Watambue wana jf wanaotumia simu kama yako

Asante kisusio wangu....[emoji39][emoji39]
Fanya basi unikute pale tulipo panga....

Nakuja son of a ....
Nikija uniambie kwanini umeacha ile picha yako pendwa umehamia kwa huu msemo wako mpya
 
Nakuja son of a ....
Nikija uniambie kwanini umeacha ile picha yako pendwa umehamia kwa huu msemo wako mpya
Nakungojea hapa kwenye kona, karibu na [emoji28]Dick son...[emoji28][emoji28][/b]
 
Nimefika muda mrefu ila huonekani Dickson
Basi sogea kwa pembeni kabla ya kona ya huku utaniona kwambaaali nimevaa suruali ya njano na shati jekundu...tehteehhteeehhhh
 
Itel 5080
 
Nokia 5
 
Hili gomaa ni balaa...ubaya kadri zinavyotumika ndio ubora unapungua
Ma tecno yote yapo hivyo. Mwisho wa siku yanaanza kujipiga yenyewe. Ukizubaa unashangaa mkeo katumiwa sms ya mchepuko wako kupitia simu yako. Tecno ni hatari kwa afya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…