To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣 Umenielewa lakini kaka yangu.... what I mean eti?Mweeh!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣 Umenielewa lakini kaka yangu.... what I mean eti?Mweeh!!
Ndo maana inatakiwa utaje wale muhimu hadi nje ya jfUtashibanaje na mtu hata hamjawahi kuonana🤣🤣🤣
Vipi ukoo wenu, uko vizuri yaani mnayo gari na nyumba? Haujawahi kutoa mimba na kipato cha baba yako kiko vizuri? Mimi niko vizuri ila sipendi wakwe watakao nifanya mimi DPW.Natafuta mchumba....
Sa si utafute tu yatima 🤣🤣🤣Vipi ukoo wenu, uko vizuri yaani mnayo gari na nyumba? Haujawahi kutoa mimba na kipato cha baba yako kiko vizuri? Mimi niko vizuri ila sipendi wakwe watakao nifanya mimi DPW.
Unashibana na ID fake sura hujui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] Acha makasiriko au huna mliyeshibana
Nilijua Ni uzi wa maanaWe uliye na kazi, Ume fata nini 🤣😂🤣
Yatima! Mahari nitailipa TRA?Sa si utafute tu yatima 🤣🤣🤣
Nieleweshe dada yangu, siunajua kaka yako bichwa sambusa, ndani ni kiazi tu.🤣🤣🤣 Umenielewa lakini kaka yangu.... what I mean eti?
Nikajua mm rafiki yakoDa maua nimekutag hujaona [emoji854][emoji854]
wewe ni more than friend to me 🥰🤗Nikajua mm rafiki yako
Namaanisha ni watu unakuwa na mawasiliano nao hadi nje ya jfNieleweshe dada yangu, siunajua kaka yako bichwa sambusa, ndani ni kiazi tu.🤣
Aanhaa... Hapo sasa nimeelewa.Namaanisha ni watu unakuwa na mawasiliano nao hadi nje ya jf
Kwani mahari lazma jamani, basi utampa bi harusi chake apokee kwa niabaYatima! Mahari nitailipa TRA?
Akipewa pesa atanitoroka.Kwani mahari lazma jamani, basi utampa bi harusi chake apokee kwa niaba
I'm doing wellCool blood.
How you doin'
😂😂😂😂 Si mnapigiana video call, mnakutana afu ndo mnashibana sasaUnashibana na ID fake sura hujui
Unaweza shibana na Hadi mashetani wekundu
hujatajwa wewe😂 acha wivuMbona hamuwataji😀😀
Congratulations FK21 .wewe ni more than friend to me 🥰🤗