Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Bado sana mkuuumefikisha 40??
Nipo early 20's
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado sana mkuuumefikisha 40??
Ooh kumbeMaster J aliwahi kuoa mke wa ndoa ya kanisani kabisa na wamebarikiwa mabinti wawili warembo. No wonder hawezi oana na Shaa wake mpka leo, labda kaona ndoa chungu sana ama sababu ya logistics za ndoa za kanisani
Maneno ya kuambiwa tuNasikia Bush alikula huyu mama wakati ni secretary of state na jamaa president.
Nipo Dar Kinondoni😛😛Unakimbia panya?
unaishi Dar sehemu gani?
50 cent,Nas,P Diddy.P Diddy anasema kuoa ni kujibebesha majukumu makubwa yasiyo ya lazima.
kwa hapa bongo ambao hawajaoa ni Jay mo,ana miaka 41,mchizi moxie,Nikki mbishi [emoji23],p funk majani,aaa!!! samahani oo!! P funk kaoa, Duke pamoja na ukauzu wote ule nae kaoa,Sugu kaoa akiwa ana miaka 47[emoji3][emoji3][emoji3].
mimi nilipanga nitaoa nikiwa na 45, lakini nimeairisha na nimeamua kutokuoa kabisa,kamwe sitooa ila nimeshazalisha watatu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
haya wataje watu wengine wenye umri mkubwa ambao bado hawajaoa.
View attachment 1276055
Nimecheka kwa sautiNipo Dar Kinondoni😛😛
Ni mabinti watatu. Kwenye interview yake Maisha Magic Bongo alisema process za talaka ndo zimechelewesha yeye na Shaa kufunga ndoa.Master J aliwahi kuoa mke wa ndoa ya kanisani kabisa na wamebarikiwa mabinti wawili warembo. No wonder hawezi oana na Shaa wake mpka leo, labda kaona ndoa chungu sana ama sababu ya logistics za ndoa za kanisani
toa reasons [emoji23]Kuoa is for suckers
Cha ajabu nimeoa happily,ila kuoa is a very stupid concept!
Mpaka usaini karatasi eti!
bado sanaBado sana mkuu
Nipo early 20's
toa reasons [emoji23]
Hawaja kushangaa kweli wenzio hapo au upo mwenyewe chumbani.Nimecheka kwa sauti
I lov ths womanCondoleezza Rice
Iron womanI lov ths woman
reasons [emoji23]??I lov ths woman
ndoa ni mzigo kwa mwanaume,kwa mwanamke ni mteremko[emoji23][emoji23][emoji23]Simple
Kama ni kila kitu kinafanyika bila ndoa
Watoto,sex,etc
Ndoa inafanyika kama mkataba to control both of you more so males are controlled
Ndoa is a stupid contract for economical and administrative reasons,no love reason anywhere!
reasons [emoji23]??
ngoja nifuatilie historia yakeShe is strong....superwoman![emoji28]
Kuoa is for suckers
Cha ajabu nimeoa happily,ila kuoa is a very stupid concept!
Mpaka usaini karatasi eti!
Duh mkuu andaa interview.
Kama ni kinondoni, Aisee Nimekuelewa..... Nawajua kuna takwimu zimewaelezea.Nipo Dar Kinondoni😛😛