Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
- Thread starter
- #21
😂 ITV ndo wanaongoza kwa kuwa na ma miss bantuApia....😳
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 ITV ndo wanaongoza kwa kuwa na ma miss bantuApia....😳
Mkuu Leo mapema Niko kwa tv channel ten mpaka nishuhudie yaliyomo yamosaa moja kamili subiri habari za biashara dah yule ukipata namba zake unipe aisee hadi wife anamsifia nikajifanya namponda😀😀😀😅😀
Tunaogopa kufungwa mkuu Mali za watu hizoIpicha?
Picha ziko wapiHope wazima wana JF,
Juzi wakati nacheki habari ITV saa 2 usiku, nilipatwa na mshituko baada ya kuona umbo namba 8 la mtangazaji wa habari ITV. Baada ya kutangaza muhtasari wa habari akawa anaenda kukaa kwenye meza alivyogeuka, yule dada ana umbo jamani, nyuma kajazia. Nimeenda Instagram kutafuta account yake sijaipata.
Kuna mtangazaji fulani wa kike TBC ni mzuri ni zire pisi kali, sijui kaolewa anavaa vimini fulani hivi.
Bora azam tv watangazaji wapo kimaadili zaidi na wanavaa nguo za heshima
Watangazaji mjitahidi kuvaa nguo za heshima, mnajua habari ni kitu serious sasa mnatutoa kwenye mood watazamaji.
Mpaka watazamaji tunajiuliza hii ni habari kweri au ni fashion show
Kama mlaji sio mwanasiasa anapinduliwa kawaida,,,but wanasiasa wa ccm mmh,,,sitaki risk life..Chakula ya Mtu hiyo tulia tu Mkuu Ok?
Mali za watu mkuu,tunaogopa kesiPicha ziko wapi
Mkuu sikupingi ni ukweri kabisa,wasoma habari wa zamani tulikuwa tumawaona juu tuHao ITV hiyo tabia ya kusoma muhtasari halafu mtangazaji anatugeuzia makalio kwenda kuketi haifai.
Tena Odana Madai ndiye haswa awe anaketi tu anapotezea watu concentration.
Tunakula kwa macho😣😳We nawe punguza genye
Hope wazima wana JF,
Juzi wakati nacheki habari ITV saa 2 usiku, nilipatwa na mshituko baada ya kuona umbo namba 8 la mtangazaji wa habari ITV. Baada ya kutangaza muhtasari wa habari akawa anaenda kukaa kwenye meza alivyogeuka, yule dada ana umbo jamani, nyuma kajazia. Nimeenda Instagram kutafuta account yake sijaipata.
Kuna mtangazaji fulani wa kike TBC ni mzuri ni zire pisi kali, sijui kaolewa anavaa vimini fulani hivi.
Bora azam tv watangazaji wapo kimaadili zaidi na wanavaa nguo za heshima
Watangazaji mjitahidi kuvaa nguo za heshima, mnajua habari ni kitu serious sasa mnatutoa kwenye mood watazamaji.
Mpaka watazamaji tunajiuliza hii ni habari kweri au ni fashion showView attachment 2577289View attachment 2577291View attachment 2577292
"Watangazaji wa Habari wa ITV na TBC muwe mnavaa nguo za heshima, maumbo yenu yanatutamanisha watazamaji"
Shape za kibantuSupu supu
Ila GENTAMYCINE [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyege zako usizozidhibiti ipo zitakufanya Ubake hata Kifaranga cha Kuku au Bata. Kuwa makini!!!
Dadeki umenikumbusha mbali mkuu ,HV yule bint Yuko wapi aisee kitambo Sana sijamuona au katutwa kaziUnamjua Naga Munchetty wa BBC ya kibeberu lakini?
😁😁😁Mkuu unaangalia taarifa habari ukiwa na kipururu......[emoji23]