvu kazi ipotelee kusikojulikana. Wale wanafunzi wanaofeli bado ni lulu kwa taifa wasibezwe na kudharauliwa
Serikali haina mfumo rasmi namna ya kuwa okoa hiki kizazi cha div iv na zero coz ingekua mofumo rasmi hii nchi tungekuwa mbali sanaaaJumla ya Wanafunzi waliosajiliwa kufanya Mtihani wa Kidato cha 4 mwaka 2022 walikuwa 534,753 lakini waliofanya Mtihani huo ni 522,217 ambapo Wasichana walikuwa 280,251 na Wavulana 241,966. Tafsiri ya haraka ni kuwa zaidi ya wanafunzi 12,000 hawakufanya Mtihani wa kumaliza Kidato cha 4.
Kiwango cha ufaulu katika Matokeo hayo kilikuwa kama ifuatavyo. Waliopata Daraja la I, II na III ni 192,348 wakati waliopata Daraja la IV ni 264,627 na Waliofeli kwa Daraja 0 ni 63,583.
Chanzo: NECTA
Ulitaka wafanyeje?Siyo vizuri kuwa-grade wanafunzi.
Kwamba; hawa wamepata division one na hawa zero wakati mazingira ya kujifunza, uwezo wao darasani, n.k. ni tofauti.
Huko ni kuwafanyia marketing wanaopata division one waonekane ni bora zaidi ya waliopata sifuri.
Matokeo yake wengine wanakariri tu ili wapate division one badala ya kujifunza waelimike.
NECTA waachane na huu mfumo.
Wadangaji wameongezeka Dsm maana Zero nyingi ziko DsmAisee kizazi cha ku bet na tiktok, hatarii
Maadili mabovu sanaaa... Kuvaa hivyo tako hiloo... Af mbele ya viongozi hapo aisee... Zero na div iv zitakua nyingi sanaa wanafunzi wote wanatamani wawe kama zuchu na diamond kuanzia uvaaji hadi kuongeaUkianzisha shule yako
Usikose kuwaletea wanafunzi wako
Wasanii wawe wanacheza baikoko+kukata miuno
Ova
View attachment 2500009
Hatuwezi kwepa matokeo.Kuna siku mtasema hakuna haja ya mitihani, wote wapewe vyeti vya kukanyaga darasani!
Wachumba wameongezeka Dsm.Ukianzisha shule yako
Usikose kuwaletea wanafunzi wako
Wasanii wawe wanacheza baikoko+kukata miuno
Ova
View attachment 2500009
Watoto wa kike role model Mobetto, Wema, Gigy moneyWadangaji wameongezeka Dsm maana Zero nyingi ziko Dsm
Acha waje mtaani watombweWatoto wa kike role model Mobetto, Wema, Gigy money
Wa kiume huwaambii kitu juu ya Mondi, Harmonenga kuna nn tena apo
kwa hiyo veta ni mbadala wa wanaofeli? Huu mtazamo ni fikra mgandoKwa hiyo Unataka Serikali ifanyeje?,si Kuna VETA jamani?.
serikali imekuwa ikipoteza nguvu kazi kwa huu mfumo mkongwe wa elimu inaoukumbatia licha ya kupitwa na wakatiSerikali haina mfumo rasmi namna ya kuwa okoa hiki kizazi cha div iv na zero coz ingekua mofumo rasmi hii nchi tungekuwa mbali sanaaa
Sio nguvu tu.. Hata pesa mkuu...serikali imekuwa ikipoteza nguvu kazi kwa huu mfumo mkongwe wa elimu inaoukumbatia licha ya kupitwa na wakati
Ndo panyaroad hao wa kesho 😂😂😂Ukweli mtupu, karibu 80% watabaki mtaani matokeo yake ni mabaya.