Watakatifu ni wazungu waliokufa zamani. Waafrika waliokufa zamani eti ni mizimu

Watakatifu ni wazungu waliokufa zamani. Waafrika waliokufa zamani eti ni mizimu

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Ni upumbavu wa hali ya juu wazee wetu waliotangulia mbele ya haki kuitwa mizimu halafu wale wazungu kuitwa watakatifu, nakereka sana.

Utasikia mtakatifu Yohana utuombee. Halafu sisi tukiwaambia wazee wetu watuombee mnasema tunaabudu mizimu.

Halafu sipendi kabisa mnavyosema sisi ni wapagani. Sisi sio wapagani, ndio maana tunatambua uwepo wa Mungu Mkuu tuliye mwita kwa majina mbalimbali mfano Mulungu, Nguluvi nk.

Tunaomba mheshimu imani yetu. Makafiri na mapagani ni nyie mnaoabudu dini za magabachori
 
Sasa mkuu kwa mashida tunayopitia duniani sisi waafrika ukija kufa et bado unatakiwa uje Tena utatue shida za ukoo! Unafikiri tutaitwaje sasa..?

Mfano wewe tu ulikujaga na ID ukajiita gilesi watu wakakushitukia wakakuumbua!

Haya tuje tukuite mtakatifu kweli! We ni mzimu tu..🤣🤣
 
Wapo Watakatifu Waafrika wengi pia wakiwemo mashahidi wafia dini wa Uganda kina Kalori Lwanga na wenzake.Shida kwa Africa Ni upatikanaji wa taarifa sahihi kwa wakati.

Hata JPM kwa kauli zake na msimamo wake juu hatua za kukabili uviko 19 na kujitoa kwake, aliokoa maisha ya wengi kwa Imani thabiti kwa Mungu.

Kigezo hicho Pekee mbali ya madhaifu yake mengine anaweza kutangazwa Mtakatifu.
 
Sasa mkuu kwa mashida tunayopitia duniani sisi waafrika ukija kufa et bado unatakiwa uje Tena utatue shida za ukoo! Unafikiri tutaitwaje sasa..? Mfano wewe tu ulikujaga na ID ukajiita gilesi watu wakakushitukia wakakuumbua! Haya tuje tukuite mtakatifu kweli! We ni mzimu tu..🤣🤣
Hahah hahah hahah Mzimu wa Kolelo Bujibuji Simba Nyanaume
 
Mwenye Heri Nyerere!
Mwenye heri akiutafakari ukuu wa Mungu kwa kupiga cocktails 🍸ya wine 🍷 na beers 🍻
Nyerere bia.jpg
 
"Huwezi amini siku hiyo tulichukua kondoo mkubwa tukaenda kwenye mti mmoja mkubwa pale kijijini,tukawalilia wazee kuomba mvua..huwezi amini katika lile kundi kuna watu walikuja na miamvuli kabisa,na kweli wakati wa kurudi hata kijijini hatukifika mvua ikanya..."
 
Back
Top Bottom