Utakuwa huna taarifa sahihi! Afrika Kaskazini kuna watakatifu wengi tu. Mt. Augustino hakuwa Mzungu!
Tatizo lako ni kuchukulia neno mzimu kwenye negativity Bujibuji Simba Nyanaume.Ni upumbavu wa hali ya juu wazee wetu waliotangulia mbele ya haki kuitwa mizimu halafu wale wazungu kuitwa watakatifu, nakereka sana.
Utasikia mtakatifu Yohana utuombee. Halafu sisi tukiwaambia wazee wetu watuombee mnasema tunaabudu mizimu.
Halafu sipendi kabisa mnavyosema sisi ni wapagani. Sisi sio wapagani, ndio maana tunatambua uwepo wa Mungu Mkuu tuliye mwita kwa majina mbalimbali mfano Mulungu, Nguluvi nk.
Tunaomba mheshimu imani yetu. Makafiri na mapagani ni nyie mnaoabudu dini za magabachori
WanawajuaNi upumbavu wa hali ya juu wazee wetu waliotangulia mbele ya haki kuitwa mizimu halafu wale wazungu kuitwa watakatifu, nakereka sana.
Utasikia mtakatifu Yohana utuombee. Halafu sisi tukiwaambia wazee wetu watuombee mnasema tunaabudu mizimu.
Halafu sipendi kabisa mnavyosema sisi ni wapagani. Sisi sio wapagani, ndio maana tunatambua uwepo wa Mungu Mkuu tuliye mwita kwa majina mbalimbali mfano Mulungu, Nguluvi nk.
Tunaomba mheshimu imani yetu. Makafiri na mapagani ni nyie mnaoabudu dini za magabachori
Hao ni watakatifu wa dini ya wazungu. Hawa ni wasaliti wa imani walizoachiwa na babu zao.Wanawajua
mt kizito
Mt karol lwanga
Mt mathias Mulumba Kalemba
Mt agustino.
To mention a few
- usipende kujadili vitu ambavyo vipo nje ya uwezo ewe @gilesi
Wewe wasema. Ghost ni nini? Holy Ghost je?Tatizo lako ni kuchukulia neno mzimu kwenye negativity Bujibuji Simba Nyanaume.
Hao sio watakatifu ni vibarakaKuna Mtakatifu Kizito, Mtakatifu Lwanga nk. Hao ni wazungu?
angelsleaderMtakatifu Magunia wa Chatto
Gilesi.. mambo ya msingi usilete utani!?Hao ni watakatifu wa dini ya wazungu. Hawa ni wasaliti wa imani walizoachiwa na babu zao.
Mkuu, Kuitwa Mtakatifu ni ka-utaratibu tuu ka-kibinadamu kuweka maandishi/Kumbukumbu ili itumike kama Reference au utoaji wa aina ya Tuzo lakini UKWELI ni kwamba watakatifu wapo na ni WENGI mno sana ila hawajarasimishwa na hako ka-Utaratibu.Wapo Watakatifu Waafrika wengi pia wakiwemo mashahidi wafia dini wa Uganda kina Kalori Lwanga na wenzake.Shida kwa Africa Ni upatikanaji wa taarifa sahihi kwa wakati.
Hata JPM kwa kauli zake na msimamo wake juu hatua za kukabili uviko 19 na kujitoa kwake, aliokoa maisha ya wengi kwa Imani thabiti kwa Mungu.
Kigezo hicho Pekee mbali ya madhaifu yake mengine anaweza kutangazwa Mtakatifu.
Shindwa na ulegee. Ujinga wake umesababisha vifo vingi sana vya watu . Tena usimtaje kabisaa, utawala wake ulijaa damu za watanzania kibao.Wapo Watakatifu Waafrika wengi pia wakiwemo mashahidi wafia dini wa Uganda kina Kalori Lwanga na wenzake.Shida kwa Africa Ni upatikanaji wa taarifa sahihi kwa wakati.
Hata JPM kwa kauli zake na msimamo wake juu hatua za kukabili uviko 19 na kujitoa kwake, aliokoa maisha ya wengi kwa Imani thabiti kwa Mungu.
Kigezo hicho Pekee mbali ya madhaifu yake mengine anaweza kutangazwa Mtakatifu.
Kweli kabisa unayosema ila kwa sasa tunaye MTAKATIFU MAGUFULI NA NYERERE TUTAKUWA TUNAKWENDA KUHIJI WALIKO ZIKWANi upumbavu wa hali ya juu wazee wetu waliotangulia mbele ya haki kuitwa mizimu halafu wale wazungu kuitwa watakatifu, nakereka sana.
Utasikia mtakatifu Yohana utuombee. Halafu sisi tukiwaambia wazee wetu watuombee mnasema tunaabudu mizimu.
Halafu sipendi kabisa mnavyosema sisi ni wapagani. Sisi sio wapagani, ndio maana tunatambua uwepo wa Mungu Mkuu tuliye mwita kwa majina mbalimbali mfano Mulungu, Nguluvi nk.
Tunaomba mheshimu imani yetu. Makafiri na mapagani ni nyie mnaoabudu dini za magabachori
Wapo Karoli Lwanga na wenzake. Kwa ujumla wao wanaitwa Mashahidi wa Uganda. Anwarithe Nangepeta huyu bado Mwenyeheri. Yupo pia Mtanzania yuko mbioni kutangazwa Mwenyeheri. Sr. Benardetta Mbawalla.Vipi kuhusu Africa chini ya jangwa la Sahara(Sub Saharan Africa)
Kitu kitakachowafungua Akili ni Hiki.Ni upumbavu wa hali ya juu wazee wetu waliotangulia mbele ya haki kuitwa mizimu halafu wale wazungu kuitwa watakatifu, nakereka sana.
Utasikia mtakatifu Yohana utuombee. Halafu sisi tukiwaambia wazee wetu watuombee mnasema tunaabudu mizimu.
Halafu sipendi kabisa mnavyosema sisi ni wapagani. Sisi sio wapagani, ndio maana tunatambua uwepo wa Mungu Mkuu tuliye mwita kwa majina mbalimbali mfano Mulungu, Nguluvi nk.
Tunaomba mheshimu imani yetu. Makafiri na mapagani ni nyie mnaoabudu dini za magabachori
Wanaowatusi wazee wao waluotangulia mbele ya haki, nipo Massanza Kona hapa kwa Mzee Lufungulo Kapongo Manota MUGWATA nawajengea wazee wangu makaburi.Kitu kitakachowafungua Akili ni Hiki.
Yesu alipopanda Mlimani kusali alitokewa na Musa na Elia. Tunajua Musa na Elia si malaika wale ila Walikuwa ni Binadamu kama Sisi. Walipokufa ndio Yesu akaenda Kuongea nao na kulingana na Biblia inasema Walikuwa wanaongea kuhusu kifo chake
Sasa Inakuwaje Hawa wanaokesha Kuhubiri Wawatukane watu wanaoenda Kuongea na Mababu zao na Wanasema Mababu zao ni Mizimu.
Hii hoja yako bwn Kenzy haina mashiko. Kwani hao tunaolazimishwa tuwaombe tukiwa na shida hawajafa...Sasa mkuu kwa mashida tunayopitia duniani sisi waafrika ukija kufa et bado unatakiwa uje Tena utatue shida za ukoo! Unafikiri tutaitwaje sasa..?
Mfano wewe tu ulikujaga na ID ukajiita gilesi watu wakakushitukia wakakuumbua!
Haya tuje tukuite mtakatifu kweli! We ni mzimu tu..🤣🤣
Mzimu mwengine huu..!Hii hoja yako bwn Kenzy haina mashiko. Kwani hao tunaolazimishwa tuwaombe tukiwa na shida hawajafa...
Ww bila Shaka akili yako ndio inaokutuma hivi unavyoviongea bila shaka.haya twende kihoja.kwanini ww mweusi na wale weupe ilikuakuaje hadi ikawa hivo??? Unamana gani kwakusema watakatifu wao?Ni upumbavu wa hali ya juu wazee wetu waliotangulia mbele ya haki kuitwa mizimu halafu wale wazungu kuitwa watakatifu, nakereka sana.
Utasikia mtakatifu Yohana utuombee. Halafu sisi tukiwaambia wazee wetu watuombee mnasema tunaabudu mizimu.
Halafu sipendi kabisa mnavyosema sisi ni wapagani. Sisi sio wapagani, ndio maana tunatambua uwepo wa Mungu Mkuu tuliye mwita kwa majina mbalimbali mfano Mulungu, Nguluvi nk.
Tunaomba mheshimu imani yetu. Makafiri na mapagani ni nyie mnaoabudu dini za magabachori
St. Francis alikuwa ni Mmatumbi? Vipi kuhusu St. Andrews?Ww bila Shaka akili yako ndio inaokutuma hivi unavyoviongea bila shaka.haya twende kihoja.kwanini ww mweusi na wale weupe ilikuakuaje hadi ikawa hivo??? Unamana gani kwakusema watakatifu wao??? Watakatifu hao kina nani. Unaudhibitisho/wao wanaudhibitisho gani kua hao watakatifu walikua weupe na sio weusi ???? Nakushauri uwe mwenye kufanya uchunguzi kabla ya kukubali kila ulisikialo Mana mengi hayana ukweli
Usidanganye watu. Msimamo wa Magufuli kuhusu covid-19 kuwa haipo ulipelekea wengi kutochukua tahadhari. Mikusanyiko ya watu iliongeza vizalia vya ugonjwa. Matokeo ni vifo ambayo ilizuiwa visitangazwe. Kwa idadi ya watu waliopotezwa na kuteseka wakati wa utawala wake, naamini kama ipo mbingu utakatifu wake utakuwa wa motoni.Wapo Watakatifu Waafrika wengi pia wakiwemo mashahidi wafia dini wa Uganda kina Kalori Lwanga na wenzake.Shida kwa Africa Ni upatikanaji wa taarifa sahihi kwa wakati.
Hata JPM kwa kauli zake na msimamo wake juu hatua za kukabili uviko 19 na kujitoa kwake, aliokoa maisha ya wengi kwa Imani thabiti kwa Mungu.
Kigezo hicho Pekee mbali ya madhaifu yake mengine anaweza kutangazwa Mtakatifu.
Maalim umeongea kwa ukali sana.Nimekuelewa.Ni upumbavu wa hali ya juu wazee wetu waliotangulia mbele ya haki kuitwa mizimu halafu wale wazungu kuitwa watakatifu, nakereka sana.
Utasikia mtakatifu Yohana utuombee. Halafu sisi tukiwaambia wazee wetu watuombee mnasema tunaabudu mizimu.
Halafu sipendi kabisa mnavyosema sisi ni wapagani. Sisi sio wapagani, ndio maana tunatambua uwepo wa Mungu Mkuu tuliye mwita kwa majina mbalimbali mfano Mulungu, Nguluvi nk.
Tunaomba mheshimu imani yetu. Makafiri na mapagani ni nyie mnaoabudu dini za magabachori