Watakatifu ni wazungu waliokufa zamani. Waafrika waliokufa zamani eti ni mizimu

😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
 
Wale wazee wa zamani walikua watakatifu, nendeni wakati huu mkaombe muone kama mtapata mvua
 
Tatizo ni sisi wenyewe tunaita mizimu ya mababu zetu sasa watasemaje😃 halafu nao mizimu wawe wanaongea kostaarabu basi sio kuja kwa kutishana namna hii😃😃😃😃
 
Kabla ya kuandika ulitakiwa ujue chimbuko la dini, zilianzia wapi, kwa taarifa yako hakuna dini iliyoanzia ulaya, japo kwenye siasa zako ipo, ukristo na uisilamu ulianzia sehemu moja na Muhamad na Yesu walizaliwa na kuishi uarabuni, ni waatabu.

Majina yanayotumika kwenye dini hizi ni aina moja tofauti ni uandishi na utamkwaji kulingana na lugha za watu, Yohana ni kiswahili na John ni kiingereza, ukienda ujerumani au uhispania hautatakuja yakiandikwa au kutamkwa hivyo.

Nifafanulie uhusika wa mwingereza kwenye ukristo uliyemtolea mfano ni upi.
 
Ukristo wa asili ulijifia zamani kwa sasa umebaki utapeli wa warumi tu na watoto wake vi dhehebu vingine
 
Muingereza kaleta u Anglican. Pia King James Bible version.
Mbaya zaidi kitabu cha Yakobo wanakiita James ili kumuenzi mfalme wao
 
Ukiwatumikia wao na miungu yao ya uongo unakuwa mtakatifu
 
Mnalazimisha Shetani kuwa Malaika? Magufuli awe matakatifu muuaji yule!!
 
Utakuwa huna taarifa sahihi! Afrika Kaskazini kuna watakatifu wengi tu. Mt. Augustino hakuwa Mzungu!
 
Kuna Mtakatifu Kizito, Mtakatifu Lwanga nk. Hao ni wazungu?
 
hivi ni wakina nani wanao gawa huo utatifu jamani....???
Huwa ni hatua na mchakato mrefu saana. Huchukua karne na zaidi kutangazwa kuwa Saint. Ukiachilia mbali akina Mtakatifu Theresa wa calcuta, Mtakatifu Papa Paul VI ( sina uhakika). Ambao mchakato wao ulichukua muda mfupi ni chini ya miaka 40. Wametangazwa kuwa Watakatifu tayari.
 
Watu wanajitungia njia nyingi sana za kujifariji faraja hewa.
 
Mambo ni mengi.
Mzungu akija huku hata hana mia ataitwa mtalii au mwekezaji.
Kesheshe ni mtu mweusi aende kwao anaitwa muhamiaji haramu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…