Watangazaji wa Azam TV wamekuwa wakirudia nguo

Watangazaji wa Azam TV wamekuwa wakirudia nguo

Azama Media ni moja ya kituo kikubwa ambacho kimeleta mabadiliko makubwa katika tasnia yetu ya habari hapa nchini.

Wamekuwa wabunifu katika vipindi, ubora wa picha na mpangilio mzuri wa vipindi na wingi wa channel nzuri katika king'amuzi chao, hongereni kwa hilo.

Kero ya watu wengi na wapenzi wa Azam Media ni kwamba watangazaji wengi wamekuwa wakirudiarudia nguo, yaani mpaka inakuwa kero, kuna kipindi cha Ndani ya Boksi Azam 2 na Mkanda, yaani watangazaji hawapendezi kabisa na kila nguo zinarudiwa kila wiki, hadi inaboa kwakweli.

Azam TV ni brand kubwa kwa nini kusiwe na uwekezaji katika suala hilo au watangazaji wasijiongeze kuingia mikataba na kampuni za nguo sababu hata media nyingine huwa wanafanya hivyo.

Inakera vipindi ambavyo unatamani kuona presenter akiwa smart unaona anarudia nguo ya wiki iliyopita, jamani badilikeni inaboa sana.
Some time Kuna kipindi kinarekodiwa halfu kinawekwa episode mbili sasa wewe Unaweza ukadhan wamerudia nguo
 
Mbona mimi sioni kero yoyote, kwani unaangalia mavazi au maudhui ya vipindi vyao. Daah kuna mambo yanachekesha sana
 
Mtu ukiwa na njaa,ni lazima kila kitu utakiona,
Maana muda wote unakodoa macho tu,kwa kuwa unakuwa huna cha kufanya, yaani inafikia muda unahesabu mpaka misumari ya bati ilivyogongelewa
🥱🤣🙄🤣
 
Inatubidi tuseme hayo yandani wanajua wenyewe sisi Kama wadau tunafursa ya kushauri na kutoa maoni yetu haiwezekani media Kama azam tv washindwe hadi na wasafi tv katika utaratibu wa mavazi.
Umewasemea waandishi na si chombo, from that point ukiona wanapendeza daily tutajua ni JF, japo hawatakuja kushukuru.
 
Some time Kuna kipindi kinarekodiwa halfu kinawekwa episode mbili sasa wewe Unaweza ukadhan wamerudia nguo
Hapana mkuu unakuta ni kipindi kipya na unajua hvyo sababu kipindi huwa kinaelezea matukio ya wiki husika huwezi kurekodi kipindi Cha matukio ndugu kabla ya wakati husika sijui unanielewa hapo maana yangu haiwezekani kwa utaratibu wa kipindi mfano Cha ndani ya boksi kurekodi double kwa hiyo hoja hiyo haipo.

Hawa huwa wanarudia nguo tu kwa sababu hakuna utaratibu mzuri wa usimamizi wa mavazi
 
Azama Media ni moja ya kituo kikubwa ambacho kimeleta mabadiliko makubwa katika tasnia yetu ya habari hapa nchini.

Wamekuwa wabunifu katika vipindi, ubora wa picha na mpangilio mzuri wa vipindi na wingi wa channel nzuri katika king'amuzi chao, hongereni kwa hilo.

Kero ya watu wengi na wapenzi wa Azam Media ni kwamba watangazaji wengi wamekuwa wakirudiarudia nguo, yaani mpaka inakuwa kero, kuna kipindi cha Ndani ya Boksi Azam 2 na Mkanda, yaani watangazaji hawapendezi kabisa na kila nguo zinarudiwa kila wiki, hadi inaboa kwakweli.

Azam TV ni brand kubwa kwa nini kusiwe na uwekezaji katika suala hilo au watangazaji wasijiongeze kuingia mikataba na kampuni za nguo sababu hata media nyingine huwa wanafanya hivyo.

Inakera vipindi ambavyo unatamani kuona presenter akiwa smart unaona anarudia nguo ya wiki iliyopita, jamani badilikeni inaboa sana.
Kama nguo zipo safi kwani kuna shida gani!
 
Sio uchawi mkuu Mimi ni mfatiliaji Sana wa vipindi vyao na Kiukweli ni vipindi vizuri sana tatizo pamba babaaa Yani pamba hzohizo daily basi Bora hata waazime sikumoja moja au wawekewe uniform Kuna mmoja analifulana la picha ya ramani basi wiki haipiti kaivaa dah shida Sana
Wewe unazo nguo ngapi unazobadilisha kwa wiki! Mbona kila wiki huwa unaonekana umevaa nguo hizo hizo.
 
Moja ya sehemu hiyo ni kuwa na mdhamini wa kuweza kuwavalisha na azam tv kwenye maswala ya udhamini wa kutoka nje ni mtihani sana
 
Back
Top Bottom