Watangazaji wa Azam TV wamekuwa wakirudia nguo

Watangazaji wa Azam TV wamekuwa wakirudia nguo

Azama media ni moja ya kituo kikubwa ambacho kimeleta mabadiliko makubwa katika tasnia yetu ya habari hapa nchini.

Wamekuwa wabunifu katika vipindi,ubora wa picha na mpangilio mzuri wa vipindi na wingi wa Chanel nzuri katika kiaimbuzi chao hongereni kwa hilo.
Kero ya watu wengi na wapenzi wa Azama media ni kwamba watangazi wengi wamekuwa wakirudia rudia nguo Yani mpaka inakuwa kero Kuna kipindi Cha ndani ya boksi azam 2 na mkanda yani watangazi hawapendez kabisa na kila nguo zinarudiwa kila wiki Yani hadi inaboa kwakweli.

Azam brand kubwa kwann kusiwe na uwekezaji katika swala hilo au watangazaji wasijiongeze kuingia mikataba na kampuni za nguo Kama sandaland the only one au vunja Bei sababu hata media nyingine huwa wanafanya hvyo.

Inakera vipindi ambavyo unatamani kuona presenta akiwa smart unaona anarudia nguo ya wiki iliyopita jaman badilikeni inaboa Sana.
We haja yako ni kuona habari inayongazwa ama ni kuona mtangazaji kavaa nini?
Mradi hayuko uchi na yupo smart!
 
We haja yako ni kuona habari inayongazwa ama ni kuona mtangazaji kavaa nini?
Mradi hayuko uchi na yupo smart!
Sio habari ndugu nazungumzia tv shows hasa zile za kila wiki Mara moja unajua mtu utazme kitu uburudike ndiyo maana ikaitwa tv na sio redio lazima wajitahidi watenge kitengo Cha wasanifu mavazi na ikiwezekana liwe ni jukumu la uongozi na sio mtu binafsi.

Wengine hawajui kabisa kuvaa Kama Kuna mtani wangu msukuma pale anakipindi chake jpili saa tatu usiku Sasa kuvaa kachumbari plus kurudia nguo zaidi ya Mara sita ktk kipindi kinachoruka Mara moja kwa wiki.

Wewe unaona ni kitu Cha kawaida? Hii ni kero kubwa wafikishieni wabadilike
 
Azama media ni moja ya kituo kikubwa ambacho kimeleta mabadiliko makubwa katika tasnia yetu ya habari hapa nchini.

Wamekuwa wabunifu katika vipindi,ubora wa picha na mpangilio mzuri wa vipindi na wingi wa Chanel nzuri katika kiaimbuzi chao hongereni kwa hilo.
Kero ya watu wengi na wapenzi wa Azama media ni kwamba watangazi wengi wamekuwa wakirudia rudia nguo Yani mpaka inakuwa kero Kuna kipindi Cha ndani ya boksi azam 2 na mkanda yani watangazi hawapendez kabisa na kila nguo zinarudiwa kila wiki Yani hadi inaboa kwakweli.

Azam brand kubwa kwann kusiwe na uwekezaji katika swala hilo au watangazaji wasijiongeze kuingia mikataba na kampuni za nguo Kama sandaland the only one au vunja Bei sababu hata media nyingine huwa wanafanya hvyo.

Inakera vipindi ambavyo unatamani kuona presenta akiwa smart unaona anarudia nguo ya wiki iliyopita jaman badilikeni inaboa Sana.
Wasiokuelewa wachawi
 
Azama media ni moja ya kituo kikubwa ambacho kimeleta mabadiliko makubwa katika tasnia yetu ya habari hapa nchini.

Wamekuwa wabunifu katika vipindi,ubora wa picha na mpangilio mzuri wa vipindi na wingi wa Chanel nzuri katika kiaimbuzi chao hongereni kwa hilo.
Kero ya watu wengi na wapenzi wa Azama media ni kwamba watangazi wengi wamekuwa wakirudia rudia nguo Yani mpaka inakuwa kero Kuna kipindi Cha ndani ya boksi azam 2 na mkanda yani watangazi hawapendez kabisa na kila nguo zinarudiwa kila wiki Yani hadi inaboa kwakweli.

Azam brand kubwa kwann kusiwe na uwekezaji katika swala hilo au watangazaji wasijiongeze kuingia mikataba na kampuni za nguo Kama sandaland the only one au vunja Bei sababu hata media nyingine huwa wanafanya hvyo.

Inakera vipindi ambavyo unatamani kuona presenta akiwa smart unaona anarudia nguo ya wiki iliyopita jaman badilikeni inaboa Sana.
Nguo zao ni kero kwako Duh!!!
 
Kimsingi hivyo unavotaja ni 'recorded' programs, Nina ufafanuzi ila nitarejea hivi punde!😀
 
Kama sii Katika vipindi vya fashion tatizo ni wewe.
 
Angalia content ya kipindi na siyo mavazi. Hata wakinadili mavazi kila dakika itakusaidia nini kama maudhui hayavutii?!!
 
Mkuu
... uwekezaji katika swala hilo au watangazaji wasijiongeze kuingia mikataba na kampuni za nguo ...
... issue ya uwekezaji, mishahara ni vitu havina uhusiano na nafasi kwa mmiliki.

Hiyo inapaswa kufanywa na wandaaji wa vipindi wenyewe si mmiliki, yeye anakupa mshahara na kukupa aina ya dressing cords za media yake kulingana na kipindi.

Kikubwa sisi tulio nje tuna ya kusema kwa wao waliopo ndani ila walio ndani ndiyo wana siri na kwa nini wanavaa kwa kurudia rudia nguo.

Acheni kabisa asee...!
 
Mkuu

... issue ya uwekezaji, mishahara ni vitu havina uhusiano na nafasi kwa mmiliki.

Hiyo inapaswa kufanywa na wandaaji wa vipindi wenyewe si mmiliki, yeye anakupa mshahara na kukupa aina ya dressing cords za media yake kulingana na kipindi.

Kikubwa sisi tulio nje tuna ya kusema kwa wao waliopo ndani ila walio ndani ndiyo wana siri na kwa nini wanavaa kwa kurudia rudia nguo.

Acheni kabisa asee...!
Inatubidi tuseme hayo yandani wanajua wenyewe sisi Kama wadau tunafursa ya kushauri na kutoa maoni yetu haiwezekani media Kama azam tv washindwe hadi na wasafi tv katika utaratibu wa mavazi.
 
Hizo ni uniform we vipi!? Wakati mwingine ni vipind vya marudio!
 
Sioni shida katika hilo.
Huoni shida kwa sababu huoni hata hivyo vipindi na Wala sio mfatiliaji kwa sisi tunaofatilia ni shida na kero kubwa Sana Yani unamuona mtu wiki hadi wiki akiwa na nguo zile zile aiseee!
 
Hizo ni uniform we vipi!? Wakati mwingine ni vipind vya marudio!
Sio marudio mkuu nafuatilia kila kipindi kinachoruka huwa wanarudia Sana nguo halafu wanakuwa rafu Sana Yan Kama mafundi gereji na sio presenters,sio wanaume Wala wanawake hii inakera na kuondoa ladha.
 
Kama sii Katika vipindi vya fashion tatizo ni wewe.
Hiko hivi personality ni kitu kikubwa Sana hasa linapokuja swala la kuwa unaangaliwa na watu zaidi ya milioni 60 jambo kubwa ni kwamba wanatakiwa wapokee ushauri then waufanyie kazi, mbona hatuoni Mambo hayo ktk media zingine tena ni changa tu unakuta mapresenters wanaingia mikataba na maduka ya nguo na wanakuwa smart na dressing code husika za kipindi husika.

Lakini ukiwaacha wavae nguo zao za nyumbani Kama wanavyofanya azam tv ndio balaa linapokuja hapo wengine hawajali kuhusu mwonekano.

MBONA KWA WATANGAZAJI WA VIPINDI VYA MICHEZO WA HAPO AZAM WANAJITAHIDI KIASI NA SUTI ZAO ZILE ZA KINA AHMED ALLIY KWA SABABU WANAWEKEWA UNIFORM KUNA KUWA NA AFADHALI SIO HAWA WA AZMA TWO NA SINEMA ZETU NI AIBU.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom