Watahiniwa 63,583 wa Kidato cha 4 wamefeli kwa kupata Division 0

Watahiniwa 63,583 wa Kidato cha 4 wamefeli kwa kupata Division 0

Siyo vizuri kuwa-grade wanafunzi.

Kwamba; hawa wamepata division one na hawa zero wakati mazingira ya kujifunza, uwezo wao darasani, n.k. ni tofauti.

Huko ni kuwafanyia marketing wanaopata division one waonekane ni bora zaidi ya waliopata sifuri.

Matokeo yake wengine wanakariri tu ili wapate division one badala ya kujifunza waelimike.

NECTA waachane na huu mfumo.
Kwa sasa tuna mfumo mbadala?
 
Back
Top Bottom