stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Ndio maana Muungano hautavunjika otherwise tutawafanya Kama Ujerumani na Austria zilivofanya kwa Germanic states za Holy Roman EmpireWengi ni WAYAO, wanyamwezi, watu wa Mtwara, Lindi, morogoro na Tanga no. Tuendelee kuvumiliana tu
😄 Just a joke. Sisi ni Taifa moja. Hakuna Tanganyika wala Zanzibar, Tuna Tanzania moja na huko mbeleni Serikali itakuwa moja tu na vile visiwa vitakuwa na Mkuu wa Mkoa.