Watangazaji wa Azam TV wamekuwa wakirudia nguo

Watangazaji wa Azam TV wamekuwa wakirudia nguo

Sio uchawi mkuu Mimi ni mfatiliaji Sana wa vipindi vyao na Kiukweli ni vipindi vizuri sana tatizo pamba babaaa Yani pamba hzohizo daily basi Bora hata waazime sikumoja moja
Mara Nyingi binadamu tumekuwa watu wakutafuta nani tumrushie Kosa, ni vigumu sana sisi binafsi kujiweka kwenye sehemu ya tatizo, matatizo yote huwa tunaangalia sehemu gani tuiweke.

Kwa uchambuzi wangujicho pana kidogo, naona hata kama wao wanashida ila na wewe pia una shida; Kipindi kina content husika, nilitegemea uwe umefocus kwenye content za kipindi, ila wewe umefocus kwa wahusika, tatizo lipo kwako;

Mfano; Kuna mtu anaweza kuwa amevaa nguo fupi, akawa gumzo mjini, lakini katikati ya gumzo kuna watu bado wanaweza hata wasinotice, maana attention yao haipo huko.
 
Azama Media ni moja ya kituo kikubwa ambacho kimeleta mabadiliko makubwa katika tasnia yetu ya habari hapa nchini.
Mark na Bill gate ukitoa utajiri wao, sifa ingine ni uvaaji wao wa nguo za kawaida kabisa tena wakionekana kuzirudia mara kadhaa.

Watangazaji wa Azam Media washitumiwa uvaaji wao wa kurudia nguo, hata kama iko hivyo just live your life waachie Maisha yao. Hiyo picha uitoe ni kuwadhalilisha ingawaje wengine swala la mavazi hatulipimi kama kiwango cha thamani ya mtu.

Take a note, ukipevuka ki fikra "nguo haitakufanya upendeze bali nguo utaifanya ipendeze".
 
Mark na Bill gate ukitoa utajiri wao, sifa ingine ni uvaaji wao wa nguo za kawaida kabisa tena wakionekana kuzirudia mara kadhaa.

Watangazaji wa Azam Media washitumiwa uvaaji wao wa kurudia nguo, hata kama iko hivyo just live your life waachie Maisha yao. Hiyo picha uitoe ni kuwadhalilisha ingawaje wengine swala la mavazi hatulipimi kama kiwango cha thamani ya mtu.

Take a note, ukipevuka ki fikra "nguo haitakufanya upendeze bali nguo utaifanya ipendeze".
Mzee hebu kwanza elewa mada husika hapa hatuzungumziii mavazi na personality ya mtu binafsi tunazungumzia katika mukhtadha wa ubora na hadhi ya kipindi hasa tv shows Yani ni mfano wa mavazi rasmi katika tukio rasmi .
 
Mzee hebu kwanza elewa mada husika hapa hatuzungumziii mavazi na personality ya mtu binafsi tunazungumzia katika mukhtadha wa ubora na hadhi ya kipindi hasa tv shows Yani ni mfano wa mavazi rasmi katika tukio rasmi .
Kama ni hivyo kawaambie walengwa direct nafikiri kampuni kubwa kama hiyo lazima iwe na utaratibu uliowazi wa kutoa maoni na mapendekezo, Ila ulivyolileta huku haitasaidia kitu zaidi ya kuwashushia heshima.
 
Waziri wa madini hii mada inadharilisha uongozi wa azam ungejaribu kuwafuata ukawaeleza. Hapa ni kama unawasagia kunguni.
Azama Media ni moja ya kituo kikubwa ambacho kimeleta mabadiliko makubwa katika tasnia yetu ya habari hapa nchini.

Wamekuwa wabunifu katika vipindi, ubora wa picha na mpangilio mzuri wa vipindi na wingi wa channel nzuri katika king'amuzi chao, hongereni kwa hilo.

Kero ya watu wengi na wapenzi wa Azam Media ni kwamba watangazaji wengi wamekuwa wakirudiarudia nguo, yaani mpaka inakuwa kero, kuna kipindi cha Ndani ya Boksi Azam 2 na Mkanda, yaani watangazaji hawapendezi kabisa na kila nguo zinarudiwa kila wiki, hadi inaboa kwakweli.

Azam TV ni brand kubwa kwa nini kusiwe na uwekezaji katika suala hilo au watangazaji wasijiongeze kuingia mikataba na kampuni za nguo sababu hata media nyingine huwa wanafanya hivyo.

Inakera vipindi ambavyo unatamani kuona presenter akiwa smart unaona anarudia nguo ya wiki iliyopita, jamani badilikeni inaboa sana.

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Waziri wa madini hii mada inadharilisha uongozi wa azam ungejaribu kuwafuata ukawaeleza. Hapa ni kama unawasagia kunguni.

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Nashkuru wameona na wamelifanyia kazi na nimeona mtangazaji wao kapiga kijembe kwamba Leo wamependeza au warudie tena? Shukran kwa uongozi wa Azam tv tunataka maendeleo sababu hii ndio media yetu ya kujivunia East Africa.
 
wamekuskia boss

Screenshot_20220305-211843_WhatsAppBusiness.jpg
 
Azama Media ni moja ya kituo kikubwa ambacho kimeleta mabadiliko makubwa katika tasnia yetu ya habari hapa nchini.

Wamekuwa wabunifu katika vipindi, ubora wa picha na mpangilio mzuri wa vipindi na wingi wa channel nzuri katika king'amuzi chao, hongereni kwa hilo.

Kero ya watu wengi na wapenzi wa Azam Media ni kwamba watangazaji wengi wamekuwa wakirudiarudia nguo, yaani mpaka inakuwa kero, kuna kipindi cha Ndani ya Boksi Azam 2 na Mkanda, yaani watangazaji hawapendezi kabisa na kila nguo zinarudiwa kila wiki, hadi inaboa kwakweli.

Azam TV ni brand kubwa kwa nini kusiwe na uwekezaji katika suala hilo au watangazaji wasijiongeze kuingia mikataba na kampuni za nguo sababu hata media nyingine huwa wanafanya hivyo.

Inakera vipindi ambavyo unatamani kuona presenter akiwa smart unaona anarudia nguo ya wiki iliyopita, jamani badilikeni inaboa sana.
Wewe inakuhusu nini wao kurudia nguo, Mambo ya hovyo sana haya. Hizi ni tabia za kina mama wakiwa uko kwenye Masherehe, kuangalia flani kavaaje, karudia au mpya ?, ya bei gani?. Musi tuletee maswala hayo ya kipumbavu katika Studio za Matangazo, Angalau ungesema kavaa nguo chafu au imechanika pengine, ila kurudia nguo?. Wewe mke wake au ulimnunulia hadi umpangie?.
 
Wewe inakuhusu nini wao kurudia nguo, Mambo ya hovyo sana haya. Hizi ni tabia za kina mama wakiwa uko kwenye Masherehe, kuangalia flani kavaaje, karudia au mpya ?, ya bei gani?. Musi tuletee maswala hayo ya kipumbavu katika Studio za Matangazo, Angalau ungesema kavaa nguo chafu au imechanika pengine, ila kurudia nguo?. Wewe mke wake au ulimnunulia hadi umpangie?.
bosi mbona kama imekutachi sana hii ni mmoja wapo nn
 
Inakera vipindi ambavyo unatamani kuona presenter akiwa smart unaona anarudia nguo ya wiki iliyopita,
Kwani usmart maana yake ni kutokurudia nguo ?


Hiyo nguo unayoilalamikia kairudia,je mara ya kwanza alipovaa alikuwa smart ?
 
Back
Top Bottom