Watanganyika Wenzangu Kuanzia sasa Popote atakaposimama Mwana CCM Kuongea ni kuzomea Mwanzo Mwisho

Watanganyika Wenzangu Kuanzia sasa Popote atakaposimama Mwana CCM Kuongea ni kuzomea Mwanzo Mwisho

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Tanzania ya sasa inatia hasira kuliko wakati wowote ule. Kuna ukandamizaji wa wazi wa haki za binadamu pale ambapo watu tunataka kuhoji maswala ya msingi.

Ikumbukwe Tayari kuna wenzetu
wameshaanza kutiwa nguvuni. Ili kuonnyesha tuko nao pamoja. Itabidi tuwaonyeshe CCM nguvu ya umma ni real.

Kuanzia sasa Tuhuzurie Mikutano ya CCM kwa wingi kwa ajili ya kuzomea. Booooo Booooo Lengo ni kufikisha ujumbe kwamba mkataba wa bandari hatukibaliani nao.

Wana harakati wameshafanya kazi yao. Sasa ni wakati wa nguvu ya umma kufanya kazi yetu. Hata hawa wakuu wa wilaya na mikoa wanaoongea utumbo tuwapige Boooo hadi waongee lugha inayorleweka.

Nawasilisha.
 
[emoji3][emoji28]

Sio wote!

Mbona kwenye hili wengi wanasikitishwa na kinachoendelea ni vile wanaogopa kusema ili watiwe kwenye misukosuko na vizuizini?!

Wengi wanasikitika mioyoni mwao.
 
Hii sidhani kama ni njia sahihi ukikutana na chawa utapata chamtemakuni nadhani tupeleke makasiriko yetu kwenye post zote za serikali, polis kila wanachopost nasisi tuweke malalamiko yetu kama
Screenshot_20230813-044027.jpg
 
Hii sidhani kama ni njia sahihi ukikutana na chawa utapata chamtemakuni nadhani tupeleke makasiriko yetu kwenye post zote za serikali, polis kila wanachopost nasisi tuweke malalamiko yetu kama
View attachment 2716478
Whatever the strategy. Kikubwa tunataka hawa walioziba masikio wajue kwamba watanganyika wamekasirika
 
Hakuna mwanaCCM huwa anakuja kwenye mikutano yenu na kuzomea. Ninyi mkijifanya viherehere mkajaribu kwenda kwenye mikutano ya CCM na kuzomea basi msije mkalaumu Afande Wambura wakati akitimiza majukumu yake. Ila najua mleta uzi ni keyboard warrior kwahiyo unalohamasisha haliwezi tokea.
 
Inafika wakati nalazimika kuamini kuwa chadema kweli ni nyumbu, hawajielewi tu. Mada hii na tukio la jana la chama kutangaza bifu na mwanamuziki diamond yanadhihirisha nilisemalo.
 
Back
Top Bottom